Huyu jamaa alietekewaa mke nawatoto siyule alimuua mkewake kwakumtumbukiza kwa Acid?sasa anaumia nn bibi kutekwa mana huyo haifa hata kuwa na mke wala watoto nasijui huyo dada hajui huyo mtu rangi zake hafai unafamily halafu mwili wako umeachia ucha huko kasino loo
Enjoying
WA pili oyooooo😂😂😂bamba to bamba
🙏🙏🙏 🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Director hongera kisha Director naomba mwendelezo wa watatu wa mwisho ..
Halaaa halaaa wapendwa tupo EP ya sita ..tujitahid kuifatilia soon Moto 🔥 unaenda kuwakaaaaaa
Kwangu kwa hapa bado sijapata aisee inanichanganya tu
Utaielewa tu huo ni utangulizi tu
Ndani ya muda ❤❤🎉
🔥🔥🔥👌
wan4
❤❤🎉🎉
Wa tatu tunasonga km kawa 😝
Safi kbs OEN, wacha tumwone Fanuel anafanyaje baada ya mkewe kutekwa
Huyu jamaa alietekewaa mke nawatoto siyule alimuua mkewake kwakumtumbukiza kwa Acid?sasa anaumia nn bibi kutekwa mana huyo haifa hata kuwa na mke wala watoto nasijui huyo dada hajui huyo mtu rangi zake hafai unafamily halafu mwili wako umeachia ucha huko kasino loo
Naomba kuuliza mbona simulizi inamaelezo mengi sana,shida msimuliaji au mwandishi
Sindio vizuri tunaelewa kisa kizima😂😂