MV MAPINDUZI II KUANZA KAZI MACHI, ZAIDI YA BILIONI 8 KUTUMIKA KWENYE MATENGENEZO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 35

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad9392 9 วันที่ผ่านมา +1

    Inshaallah hio Meli sitoipanda katu! Baada ya kutafuta Meli mpya mwatuletea mfu ! 😢waache wapande wenyewe Hawaijui pemba na mkondowe.

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir3153 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hapa watu wanatengexa meli ya kuja kubebebea wapiga kura wao sawa inshallah kheri

  • @GanjaAttitude
    @GanjaAttitude 10 วันที่ผ่านมา +1

    matengenezo zaidi ya bilioni nane. Bora mnunue meli mpya. 😢

  • @FuadKassim-d6w
    @FuadKassim-d6w 9 วันที่ผ่านมา +1

    Wanatuchezea hawa viongizi

  • @BekaBakari-i9v
    @BekaBakari-i9v 9 วันที่ผ่านมา

    Pesa mnazo tafteni Melissa mpya..msitake kutuuwa..mpeni mwenyewe seif ali iddi..

  • @HvhVvb-k3i
    @HvhVvb-k3i 10 วันที่ผ่านมา +4

    Omo na jusa watakuja kutupa ukweli juu ya hii Drama

  • @MuhammadAme-k8k
    @MuhammadAme-k8k 8 วันที่ผ่านมา

    Jaman hawa siyowakwel 2msubirin omo na jus wajawatwambie ukwel juyahil 2 😂😂😂😂😂

  • @Pemba680
    @Pemba680 10 วันที่ผ่านมา +1

    Siwezi panda hii ata iweje😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 วันที่ผ่านมา

    Ukweli waziri wa fedha wa kipindi cha kununuwa meli kapiga hela zakutosha na wenzie wa karibu😢😢😢 ivi mtaenda mjibu nini mungu wenu kesho?

  • @JumaOmar-kp8rx
    @JumaOmar-kp8rx 10 วันที่ผ่านมา +1

    Wizi mtupu bilion 8 za mandishi au za hela wasenge nyinyi hatupandi ukarara uwo

  • @BekaBakari-i9v
    @BekaBakari-i9v 9 วันที่ผ่านมา

    Keptein wenyewe kushachoka je meli...iko siku mtanikumbuka..mkishazamisha watu

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 10 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani wapemba wenzangu tujuane tusiipande mali hilo bovu

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hutuipnandi meli hio Inshallah

  • @FuadKassim-d6w
    @FuadKassim-d6w 9 วันที่ผ่านมา

    ACT ❤

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 8 วันที่ผ่านมา

    Kumbe yakubebea watu wa mikutano yenu sawa 😂😂😂

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 8 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 billion 8 inafanya kazi miez miwili inalala zinatoka tena billion 10

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 10 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi yao kula nguvu za wengi basi ubaishaji tu

  • @FuadKassim-d6w
    @FuadKassim-d6w 9 วันที่ผ่านมา

    Hamna jipya

  • @BekaBakari-i9v
    @BekaBakari-i9v 9 วันที่ผ่านมา

    Rais hussein huo ni mpango wa kutudidimiza nungwi wapemba.tushaumia jamani..meli bovu hilo..

  • @mainicewcb
    @mainicewcb 10 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤zanzibar

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir3153 9 วันที่ผ่านมา

    Serekali haw
    Awana akili hii ishu ilishasahaulika wao wanagalimpa mtu aendeshe isionekana kama ni yao tena

  • @KiringoMtemi
    @KiringoMtemi 9 วันที่ผ่านมา

    Huyu waziri hata hajui anaongea nini meli tuliambiwa ni mpya sasa inataka matengenezo warudishe walikonunua kwani haina mkataba wa matengenezo??mnatufanya majuha kalulu ?????shamba la bibi kuleni tu

  • @NassourHemed
    @NassourHemed 9 วันที่ผ่านมา

    Kwani malindi hatuna chelezo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 วันที่ผ่านมา

    Tatizo hamuwajibidhani ipssavyo sissa zina walinda chukuwa chako mapema 😢😢😢😢

  • @Mrmohadi.OFFICIAL
    @Mrmohadi.OFFICIAL 10 วันที่ผ่านมา

    😂 b 8 Acha kutudaganya utajiri wa mo acha wizi11111

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy 10 วันที่ผ่านมา

      kwa hiyo hiyo tufanye elfu kumi kanunue

  • @musamchaga7103
    @musamchaga7103 10 วันที่ผ่านมา

    Kwann msiuze hata b 5 na mkaongeza na hiyo b 8 ikawa b 13 mkapata mpya

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 วันที่ผ่านมา

    Je hizo gharama mnotengeneza na hizo pesa mlotakiwa kuuza lipi bora?

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k 9 วันที่ผ่านมา

    Sasa hizo bilion nane c mngelinunua boat yenu mpya tuu au meli mpya kuliko kulifufua hilo dude bovuu

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 10 วันที่ผ่านมา

    Ilo jizi kama wengine

    • @youdya
      @youdya 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @MsabahAli-d6u
    @MsabahAli-d6u 10 วันที่ผ่านมา

    Haina lolote siku mbili linsbuma

  • @hassanomar4446
    @hassanomar4446 10 วันที่ผ่านมา

    Hatuipandi