Madhabiki ndio wafalme so wasani fanyeni kazi kweli kweli na performance kali sana.Juma nature namkubali sana na anajuwa music na kuperform stage so Juma Nature liamshe Dude .so TNC fanyeni kitu na mukipiga collabo mudaidike pia.Hakuna kushindikizana kwenye utajiri lets share the cake to add value to life.
Kwa kweli Diamond anaweza biashara so wasani wa bongo wazingatie siku za usoni na kulinda na kuzidi kuinuwa Brand ya wanamuziki ili kila mwanamuziki anaye jitahidi afike mbali na pesa mfukoni.
aende zake nae bwege tu huyo hata asipokuwepo show itafanyika na itajaza kwa nyimbo gani alizonazo nae huyo, wivu utamuua na pua yake ya motorolla bapa
Duuu kwel hii vita Imekuwa ngumu sana kwa wcb adi wameshindwa peke yao sasa wameamua kuungana na makundi mengne ili yamsaidie kumshusha konde boy lkn naiman bado hawatoweza
Huyo mkurugenz aseme mwenyew acheni unyonyaji wasanii was zamani kuweni na micmamo kama Ay mwana fa mkatae kulipwa Pesa ndogo bila nyie hakuna bongo fleva
Juma nature kiboko ,nyimbo zake hazija fifia na ziko sawa na kaki sanaa.
Wasafi chama lao ❤❤❤❤
Madhabiki ndio wafalme so wasani fanyeni kazi kweli kweli na performance kali sana.Juma nature namkubali sana na anajuwa music na kuperform stage so Juma Nature liamshe Dude .so TNC fanyeni kitu na mukipiga collabo mudaidike pia.Hakuna kushindikizana kwenye utajiri lets share the cake to add value to life.
Umekaa poa Sana hiyo. Diamond God bless you
wote wasanii wa zamani nawakubari sana.mabraza yeree
Nipo Moshi kilimanjaro nawachekiiiiiiiiiiiii
Juma nature mshamba wasafi waachane nae Ugolo na Banana vinamchanganya
Legendary
vip iyo kofia ya jeshi
🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli Diamond anaweza biashara so wasani wa bongo wazingatie siku za usoni na kulinda na kuzidi kuinuwa Brand ya wanamuziki ili kila mwanamuziki anaye jitahidi afike mbali na pesa mfukoni.
Bro kofia iyo?
AY kumbe mjeshii
Nmekuelewa hapo dadeki ndy wakamkamate sasa
Mmakonde anawapa sana tabu
Safiiiiiiii
Bongo flea yenyewe ndoiyo
Nyie mnazinguaga mnakuwaga wanyonyaji sn
Kwani AY hajui kama kuvaa nguo za jeshi ni makosa? Mbona kavaa kofia ya jeshi
Ambwene hebu liamsheni na Nature hapo katika biashara ya utumwa
hiyo kofia ya jeshi vipi
aende zake nae bwege tu huyo hata asipokuwepo show itafanyika na itajaza kwa nyimbo gani alizonazo nae huyo, wivu utamuua na pua yake ya motorolla bapa
Badara ya kutupa trend mpya mnatupa za miezi 3 iliyopita uko
Tumbo kubwaaa vikta wantonyiiiii
Duuu kwel hii vita Imekuwa ngumu sana kwa wcb adi wameshindwa peke yao sasa wameamua kuungana na makundi mengne ili yamsaidie kumshusha konde boy lkn naiman bado hawatoweza
We makalio kweli alike alikwambia ivyo Nan ndo wamakonde wachawi that's why mnawqza kurogwa kila mara
Mawazo ya kitoto sana hayo rudi shule bro
Stupidity of high level
nyiee wasaafi matapeli kama marehemu ruge mtakwama punde ruge yupo wa mondi sio mungu nyiee atapita watakuja wengine nae harmonize konde boy
Huyo konde wako utasugua Gaga xana,Kwa vle mondy kapenya cyo lazima konde awe vlevle acha kukariri utafeli
Huyo mkurugenz aseme mwenyew acheni unyonyaji wasanii was zamani kuweni na micmamo kama Ay mwana fa mkatae kulipwa Pesa ndogo bila nyie hakuna bongo fleva