Watu watatu wauawa kwenye shambulio la kijambazi eneo la Tot, Elgeyo Marakwet

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • Watu watatu waliuawa ijumaa katika mashambulizi ya kikatili yanayodaiwa kutekelezwa na majambazi katika barabara ya tot kuelekea Kalowa mpakani mwa baringo na Elgeyo Marakwet, hali ambayo imeibua tena wasiwasi wa usalama eneo hilo. Viongozi wa eneo hilo wamemtaka waziri wa usalama wa ndani, kipchumba murkomen, kuchukua hatua za haraka kukomesha wimbi jipya la uhalifu katika eneo hilo.

ความคิดเห็น •

  • @cyruskomo2979
    @cyruskomo2979 14 วันที่ผ่านมา

    Gasia yeye

  • @francismeeme3693
    @francismeeme3693 14 วันที่ผ่านมา

    Police wako haiti

  • @cyruskomo2979
    @cyruskomo2979 14 วันที่ผ่านมา

    Venye anatuma abductors to rift valley to deal with there. People