MASOUD KIPANYA AFUNGUKA KUACHA KAZI YA KUTANGAZA, ATAHAMIA CROWN FM? AMEELEZA JUU YA GARI LAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 60

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 2 หลายเดือนก่อน +5

    Masoud age 60 plus in good health, mind and spirit

    • @napster2558
      @napster2558 2 หลายเดือนก่อน

      50s bhna😂

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 2 หลายเดือนก่อน +18

    Crown Media naona kbs Alikiba anataka awadhihirishie waBongo kwamba pesa haina makelele

    • @user-qo5it1uc9m
      @user-qo5it1uc9m 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nimekubali kiba mnyamwez sana

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews 2 หลายเดือนก่อน

      Asante

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mwenye clouds ndio mwenye crown na ndio mwenye wasafi km ulikuwa hujui

    • @SalumSaidy-ir3wl
      @SalumSaidy-ir3wl หลายเดือนก่อน

      Usiseme ndio mwenyew wasafi sema pia anahisa wasafi kila mtu kaweka pesa yake pale

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 2 หลายเดือนก่อน +9

    Hapo kwenye Kampuni ya kutengeneza Magari Hilo neno Bora Ungeliacha Maana nakumbuka mpaka Bunge lilipewa hiyo taarifa kwamba wewe huna Kampuni ya kutengeneza Magari na Mbaya zaidi wakawa wanalalamika kwamba hata Mgeni wa Heshima Waziri Mkuu mlimlisha matango pori hakuna Kiwanda Cha Magari

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

    • @Bisekoson
      @Bisekoson 2 หลายเดือนก่อน +3

      Kafungue wewe basi, watu wengine bana. Hizi ngozi nyeusi laana tupu. Kwanini usifurahie mafanikio ya mwenzako na kumtia moyo badala yake unakua wa kwanza kuleta negatives. Ndo maana watanzania tunaonekana watu wa hovyo mno huko duniani. We endelea kuweka negatives mwenzako ndoto zake zinaenda kutimia.

    • @cyliruta5021
      @cyliruta5021 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Bisekosonroho mbaya zinatusumbua yaani sijui ni nini aiseee😢

    • @yassinuddi
      @yassinuddi 2 หลายเดือนก่อน +3

      This Burning Hatred ya kiasi hiki ni hatari sana. Mwenyezi Mungu akanusuru akuondole hii hali. Ujifunze kuappreciate na kutia moyo watu wanaojaribu na kufanya jambo.

  • @stevencharles-di9yc
    @stevencharles-di9yc 2 หลายเดือนก่อน +2

    safi sanana

  • @j4gtechsolution809
    @j4gtechsolution809 2 หลายเดือนก่อน +4

    Tengeneza mazingira ya kupata fedha nyingi pale ulipo ,

    • @paulalphonce5848
      @paulalphonce5848 หลายเดือนก่อน

      Moja ya point kubwa sana ameongea Masoud.

  • @deogratiusprosper4796
    @deogratiusprosper4796 2 หลายเดือนก่อน +4

    Yuko kwenye ubaloz wa mabati lkn maswali ni nje kbs haya ndo mapungufu ya waandishi wetu kuna shida mahali kwenye taaluma

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna udhaifu sana😂

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 2 หลายเดือนก่อน +2

    point kubwa

  • @mkabengafamily
    @mkabengafamily 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali kp

  • @ramamabrok2523
    @ramamabrok2523 2 หลายเดือนก่อน +3

    😳👑🏆

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 2 หลายเดือนก่อน +4

    Fm crowns 👑 itawasoba wandishi mahiri wajuzi makini wote Fm crowns 👑

    • @archilleuswilson4359
      @archilleuswilson4359 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu haendi crown

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 2 หลายเดือนก่อน

      Sio mda itafilisika

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 2 หลายเดือนก่อน

      @@ananiamwatebela3159 Hawezi kufilisika inafanya kazi kote ulimwenguni takuja kusema hiyo media crowns 👑 fm itazifunika taasisi zote za radio 📻 tz mwandishi mkubwa Salmu kikeke huongopi
      Kule upande wa pili BABA LEVO AMEFUNGUA RADIO 📻 YAKE MAMBO MOTO

