Naamini Simba wanaweza kulipa kisasi kwa Chama ila sio kwa kumchukua Azizi Ki, Aziz Ki akitaka 50M mshahara na akalipwa tutakua tunatengeneza ufalme wa masta Ki ndani ya Simba kama tulivyotengeneza ufalme wa Chama Uliotukosti misimu miwili, Imagine unamnunua mchezaji kwa pesa ndefu aje Msimbazi wakati ana mahaba na Yanga tunatengeneza tatizo lilele bora tubaki na Mpanzu au Mayele
Ingekuwa cmba happy yanga ingekuwa midomo juu
Aziz k welcome simba sc
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba hii saplaiz ❤❤azzi k timu hizi hazijaanza leo umafia huu🎉❤❤❤ inakuja kuwa balaa iga ufe
MO fanya kazi bosi ❤ Wanguvu
🎉❤❤🎉imeiishaaaaaa hiyooooooo azzi k nimali ya mnyama aaaaaaaaaa
Siyo kwer azizi k kuja simba
Hakuna mchezaji mwenye mapenzi na timu mpira kazi yeye anaangalia maokoto
Kaka dawa yedeni kuripa mkuki kwanguruwe kwabidamu uchungu❤
Waislam tunasema Kama tadiinu tudaanu
Miaka 100 makolo hawawezi kumnyakua MSTER K
Yanga roho mkononi kama alivyotuambia kwa chama mtajua hamjui
Kwaiyo unaniambia tiali wamemaliza na aziziki nasimba
Imeisha hiyooooo ki mnyamaaaaaa
Unaamini kua masta ki bado hajasaini mkataba na Yanga hadi sasa? Na kama kweli hajasaini Yanga hadi sasa basi Aziz Ki hawezi kua Yanga
Natoka kumuangalia mwanangu uwamjani kama anajua mpira niuze hapo tv nimnunulie viatu kumbe mpira unalipa hivi.
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba nomeamini spot arena ukweli mnyama mwaka ujao timu zitakimboa
Kaka nikweri aziziki anakuja simba mbona tafanya sharehe jaman
Na kuche ukweli udhihiri
Kisasi ni haki
Muosha huoshwa
Kwanini asiwe azz k
Ahmed Ally alisema ubaya ubwela
Kwani Simba kuwana tamaa inakuuma nini?
❤❤❤❤❤
Mange auwae Kwa upanga kifo chake na yeye ni Cha upanga
Waandishi punguzeni uongo,mnawajengea wachezaji wa kigeni soko na gharama kwa vilabu vyetu.
Alikuwa amebkza sk 9
Tunapiga kwenyemoyo mnyama ki
Mo piga kwenyemoyo
Mo alipe kisasi
Awongee kiwahili
Nd.MO. washikize adabu hawo upande wa pili.
Kilajema linamaunivu..dadeki
Saut hatuku sikii
Aubin kramo mbona hujamtaja na kaongezewa mkataba au yy sio wa kigeni
Naamini Simba wanaweza kulipa kisasi kwa Chama ila sio kwa kumchukua Azizi Ki, Aziz Ki akitaka 50M mshahara na akalipwa tutakua tunatengeneza ufalme wa masta Ki ndani ya Simba kama tulivyotengeneza ufalme wa Chama Uliotukosti misimu miwili, Imagine unamnunua mchezaji kwa pesa ndefu aje Msimbazi wakati ana mahaba na Yanga tunatengeneza tatizo lilele bora tubaki na Mpanzu au Mayele
Mpira ni kazi sio Mapenzi kwa timu,km uwezekano wa kumpata freshi tu na aje
Vp kaka et mo ametuma dau kwa azizi?
Anatua leo saa ngap bro
Mh
.
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
Mgondevp,mpazu,vp
Propaganda tu izo hamna icho kitu
Simba tunaweza Niko kitu 💯💯😂😂😂