@@rukaya-jg7hj na mtume wetu Mohammad sw..acha kuwanga Bado mapema dada..ushindwe izo hasad zako zitakurudia mwenyewe na uchawi wako..uchawi tu kuoga aahh
@@SekelaJakson-ls7ddni mtihani kweli, sema kila mtu ana mapito yake kwenye maisha na km alivyosema yeye hakupanga ila imetokea. Sisi tumezaliwa hivyo, naelewa ilivyo mtihani.
Kwa kweli haipendezi kabisa kwa mwanamke kuzaa hovyo na wanaume tofauti na kila mtoto na baba yake ,Yaani haileti picha nzuri na pia kuzaa bila ya kuwa kwenye ndoa, na watoto wake watamuona mama yao kama alikuwa hajatulia, na haileti picha nzuri kwa watoto wake kwasababu na hao watoto wanajifunza nini kutoka kwa mama yao, yaani kufanya zinaa na kuzaa hovyo na watu tofauti au kuwa kwenye ndoa?
Faiza uko tofauti na wasanii wote huwez kudanganya hujickii hongera sana
Faiza upo very smart hata the way unajibu maswali❤
Yaan Faiza uko tofuati kabisa na mastaa wote wa bongo,mambo ya uongo uongo au sifa za kijinga hunaga. Nakukubali sana
😂😂hayo ndo maisha fake life inatesa sana
Blessed woman❤faiza
Hii interview itaishi Sana,Nimependa Sana Faiza❤
kulea mtoto nakusomesha nivitu tofauti good point imenivutia
Faiza umeniamasisha namim nizae jaman mana nimejifunza kitu apo
Dr his good man bila ata watoto ni mkaka mstarab afu mwenye huluma awez kumuacha uyo na watoto
Nacho kupendea dada faiza ufeke mausha kama masta❤❤❤🎉
Inshallah unifanya nifikirie namim nizae mana nimejifunza kitu inshallah
Jichanganye
@@rukaya-jg7hj acha uchawi wako
@@rukaya-jg7hj ushindwe Kwa jina la allah
@@rukaya-jg7hj na mtume wetu Mohammad sw..acha kuwanga Bado mapema dada..ushindwe izo hasad zako zitakurudia mwenyewe na uchawi wako..uchawi tu kuoga aahh
Hongera mtoto wa mjumbe wangu pale ILAZO madukani MTAA WA UHINDINI
Mungu akutunze zaid kwa ajili ya watt wako,ni Baraka iliyo Kuu mnooo
Nakupenda sana faiza,wewe ni mfano wa kuingwa unajitambua sana.
Mtangazaji wa hovyo ,,hajui maswali
We ni mkweli saaana❤
Kipenzi faiza❤
This girl yupo smart baba watoto mmepata mbegu nzuri❤
Nakuwaga mvivu kusikiliza interview ila hii sijaruka kitu
Faiza tunakupenda achana na maneno ya watu songa mbele
My love faiza
Nime, enjoy sana listening to you Faiza ❤ your smart and humble person ❤
Yan mtihani sana kuzaa kila mtoto na babaake mungu atunusuru wallah😢
Kumbe😢
Ni mbaya sana yaani ukubwqni wanabaguana mno😢
@@SekelaJakson-ls7dd oooh mungu amuepushie tu mana watoto wqnaweza wasikuheshimu wanakuwa na maswali mengi vichwani mwao
@@SekelaJakson-ls7ddni mtihani kweli, sema kila mtu ana mapito yake kwenye maisha na km alivyosema yeye hakupanga ila imetokea. Sisi tumezaliwa hivyo, naelewa ilivyo mtihani.
Hakuna shida yoyote inategemea jinsi ya baba alivyo na tabia yake. Mama kuzaa na baba tofauti hakuna shida lqbda kwako wewe tu.
Faiza ni mfano bora wa kuigwa kwani wasanii wabongo huishi kwa kunyanganyana mabwana.
Kanenepa kapendeza
Lv u bebe❤
A very true woman❤
Uzungu mwingi Faiza
Ningekuwa Tz ningekuja kusapoti end of the month,bless you and the kids ❤
❤❤❤yuko humble sanaaa dada Faidha
Mama Sasha wangu❤❤❤
Kweli maisha mungu ndio ANAPANGA❤❤❤
Faiza ❤
Faiz ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
I love faiza.....
Hiy Dada ni mweli sanaaaa mungu ambariki
Godbless you my sis
Kumbe una akili😂😅 very intelligent
Faiza anaishi uhalisia sio kajala,
Goood❤❤❤❤
Anajua kujibu maswali
Ila faiza yuko smart sana ktk kujbu maswali😂
Faiza nampendaga sijui ye why kanoblock insta dar😢
nimependa jibu la mwisho apon, very smart❤
Faiza chizzy tuu.
Ntangazaji ni mmbea kuliko umbea wenyewe du kiboko tuoneshe na wewe Maisha yako
eti mimba ya mwanaume mwingine kuna neno sahihi kwa hiyo sentensi hamtaki kusema
Saut bwana inakua ndogo …ila dada yuko pwa sana
Kwa kweli haipendezi kabisa kwa mwanamke kuzaa hovyo na wanaume tofauti na kila mtoto na baba yake ,Yaani haileti picha nzuri na pia kuzaa bila ya kuwa kwenye ndoa, na watoto wake watamuona mama yao kama alikuwa hajatulia, na haileti picha nzuri kwa watoto wake kwasababu na hao watoto wanajifunza nini kutoka kwa mama yao, yaani kufanya zinaa na kuzaa hovyo na watu tofauti au kuwa kwenye ndoa?
❤❤❤
Positivity ❤
I see me in faiza
💕
Faiza
Mama sugu
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