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 หลายเดือนก่อน +2

    Somo kwa kitenge

  • @kalelaonlinetv
    @kalelaonlinetv 2 หลายเดือนก่อน +4

    karibu crowns fm karibu sana kwetu

  • @aloycemabula8649
    @aloycemabula8649 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sungura motors

  • @Zeanbo1234-pn8tg
    @Zeanbo1234-pn8tg 2 หลายเดือนก่อน +3

    3:29

  • @Zeanbo1234-pn8tg
    @Zeanbo1234-pn8tg 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ilajaman. Wabongo. Matango. Pori tenaa 😅😅

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kampuni ya magari 😂😂😂iko wapi

  • @yohanadavid8055
    @yohanadavid8055 2 หลายเดือนก่อน +7

    Radio ya Salim kikeke

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews 2 หลายเดือนก่อน

      Uongo

    • @victorguapo7827
      @victorguapo7827 2 หลายเดือนก่อน

      Una uhakika??? Yan redio ya kiba imeanza kuzungumziwa miaka minne nyuma

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hiki kichwa cha habari na maelezo mbona kama sijaelewa

  • @user-hx7tr5iw8p
    @user-hx7tr5iw8p 2 หลายเดือนก่อน

    Tango pori ni wewe zuzu unayeperusha bendera ya taifa mchongo badala ya kupeperusha ya nchi yako. Ongera masud hii italeta faida kwa taifa.mungu akufanyie wepesi.

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hayo magari yako wapi?, au ulitulisha matango pori.

  • @PopTiger-br2nh
    @PopTiger-br2nh 2 หลายเดือนก่อน +3

    Duh alikiba ela zipo sema tu alikuwa ajionyeshi kama ana ela sasa siatawabeba wote hapo clouds

    • @ShabanMainde
      @ShabanMainde 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 acga awabebee

  • @jumaibrahim9773
    @jumaibrahim9773 2 หลายเดือนก่อน

    Akiacha kutangaza,, crown anaenda kuwa dereva au

  • @annalubango9899
    @annalubango9899 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa mbona k p hajajibu vibaya why mwijaku kapanick hivyo??

    • @vanessastafford6426
      @vanessastafford6426 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 หลายเดือนก่อน

      Mwijaku ni mwehu yule mzee wa kiki😂

  • @piusbitta5224
    @piusbitta5224 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi Barbra Hassani yuko wapi siku hizi?

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 2 หลายเดือนก่อน +1

    KP cars, fahari hubwa kwa Watanzania

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 หลายเดือนก่อน +2

    Salim Kikeke naye tumo crown / shareholder

    • @victorguapo7827
      @victorguapo7827 2 หลายเดือนก่อน

      Una uhakika???

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 หลายเดือนก่อน

      @@victorguapo7827 tetesi

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 2 หลายเดือนก่อน

    Waandishi muwe mnawasaidia Wananchi, watazamaji wenu. Kiwanda cha magari ni msururu wa viwanda vingi. Kama hivyo viwanda vingi havipo, cha magari hakitakuwepo. Kwa hiyo muwe makini zaidi.

  • @CatherineKabelege-te3yo
    @CatherineKabelege-te3yo 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu kaka mstarabu alafu ana akili

  • @user-qq2vn4pk7z
    @user-qq2vn4pk7z 2 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂

  • @MkhayaSogadari
    @MkhayaSogadari 2 หลายเดือนก่อน +2

    Africa akuna anayetengeneza gari

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo mwijaku Sawa na lokole Tu🤣🤣

  • @temekepamoja2757
    @temekepamoja2757 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe anauza sembe

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanin Crown Media isitengeneze vijana wake wapiya??? Kama wasafii walivyo watengeneza mchaga og na Mo town sanya na wengine kina b,levo Kina Momo
    Ipo based sana nakuchukua majina makubwa kwenye media kibwa!!!!

    • @user-zl6hg9so6s
      @user-zl6hg9so6s 2 หลายเดือนก่อน

      Muachie baba levo ambae hana hela ndio atengeneze vijana wapya kwenye Midia yake wenye pesa wacha wachukue Watu wakubwa wanao julikana😜

    • @HASHIMUMKUNDA-pz1wd
      @HASHIMUMKUNDA-pz1wd 2 หลายเดือนก่อน

      Kumbe kitenge katengenezwa WAWAFI!😴