Faiza Ally: Mimba Ya Mwanaume Mwengine Yamkosesha Ndoa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
  • Faiza Ally: Mimba Ya Mwanaume Mwengine Yamkosesha Ndoa

ความคิดเห็น • 72

  • @lilyanmongi1075
    @lilyanmongi1075 วันที่ผ่านมา +6

    Faiza uko tofauti na wasanii wote huwez kudanganya hujickii hongera sana

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be วันที่ผ่านมา +7

    Faiza upo very smart hata the way unajibu maswali❤

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 วันที่ผ่านมา +28

    Yaan Faiza uko tofuati kabisa na mastaa wote wa bongo,mambo ya uongo uongo au sifa za kijinga hunaga. Nakukubali sana

    • @EstarMichael
      @EstarMichael วันที่ผ่านมา

      😂😂hayo ndo maisha fake life inatesa sana

  • @catherinecharlesshirima5867
    @catherinecharlesshirima5867 วันที่ผ่านมา +4

    Blessed woman❤faiza

  • @AminaMfinanga-nu6jl
    @AminaMfinanga-nu6jl วันที่ผ่านมา +3

    Hii interview itaishi Sana,Nimependa Sana Faiza❤

  • @ashamagogo-i9z
    @ashamagogo-i9z วันที่ผ่านมา +4

    kulea mtoto nakusomesha nivitu tofauti good point imenivutia

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 วันที่ผ่านมา +1

    Faiza umeniamasisha namim nizae jaman mana nimejifunza kitu apo

  • @AbeleBausingi
    @AbeleBausingi 2 วันที่ผ่านมา +4

    Dr his good man bila ata watoto ni mkaka mstarab afu mwenye huluma awez kumuacha uyo na watoto

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y วันที่ผ่านมา +3

    Nacho kupendea dada faiza ufeke mausha kama masta❤❤❤🎉

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 วันที่ผ่านมา +3

    Inshallah unifanya nifikirie namim nizae mana nimejifunza kitu inshallah

    • @rukaya-jg7hj
      @rukaya-jg7hj วันที่ผ่านมา

      Jichanganye

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 วันที่ผ่านมา

      @@rukaya-jg7hj acha uchawi wako

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 วันที่ผ่านมา

      @@rukaya-jg7hj ushindwe Kwa jina la allah

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 วันที่ผ่านมา

      @@rukaya-jg7hj na mtume wetu Mohammad sw..acha kuwanga Bado mapema dada..ushindwe izo hasad zako zitakurudia mwenyewe na uchawi wako..uchawi tu kuoga aahh

  • @makiwainice3319
    @makiwainice3319 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera mtoto wa mjumbe wangu pale ILAZO madukani MTAA WA UHINDINI

  • @sevelinamartin7752
    @sevelinamartin7752 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutunze zaid kwa ajili ya watt wako,ni Baraka iliyo Kuu mnooo

  • @AnnitaMadaha
    @AnnitaMadaha 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nakupenda sana faiza,wewe ni mfano wa kuingwa unajitambua sana.

  • @GrolyMarcus
    @GrolyMarcus วันที่ผ่านมา +1

    Mtangazaji wa hovyo ,,hajui maswali

  • @ndolehamisi5567
    @ndolehamisi5567 วันที่ผ่านมา +2

    We ni mkweli saaana❤

  • @KissaMwaibila-xp7io
    @KissaMwaibila-xp7io วันที่ผ่านมา +1

    Kipenzi faiza❤

  • @salamamasaki2661
    @salamamasaki2661 วันที่ผ่านมา

    This girl yupo smart baba watoto mmepata mbegu nzuri❤

  • @user-jw8ym7du3c
    @user-jw8ym7du3c วันที่ผ่านมา +4

    Nakuwaga mvivu kusikiliza interview ila hii sijaruka kitu

  • @SaidAli-ti1lm
    @SaidAli-ti1lm วันที่ผ่านมา +1

    Faiza tunakupenda achana na maneno ya watu songa mbele

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 วันที่ผ่านมา +1

    My love faiza

  • @esthermatisho2604
    @esthermatisho2604 วันที่ผ่านมา

    Nime, enjoy sana listening to you Faiza ❤ your smart and humble person ❤

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj วันที่ผ่านมา +10

    Yan mtihani sana kuzaa kila mtoto na babaake mungu atunusuru wallah😢

    • @SekelaJakson-ls7dd
      @SekelaJakson-ls7dd วันที่ผ่านมา

      Kumbe😢

    • @noelamilambo
      @noelamilambo วันที่ผ่านมา +3

      Ni mbaya sana yaani ukubwqni wanabaguana mno😢

    • @rukaya-jg7hj
      @rukaya-jg7hj วันที่ผ่านมา +1

      @@SekelaJakson-ls7dd oooh mungu amuepushie tu mana watoto wqnaweza wasikuheshimu wanakuwa na maswali mengi vichwani mwao

    • @LoretteM-xb9ls
      @LoretteM-xb9ls วันที่ผ่านมา

      ​@@SekelaJakson-ls7ddni mtihani kweli, sema kila mtu ana mapito yake kwenye maisha na km alivyosema yeye hakupanga ila imetokea. Sisi tumezaliwa hivyo, naelewa ilivyo mtihani.

