Kwangu unapozungumzia wimbo bora wa wakati wote kuhusu Tanzania mbali ya wimbo wa Taifa na wimbo wa uzalendo wa Tanzania Tanzania, wimbo huu naupa nafasi ya pekee sana, nilitamani sana nijue ni kina nani walioimba lakini nashukuru kwa kuwa mmeamua kuuweka hapa... nimetaabika miaka takribani kumi tokea nianze kuusikia wimbo huu TBC enzi hizo RTD kuutafuta ila hamad, leo ni historia... shukrani kwenu Varda Arts.
Punguza ubaguzi kijana bila shaka hawa wamezaliwa na kukulia hapa Tanzania licha ya asili yao kua ni india hivyo ni watanzania" ukienda marekan or ulaya utakuta waafrika kule wakiwa na utaifa wa mataifa ya huko licha ya kua wao ni weusi licha ya kua wanapitia changamoto za kubaguliwa ila nao ni wamerakani ... so tuishi kwa upendo tu na tushirikiane kama jamii moja"
2023 Jambo Habari gani?Nzuri salama Tanzania Tanzaniaaa 🇹🇿
Uzuri was Tanzania bila kujali rangi na jinsia wala ubaguzi, asanteni Varda arr this was the best and still the best song ever
Leo tareh 7 Dec 2021 kwangu haichuji
Kwangu unapozungumzia wimbo bora wa wakati wote kuhusu Tanzania mbali ya wimbo wa Taifa na wimbo wa uzalendo wa Tanzania Tanzania, wimbo huu naupa nafasi ya pekee sana, nilitamani sana nijue ni kina nani walioimba lakini nashukuru kwa kuwa mmeamua kuuweka hapa... nimetaabika miaka takribani kumi tokea nianze kuusikia wimbo huu TBC enzi hizo RTD kuutafuta ila hamad, leo ni historia... shukrani kwenu Varda Arts.
Sio Leo sisi miaka hiyo
Kicbjamii, nakubaliana na wewe, hawa jamaa ni wazalendo wa ukweli.
@@ramadhankimbeiye8293 ninaandika historia yao tangu walipoanza muziki! Sio mchezo!
Indeed! Huu wimbo unanifanya nizidi kuipenda Nchi yangu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huu wimbo uliimbwa mwaka gan
Hongereni sana...Nawapenda Varda band
Tuliopo 2021 tujuane
Hakika nilikuwa nautafuta sana huu wimbo nimefarijika sana kuupata huu wimbo pia jina la kundi lililouimba huu wimbo
Daaah Hongereni sana
nakumbuka mbali sana enzi hizo za rais ali hassan mwinyi mzee ruksa
aisee mliitangaza tanzania vyema.hii ndio talent.
Huwa siichoki kuisikiliza, nawapenda Vard Arts, nyimbo enzi zetu za utoto nipo class 1 natoka shule hapo njian RTD inapigwa kanjaa kanauma hapooo
Wooow what a song!
Hakika huu wimbo uwa nakupenda sana
Hii ndo ilikuwa live band sasa
NIMEFURAHI KUKUTANA NA KIONGOZI WA VARDA INGAWA NI HOSPITAL AKIWA AMEUMIA MKONO. MUNGU AMPONYE HARAKA AENDELEE NA KAZI
Ingependeza sana kama sauti ingekuwa clear maana napenda sana hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana kipindi hicho uzalendo ulikuwa juu
I like the video
Ulimbwa mwaka gan
wakati wa mzee Rukhsa mzee Ally hassan mwinyi aliyetutoka hivi punde basi nikiiskiza nakumbuka kipindi chake
😓😓😓😓😓 nakumbuka mbali mno
Watu wanajiimbia imbia tu sasa hivi alafu tunalzimishana tuwapigie kura eti washinde. Kwa kipi wanacho imba...?
2021
Wahindi walio ishiwa hawa
Acha ubaguzi wewe
Hawa sio wahindi walio ishiwa hawa ni wahindi walio jiona wao ni wa Tanzania. Ambayo baadae wakaonekana Kama vile sio watu wa maana.
Punguza ubaguzi kijana bila shaka hawa wamezaliwa na kukulia hapa Tanzania licha ya asili yao kua ni india hivyo ni watanzania" ukienda marekan or ulaya utakuta waafrika kule wakiwa na utaifa wa mataifa ya huko licha ya kua wao ni weusi licha ya kua wanapitia changamoto za kubaguliwa ila nao ni wamerakani ... so tuishi kwa upendo tu na tushirikiane kama jamii moja"
Ni Watanzania wenzetu wakiiimbia nchi yetu nzuri iliyobalikiwa na Mungu
Hauna akili wewe mweu
nakumbuka mbali sana enzi hizo za rais ali hassan mwinyi mzee ruksa