TAZAMA NDARO NA LEONARDO WALIVYOZICHAPA/BEEF ZITO/NDARO ATOKA NDUKII/WATAMBIANA NAN MKALI KUCHEKESHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ค. 2024
- WAZTAZAMA NDARO NA LEONADO WALIVYOZICHAPA/BEEF ZITO/NDARO ATOKA NDUKII/WATAMBIANA NANI MKALI KUCHEKESHA #NDARO #LEONADO #chekatu #utacheka #ndaroleonado #carrymastorytv #ndarowakizichapa #ndaronaleonadowakizichapa #leonard #ndaroleonardo
- บันเทิง
Kwenye stande up leonardo yuko vizuri zaidi ya ndaro.kwenye comedie za mitaani ndaro yuko vizuri sana.chapeni kazi vijana achaneni nahao watangazaji taarabu.
Makini
Kweli
Ila leonard hayuko serious😃😃😃
Team Leonardo tujuane
👇
Lrleonrdo pesa iyo sasa weka kwenye tofar
Wote wapo vzr nawapenda sana haswa wakiwa pamoja
Yani nakubali sana Leonardo mana uyu jamaha ni smart sana
Ndaro is the best comedian
Usifanyeeeeee ndaro waandishi wa Habari wanafki sanaaaa
Kazi nzuri zinazokuja kutoka kwa ndaro na Leonardo maana tayari mshatengeza introduction
Leonardo we ni mkali sana. Ndaro pia mwamba kweli kabisa. ila wewe ni ju kumuzidi Ndaro
Waandishi wa habari mnakosea sana yan mnatengeneza bifu kilazima
Nakushika na nakushikashika 🤣🤣🤣🤣
I love this guys Leo and Ndaro👌
Eti nimekimbia moment kwanza 😅😂😅😂
Ndaro bado sana kwa leornado
Leonardo anajua sana
Ukute Kiki ya kubrand show ohoo
Kiukweli anajua sana
Et tathnia ya comedy imeingiliwa na mwqlm ndaro😅😅😅😅
Ila waandishi nao wachonganishi sana
Leonard acha vurugu ogopa waty wakimya wew jifunze kwa waty mbn unasifaa broo acha sifa
Kama kweli mmegombana mie sijapenda,,,napenda Saana kazi zenu
😂😂😂😂😂 Leo .. cjui mda Gani tupo serous me naona tu anachekeshaa😂😂
Wanahabari wa bongo wengi wachonganishi sana adi mnakera aisee 😎
Waandish wa habari kumbe wambea ivi acheni ushamba ndaro yupo vizuri nyiee acheni umama
Halafu Ndaro yupo serious kweli
Ndaro ni mnyama
Waandishi wachonganishi sanaa
safi ndaro
Yaan hawa hawajui chochote, sanaa yakishamba saa hii wanayotak kutuonesha
Ila Leonard 😂😂😂😂😂😂khaaaaaaaaa
Hii imepangwa aliemuona ndaro wakati anapita alikua anacheka like hapa😂😂😂😂
Anasoma aibu
Ndaro asa mihasira ya nn😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Uyu Leonard ahache ujinga awezi mfikia ndaro kwa chochote
Hawa waandishi kama nyumbu wameshindwa kufanya ya maana
Hhhhh uyo ndaro ni kama anamawivu flan iv af pia kam mmesanuka nikwel anamwogopa Leonard hhhhh😂
😂😂😂😂 mwandishi jmn et utamuua😂😂😂
madogo zangu acheni utoto huo pigeni kazi....
