UJUMBE #1 KWA VIJANA - Dr. GeorDavie
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- #vijana #fanyenikazi #darasa #mafanikio #maarifa #madiniyamaisha
Huu ni ujumbe wangu kwa vijana wote. Fanyeni kazi kwa bidii na Mungu atawabariki kwa mafanikio mengi na makubwa.
NIFUATILIE
☞ Facebook: / geordaviemaarifa
☞ Instagram: / geordavie_maarifa
Ameeeen,,,,,, ahsanteee UBARIKIWE Sana baba yetu
Amen Baba asante Kwa mafundisho yako ya baraka
Somo zuri Sana kwetu vijana,Asante Baba
Asanteh
Asante dady kwa kutukumbusha na kuwaamsha walio lala haswa hawa wa insta,,snap
Ujumbe wenye kilo zote
Niko omani naitwa Asia NABII mkuu naomba agalau dkk5 umpigie mama yangu sadaka nilishatumaga kwa ajili ya mama yangu pls pls pls. umuuombee anasubuliwa na mapepo balozi wako anayo ujumbe na namba ya mama