#SUMBAWANGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Tazama kinachoendelea kwa sasa Kanisa la TAG Sumbawanga

ความคิดเห็น • 10

  • @lauthandondile
    @lauthandondile 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana Kwa kazi nzuri, ni wakati sahihi mataifa yaelewe yupo Yesu anaefanya hata yasiyowezekana

  • @dicksonkahesya4442
    @dicksonkahesya4442 10 หลายเดือนก่อน

    MUNGU awabariki sana watumishi wa Mungu, haya majengo tunayaona tu Kwa wenzetu, kumbe inawezekana daa hongereni sana

  • @anociatafungameza
    @anociatafungameza 10 หลายเดือนก่อน

    Askofu Bryson Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri. Eneo hilo lilikuwa halifai kabisa kujemgwa kwa aliji ya maji yaliyokuwa yanatuama hapo, wenzangu mnaotoka Sumbawanga mtuakumbuka. Kweli kwa Yesu inawezekana. Ni kanisa zuri sana. Nikiwa Sumbawanga Huwa ni kanisa langu hili.❤❤

  • @PaulMwanisawa-bk6pq
    @PaulMwanisawa-bk6pq 10 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sana kwA hekalu zuri la BWANA

  • @angumbwikeanangisye6655
    @angumbwikeanangisye6655 10 หลายเดือนก่อน

    God bless you bishop and your church

  • @lawrencekamete2404
    @lawrencekamete2404 10 หลายเดือนก่อน

    Hakika Mungu ainuliwe kwa Yale anayotenda kwa kazi yake akiwatumia watumishi wake.

  • @ShanMapunda-sz7kb
    @ShanMapunda-sz7kb 5 หลายเดือนก่อน

    Uzia

  • @JacklineDaudi-tf2du
    @JacklineDaudi-tf2du 10 หลายเดือนก่อน

    Bwana Yeah APEWE SIFA man of God"Benedict hapa tulkuwa wote bonde la baraka Tanga chumbagen,kwel utukufu hadi utukufu kaka

  • @user-fq4ys9ws7u
    @user-fq4ys9ws7u 10 หลายเดือนก่อน

    Amee amee

  • @JacklineDaudi-tf2du
    @JacklineDaudi-tf2du 10 หลายเดือนก่อน

    Hyo account ya mke wngu