Ondieki Nyuka Kwota: Moi Alitupea Shamba Kitisuru Lakini Hatujaiona Ng'o!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Akiongea kwenye Jambo Kenya muigizaji matata Ondieki Nyuka Kwota alidokeza kwamba walipata minongono kwamba huenda Aliyekuwa Rais Wa pili wa nchi yake Daliel Arap Moi aliwapa waigizaji wa VITIMBI shamba maeneo ya Kitisuru ,Shamba ambayo hadi wa sasa hawajawahi kuipata #OndiekiNyukaKwota #RIPMOI #JamboKenya
Ondiek is such a great guy. I know him personally and he such an awesome guy and BTW a God fearing man too.
These guys are great actors, plz vitimbi irudi kwa citizen TV dont'u see how talented these guys are???
Ondieki is a legend
Ondiek anakuaga mfunny kweli
Ak ondieki.you are. Really actor
I love this guys 🤣🤣🤣
melody the cute girl💚💔💖........uyu nyuka kwota ni mfunny akh.
Uhuru pls give these people(vitimbi)their due share
nawafollow live kutoka moi university kesses
I used to like this man so much as a kid
Kenya kila mtu nanajiteteya but waiting ndio wengi
Taifa letu halitambui wasanii safaricom inatupatia 100% serikali yetu inatunyanganya 60% msanii anakufa maskini nabkuchangiwa wakati wa mazishi ili Hali usanii haufi they don't care # atatusaidia nani# God help msanii
Vincent Toa hiyo Jezi sasa. Nimeiona leo😂😂😂
tena
Vitimbi you were nice honesty
I witnessed these stories in state house. Long live guys.
Thanks for confirmation
this guy is real
RIH moi
odieki tumekumiss sana
Wapewe nafasi yao kwani wamefanya mengi
Baba mwenyewe alikua anasema itia mimi vitimbi na mary atieno
Ondikiek uko fiti sana kunako fani
Shamba shape up ama shamba
Sio shamba ni samba
wapewe haki yao aki....sasa ni nani alichukua hiyo shamba yao wuiee.
Ondieki mula quota hazeekangi
Miss vitimbi aki
Hahaha uuuuuuuuuuuu ii
Ondiek nyikakwota mankidi Oloba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha