Tamthiliya hii inatuelimisha sana. Ina mafunzo makubwa sana katika maisha yetu. Team mkojani gang hongera sana. Nawafatilia kutoka marekani hongera sana
Konde boy hapa jina la usanii naitwa TOLA.. kwenye shemshem nimeshiriki kama mpangaji. Ni msanii mpya mashabiki wa MKOJANI GANG naomba mnipokee.. HAPPY NEW YEAR 2024
Weeee so kwa mama kipenzi lbd kama akuroge ndo akuambie hivyo lakn kwa akili tumamu huwezi fanya Huwo ujinga ni bora apite ivi upite kule...weeeeee🙄 unaongelea MAMA...think twice dr
Tamthiliya hii inatuelimisha sana. Ina mafunzo makubwa sana katika maisha yetu. Team mkojani gang hongera sana. Nawafatilia kutoka marekani hongera sana
Huyu mmakonde anajua kuigiza na ndo mara ya kwanzaa kumuona ana kitu na atafika mbali.. 😂😂😂
Ii ni movie lkn uyu dada nimemchukia sana
😂😂😂😂😂😂😂sasa ww mke wa mkojan umemroga kakko but mkojani ataoa mke wa pili ju anajua nagwa hauko so hakuna atakyezuia aweeeee salutiiiiii😂😂😂😂😂😂
Ila uyu mmakonde nmemuelewa.sna umu
Nimekua wa Kwanza jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii movie INA FUNZO KUBWA SANA KWANZ HUPASWI KUPENDA KIASI HIKI MKOJA ANAONEKAN YUKO KI MASLAHI TU MALI NDIO ZINA MUWEKA HAPO
Mkojani acha utapeli Fanya kazi halali usitegemee mali za ukweni
Wadada kweli mnatuua kwa kuwapenda waume zenu
Konde boy hapa jina la usanii naitwa TOLA.. kwenye shemshem nimeshiriki kama mpangaji. Ni msanii mpya mashabiki wa MKOJANI GANG naomba mnipokee..
HAPPY NEW YEAR 2024
karibu sana kaka, mkojan gang funs tumekupokea na tumefurahia ushiriki wako ni saf sana
Nashukuru sana na nimefurahi kwa kunipokea vzr..
@@TOLA_TZunyama wakuzd mwanang nikukaza 2
Konde boy kaingizwa chakike namkojani😂
Siyo majivu MAFIGA
Kaka Haji ndio amebaki na hajielewi 😢😢😂😂😂😅
Hata kama ni movie. Nimemchukia huyo mdada na mkojan
Hata Mimi huwez Amin 😢
Walai hili movie pasua kichwa yani waigizaje wote wakali hauboeki....😅😅😅
Konde boy maneno mengii
Sisi wanawake unaweza ambiwa muuwe mamaako na ukamuua kweli khaaa 😢😢
Weeee so kwa mama kipenzi lbd kama akuroge ndo akuambie hivyo lakn kwa akili tumamu huwezi fanya Huwo ujinga ni bora apite ivi upite kule...weeeeee🙄 unaongelea MAMA...think twice dr
@@najmakajiru6060 mama angu achana na sisi wanawake kabsa,we huoni mtu anatokea mtandaoni anasema namchukia sana mama angu
Huyo mke wa mkojani akili yake haina akili kweli
Yan rahma anavyojikausha kama sio yeye jmn khaa watu wanajua kujikausha aisee, 🙌🤣
Haji nenda tu Kwa mganga ujue rangi za uyo nduguyo aisee😂
Haji amekuwa chawa fasta ela bana😂😂😂
😂😂😂 Sheria imepelekwa poli chezea mkojani wewe, mkojani kwenye kipengele Cha uchawi ni balaa
This is love❤🎉 from Moçambique 🇲🇿🇲🇿
P1
Ila uyu dadayao uyu mke wa mkojan nimemmaindi kinoma pumbavuuuuuu😡😡
POLE NAGWA 😢 DAH BINADAMU WABAYA MNO MNOOO JMN
Duuu mapenzi shikaamoo 😂😂😂atiiiiiinta
Sema dada hake na nagwa hakili hana kumuloga kakaakee iyo hatujapenda
Kapenda kaoza
Huyo mke wa mkojani kaaribu movie
Haji nenda kw mgangàaa utaujua ukweli huyo dada ako anajua alilolifny n mume wake half anajifny haelew
Yan uyu mke wa mkjan mpuuz sana Yan
Haya leo nimewaoongoza 🎉
Team mkojani good movie
Aaah huyo ni wakuuwa tu 😂😂😂😂
Wa 18 naomba like
Mkojan jaman kwann umemroga nagwa yeye ndie anaechamsha movie nampenda na misemo yake ya kisela
Kweli kabisaa yeye ndio amechangqmsha hii series
Jamani mambo yapo yamenitokea
Nakubarii atintaa ,, sheriaa😂😂😂❤
Kusema ukweli haji mi simwelewagi
Mkojani Noma kabisa 😂😂😂😅
kwel mapenzi lakin ci ivi 😂😂
mkojaniii hatar❤
Dhaaa mapenzi shikamoo
wakwanza leo leik
Mkojani anambinu mbadala akiona akuwezi kwa njia yakawaida anakutafta kiuchawi mkojani nibalaa hafai anambinu nyingi akiamua lake lazima lifanikiwe
Huyu mke wa mkojani jinga jinga
Sana
Yaan mpuuz kabsa 😏 anajua kila kitu
Bro mkojani wewe hatari et
Wa kwanza leo
Kbc shke khajii nendeni kweny lamlii
Mkojoni mtu wa maslahi tu
Nyi wanawake mnaloo ngumu haaaaa
Uyu hajie na Dadaake wangese tu hata kama ni movie
Ila mkojani sasa ameniudhiii😢😢😢😢
Wakwanza leoooooo
Im the one🎉😂😂
Mwanamke anamloga ndugu yake kisa mwanaume huyu kenge kwel mwanamke.
Yani kanikwaza sana yani huyu mwanamke
Nagwa upone jaman
*Nagwa Kama Nagwa*
Ila mkojani daa
ailijamaa zembeyani
🎉🎉🎉🎉 Happy New
Wakwanza 😂
Nondo wa The North
Ilo naloo kma jinga limemloga lenyewe alafu linalialia😡😡
😂😂😂😂😂yaan anakera kweli2 anajifny hajui wakat ye ndo aliyemtoa
Good good 👍🏾
Ila mkojan
Ukiingia kwenye 18 za mkojani umeumia
Wakwanza leo
We mwamba mkojani hatari sana
Wakwanza siitaji like 😂😂
❤❤❤❤🇸🇦🇰🇪🇸🇦🔥🔥🔥
Kama nagwa akipotea hiii movie itakosa utamu
Tuish nao tu lakn hawa!! Ni hawa kwel
Mkojani gangi14
Like zang jamn wakwanza leo🎉
🔥🔥🔥
pa1
Hiiiii❤
👀
❤❤❤
Likes za kenya😂
😢
'
❤❤❤
❤❤❤