Obby Alpha Ft Guardian Angel - PIGANA NA MUNGU (Official Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2024
- Yoshua 1:5
Hapatakuwa mtu ye yote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe sitakupungukia wala sitakuacha. - เพลง
Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya. [ Kutoka 14 ;14 ]
My favourite bible verse🙏🙏 Amen Amen
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Great we have guardian angel 💯💯💯
❤❤❤
Aaaaameeen.
Jamani mi nimekua wakwanza ku comment naombeni like zangu
Iike huwa zinaqasaidiaga nini
@@mshewetvmimi hushangaa
Like yako hiyo, ningekuwa na uwezo ningekupea million likes
Napiginiwa na Mungu msishindane na mm mtaangukia pua
😂😂
FROM DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 naomba like zangu
❤
@@NeverTenga ❤️❤️
drc congo amuna wasani kutisinda kenya
@@washingtonewachara5886 ume jidanganya Congo ipo juu sana ndugu yangu
Kenyans lets gather here and support the song its amazing
true we should support our own
Kabisa job well done
yes
I love how Kenyans come together to support Guardian angel ❤🎉🎉 because he never disappoints ☑️☑️💯☑️🥰 nipeni likes 20 tukisonga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Eeeh wimbo huu niliysubiri kwa ham sana,wimbo wa Dunia huu. Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kwa mshikamano mzuri kama huu. litukuzwe jina na Bwana wa Majeshi.
🥰🥰🥰🥰Team gulf tume approved hii song 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Tujipe moyo. Tujikaze tuki omba Mungu atupiganyie
Amen ❤❤
Amen
The only way to fight gossip, racism, rumours, failed marriages after doing our part is kumwachia Mungu apigane nao. Its on our knees that we win battles, its only on our knees that he wins our battles for us. Revenge, bitterness and blame solve nothing, nyie mpigane,shindane, na mwindane na Mungu. Awesome song
Wimbo Mzuri Sana Good Message Love From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hii nyimbo iko ujumbe mzuri Kwa maisha yetu wakristo na wanadamu pia
Kaka ubarikiwe sana,nyimbo nzuri please dumu ktk Yesu mafanikio yasikutenge na huyu Yesu
Kweli kabisa, tunapokosa nguvu yeye Mungu ni nguvu zetu, Asante kwa msg nzuri
❤❤🎉🎉 Ni kweli kakangu wapigane Na Mungu wetu. Napenda kazi yako
Vita vyetu si mwili bali vya kiroho,na vya roho ni Mungu anapigana.
❤❤❤❤ beautiful song #GuardianAngel #ObbyAlpha
Good job alpha and gudian angel ..huu ujumbe uwafikie wote wanaompiga gudiani vita haswa vijana wadogo they still have a long long way to go..
First day hearing this, Valentines Day 2024, wish I found some true love
Jesus is the true love you’re looking for
Huu wimbo umenikuza sana obby mungu akubariki sana obby🙏🙏
I have viewed this song more than 5 times ❤ I love it
Hallelujah,,,,,,PiganaNaMungu mechi ngumu hii😇 nobody can stand agaist GOD
Alpha and Guardian,God bless you the way your songs bless us🙏
Amazing bro,big up. More grace,tuwaachie Mungu apigane nao
one of the best songs,siwezi pigana n ww nanyosha mikono 🙌 juu ww pigana n mungu ju vita sio vyangu🙏🙏
Siwezi pigana nawe nanyosha mikono juu basi pigana na mungu. ...mungu awabariki alpha na guardian
Mungu yu mwema ndani ya maisha yetu
This song comes as an encouragement to me.
Naishi uni miaka Saba bila kupeana kashimo at great deals(juu at some point I was a students leader and had contact with these politicians). Then nikaenda kutengenezewa simu time ya lockdown mtu akataka kunibaka..
You try to rape a virgin whose virginity is covenant sealed with the heavens??
Nilimpeleka adi IPOA coz I had the medical report(evidence) but still didn't get help. Nilipomuachia Mungu alikaa mwezi moja na wiki moja akashikwa..
Akaishi remand miezi sita. And I'm still leaving it to God. Let him fight with my Dad.. Man to man..
Alpha and Our own Gurdian to the World ❤❤❤❤🇰🇪
Familia ya Kiswahili, tumebahatika na kubarikiwa kuusikia wimbo huu mzuri. Nimesikia kutoka 🇷🇼
I'm coming direct from TikTok having seen this challenge from presenter Kai. The song is really amazing 🙌
Siwezi pigana nawe nanyosha mikono juu basi pigana na Mungu
wee. Wee
Siwezi shindana nawe nanyosha mikono juu basi shindana na mungu wee. Wee ❤❤❤.
Oh what a message on that rhythm the vocals and the beat is on point
The sound and a perfect genre
Keep sprouting servant of God
MUNGU azidi kukupigania barikiwa sana mtumish obby...
Oh my I need the lyrics,good job guys keep it up...from today nitawaachia wapigane na Mungu...