Uniwezi kiuchawi😅😅😅
🤣🤣🤣🤣 aka kajamaa kanachekesh jinsi kalivoo
Kwan n kweli ama utani 😂😂
Leonard hajui
Waqndiahi wa habari wasenge kwelii yaan wanawachonganisha watu aisee
Leonard ❤
Ndora is the best
Anamuogopo kitugani... nyinyi watangazaji niwachonganishi....ndaro achana nahao wapumbavu... pambana na Maisha yko siku zisonge
Roasting ambaz wakiw pamoj n nzur mnooooo
What a volley ❤❤
Leornado kiboko ❤😊
Hapo kwenye menye menye...(menejment)
Na huyu Leonard kama mtoto na sifa nyingii mara maraa khee
Waandishi wa bongo cjui wanasomea na wapi tuu asei...ndaro mkali saana namkbl cema hakuna ndaro bila leonardo🤪🤪🤪
Huyu Leonardo kumbe ni mjinga sana Sasa mnamlazimishaje mtu agombane na mtu waandiahi wa habari nao mabwege wote
Hawa gombani wote wapo kwenye matani angalia vzr utagundua ndaaro anacheka akiondoka kwenye camera
Wahaa wabishi jamini
Leo the best
hv hawa wana beef kweli au,maan walikuwa mabest sana mbona ghafla sana hivo
Nmemdharau leonardo
Kiukweli hili battle ni atar ndaro asili yetu wa kigoma wa bishi kweli lakini ku panic kwa reply za nduguyo huyu best wako kaka kama ni kick watu wa cuba tuna elewa njoo uchukue uchawi ziwani na lime jaa
Acha usenge ndaro mnamfananisha nawapumbavuu
Wanatuchora mapimbi ao
Yani ndaro bana😂😂😂😂
Ndaroo kachafukwaa😂😂😂😂 hataki jaman muacheni😅😅
Huyu leonard sifa zimemzidiii
Acheni kutuingizia
KWANI lonardo ninani Congo hatumujuwi fala wewe acha ndaro🇨🇩
Ndaro kamaindi,
Ukimaindi bila sababu mbele ya wanaume wenzako au watu iyo ni point ya udhaifu(uwoga).😂
Hajamaindii na yy anaigiza tu muangalie akiondoka kwenye cameras anacheka añgalia vzr utaagundua hicho kitu
Anaogopa lol 😂😅
Kama umegundua kma mm gonga like angalieni video vizur ndaro aanacheka akiondoka kwenye camera
Achaneni na hao watangazaji fanyeni kazi
Mbona Leonard iko nafanya vitu via utoto ahache utoto jamani
Is that real guys 😯😯 in need your answers
Waandishi wahabari unafiki upo kwa damu mpka hapo mmezingua sana rudini shule tena mkajiongeze mnashida
Mmebase upande mmoja tu wanafiki hadi so poa
Kiki😂😂🙌
Yan aka kadog anawajua Waha kwel😂
Afu Kuna wanaojua ety Wana bifu kweli wakati ni inatengenezwa2 ku push comedy ya bongo😂hawana bifu Wala nn
Ndaro kakasilika kweli yaani
Hajakasirika anaigiza angalia vzr ukiondoka kwenye camera unagundua anacheka
Ndaro anajinunisha
Bongo kazi awafanyi mpaka kwanza wafanye kiki ndio baadae kazi
Ndaro do tunamtambua
Leonard umejishusha Sana kaka
Rojaaaa😂😂😂😂😂😂
Is that real guys or they're just joking
Aya kajamaa ka dodoma kishamba kampong kingereza ndo mchongo
Mashindano ni siku gani?
Ndaro mwanaume!
Hii imepangwa iwe hivo wasituchezee akili
Ndaro amekasirika kweli 😮 ata upendezi kuwa hivo
Kwel anaonyesha zahir kua hamuwez Leonardo 😅
😂😂😂
KUMBE WASU MKEREBHE
Ovyooooooooooo, yaan kazi ya ugombanoshi tuu hmna lolote, fanyeni ya maana acheni kugombanisha watu , maadui wakubwa nyinyi.
Ety kwetu ukerewe ujue
Leonardo anajikut kinyama an
Kwani kuwa na mtoto ndo kuwa na nguvu za kiume kumbe 😅
❤❤🎉😂😂😂🎉
Leonardo Ana tafuta kipigo
😀😀😀😀😀😀
Mmm😂
😅😅😅
Mbona kama leonardo anajisikia hivii
Mmh asa kajiskia wapi kijana anabattle😂😂😂😂
😂😂😂
👇
😂😂😂😂
Leonador yuko pw bhn ndalo amuwez uyo dogo
Tunajua sio bifu mchongo tu alafu mkituchekesha tumacheka hadi kingwendu anachekesha nado achaukocho kingeleza nn maku ww