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna shida yoyote inategemea jinsi ya baba alivyo na tabia yake. Mama kuzaa na baba tofauti hakuna shida lqbda kwako wewe tu.

  • @totonata5384
    @totonata5384 วันที่ผ่านมา +5

    Faiza ni mfano bora wa kuigwa kwani wasanii wabongo huishi kwa kunyanganyana mabwana.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 วันที่ผ่านมา +3

    Kanenepa kapendeza

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 วันที่ผ่านมา +1

    Lv u bebe❤

  • @shamilafaraj5146
    @shamilafaraj5146 วันที่ผ่านมา +2

    A very true woman❤

  • @SuzanaMpunji
    @SuzanaMpunji วันที่ผ่านมา +1

    Uzungu mwingi Faiza

  • @esthermatisho2604
    @esthermatisho2604 วันที่ผ่านมา

    Ningekuwa Tz ningekuja kusapoti end of the month,bless you and the kids ❤

  • @glammummy
    @glammummy 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    ❤❤❤yuko humble sanaaa dada Faidha

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 วันที่ผ่านมา +1

    Mama Sasha wangu❤❤❤

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli maisha mungu ndio ANAPANGA❤❤❤

  • @EmmyNamoyo
    @EmmyNamoyo วันที่ผ่านมา

    Faiza ❤

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 วันที่ผ่านมา

    Faiz ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 2 วันที่ผ่านมา +3

    I love faiza.....

    • @SelinaChares
      @SelinaChares วันที่ผ่านมา

      Hiy Dada ni mweli sanaaaa mungu ambariki

  • @GraceTemba-nx3mw
    @GraceTemba-nx3mw วันที่ผ่านมา +1

    Godbless you my sis

  • @happymaimu4330
    @happymaimu4330 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kumbe una akili😂😅 very intelligent

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Faiza anaishi uhalisia sio kajala,

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 2 วันที่ผ่านมา +3

    Goood❤❤❤❤

  • @LuluAquai
    @LuluAquai วันที่ผ่านมา +1

    Anajua kujibu maswali

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ila faiza yuko smart sana ktk kujbu maswali😂

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd วันที่ผ่านมา +1

    Faiza nampendaga sijui ye why kanoblock insta dar😢

  • @divahcruz
    @divahcruz วันที่ผ่านมา

    nimependa jibu la mwisho apon, very smart❤

  • @vincej9275
    @vincej9275 วันที่ผ่านมา +1

    Faiza chizzy tuu.

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 วันที่ผ่านมา +3

    Ntangazaji ni mmbea kuliko umbea wenyewe du kiboko tuoneshe na wewe Maisha yako

  • @sporttz15
    @sporttz15 วันที่ผ่านมา

    eti mimba ya mwanaume mwingine kuna neno sahihi kwa hiyo sentensi hamtaki kusema

  • @mcdonaldchrispinus8997
    @mcdonaldchrispinus8997 วันที่ผ่านมา +1

    Saut bwana inakua ndogo …ila dada yuko pwa sana

  • @alsam4881
    @alsam4881 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwa kweli haipendezi kabisa kwa mwanamke kuzaa hovyo na wanaume tofauti na kila mtoto na baba yake ,Yaani haileti picha nzuri na pia kuzaa bila ya kuwa kwenye ndoa, na watoto wake watamuona mama yao kama alikuwa hajatulia, na haileti picha nzuri kwa watoto wake kwasababu na hao watoto wanajifunza nini kutoka kwa mama yao, yaani kufanya zinaa na kuzaa hovyo na watu tofauti au kuwa kwenye ndoa?

  • @merryfortune6555
    @merryfortune6555 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤

  • @berthammasi7302
    @berthammasi7302 2 วันที่ผ่านมา +1

    Positivity ❤

  • @RoseMsariki
    @RoseMsariki 2 วันที่ผ่านมา +1

    I see me in faiza

  • @HappyMasawe-m7e
    @HappyMasawe-m7e 2 วันที่ผ่านมา

    💕

  • @FaudhiaMchunga
    @FaudhiaMchunga 2 วันที่ผ่านมา

    Faiza

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 วันที่ผ่านมา

    Mama sugu

  • @elizajoseph7209
    @elizajoseph7209 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @keyla3641
    @keyla3641 2 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