Asante tuombeane Zaid Sana tuwaombee ni ndugu zetu kimwili
Ubarikiwa mwalimu katika jina la jesu kristo jina kuu kuliko majina yote
Nipo darasani
Ubarikiwe mwalimu kwanza hiyo qrn 2:97 imeshajisemea ilitoka kwa nani na Alie ileta tunasikitika kama MUNGU anaweza tuma kitu chake kiletwe na adui tena shetani???
wale ambao tunahitaji kuchangia vifaa vya mtumishi List mbona siioni
Nimefika darasani Mwalimu, barikiwa sana Mwalimu wangu