East African Gospel Stars 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Haki nime penda hii song sana kwangu no kama national anthem 😊
Que Deus seja louvado eternamente!! Amina Amina ❤❤❤👏👏🕺🕺🕺good aman Que yes methali 3- 5- 7
Mungu azidi sana kukupandisha juu kwa viwango vya tofauti❤
Mwenyezi MUNGU Wa Rehema Na Utukufu Azidi Kukusimamia OBBY ALPHA...
Anyone reading this comment God bless u as u listen to this song ❤
God bless you Alpha..go to the world in Jesus Name 🙏 make
Kitu kali kweli, asanteni sana Obby na Guardian kwa kibao hiki chenye wingi wa baraka 🙏🏾. Much love from 254 🇰🇪❤️🙌🏾🔥💯
Sikiza bwna sijjui obi au n nani wewe si mtu wakuimba nyimbo za kidunia ww unao upako wa roho mtakatifu huduma njema unayo mwabudu mungu msifu mganyie mungu kazi duniani toka kbs unayo mbegu ya mingu ndani mwako
Dah we jamaa unaimba sana bwana.....Allah ni mwema sana
A timely ministration! God is happy!
Hongera kijana kazi nzuri
Amaizing song with best melody 💥🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇧🇮🇨🇩🇸🇩🇸🇸🇨🇬🇷🇼
I love the song very much thou I dont understand the language.
I have been following Guardian angel for sometime now
someone will copy to you the meaqning later dear
You are not alone, I only hear Mungu😂
Mungu akuinue ktk kiwango cha juu kabsa huu wimbo wa mwaka jamani umetulia na una upako .
I like the song - is in my everyday PLAYLIST. Barikiwa 🙏🙏
This is just the best of 2024 new year song
Long wait, finally out, big up❤️❤️
Vocals on point. Beautiful message. Hongera sana kwa wimbo mzuri.
Nimeusikia huu Wimbo Radio Wapo umenifanya niutafute nimebarikiwa mno hongera sana kwa huduma
GOSPEL IS NOT DEAD AS THEY SAID , GOD IS WITH US
Ameen mkuu Hongera sana kwakweli
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Nimenyosha mikono Sasa namuachia MUNGU Wapigane nae
Nime ipenda yeriko yako Broo Mungu akutumie viwango vya juu sana from Mbeya airpoty ya zamani
Kenya is watching ❤❤❤❤🎉
Approved, let the 🔥 🔥 🔥 keep bugging,tuko nyuma yenu . till Jesus come..........
Wimbo ni mziri sana umenigusa sana Mungu azidi kukuinua kaka
Hallelujah 🙌🙌🙏
Pigana na Mungu
Mungu akubaliki sn mpendw naendele kukutumi kwajinsi apendavyo
Hakika sipigan mwenyewe anaenipigania bi mungu❤️
Can't get enough of this song❤❤❤more blessings ❤❤❤
Kaka kazi nzuri sana
A good message...vita sio vyetu...tunapiganiwa na mungu..
Wa tatu like tafadhari
umepata
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ June 2024
Mnipee like ya Kenya ❤️
if you want to fight
Wimbo ina message / Mungu pigana na hao wanaopigana na mimi
Acha tubarikiwe Kwa hili goma noma sana 🎉🎉🎉😂😂noma sana 🔥🔥
Ni nini Mungu haezi tenda . 🙏
Hongera sana vijana kwa kazi nzuri ya Mungu
Chenchi Seen It , Let's Go To Enjoy Good Music In God We Trust Alpha Never Dissapoint 🙏 🙌 ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Huu wimbo mzur sana, mungu awabariki❤
Wow,,I love this song so much ❤❤
Legends in the making,God bless you🎉❤❤❤❤❤
Tanzanian Ojooo😂🎉🎉🎉@ObbyAlpha🦅🦅🦅🦅 we love ua music
Mungu akuinue..nimebarikiwa sana na wimbo huu..
I don't understand a word of it, but the song hits hard to the soul. God bless from USA/Ghana.
Hallelujah mungu ni mwema
Napenda ubunifu jamani jaaa yup poaa sana more creative ❤❤
Siwezi pigana Weeeeeeeh Nanyosha Mikono Juu Wow Love The Song,Music Doctor More Blessings 🙏🙏🎷.
What a song, what a videooo 🔥🔥🔥🤝
We need to be proud with this young generation accordingly to hit song OBBY ALPHA
The Only Problem With This Song is that is a Hit 🔥
My fav gospel artist guardian may God continue blessing you brother ❤
Mungu najua utanipigania kwa hali yote
I have listen to this song over and over it has really touched my heart ❤❤❤
Thank for the song for sure Haina haha kupigana kimwili❤❤😊
Wacha ninyamaze ,God pigana nao
Mimi nimemwachia Mungu anishindanie dhidi ya hiki kifua ambacho kimeniuma kwa muda zaidi ya mwaka moja!
Ooh Yesu ni muema sana❤Amina amina❤🎉
4anaye niwinda namuajia mungu apikane Naye ,God bless you guys
🔥🔥🔥 ubarikiwe sanaa mtumishi wa Mungu keep going uko vzr sana
Such a powerful song
Guardian Angel's voice is just Angelic.
Music doctor thanks for the lesson and always blessing us hii collabo imeweza
This Masterpiece is on Another Level.
Love, love ,love this......👏
Grace at work. Fight with God.
So worth it!! All in all.