Hapana hajakosea ni uelewa wenu ndio mdogo sana maana mtu anaefanya mazuri husifiwa Kwa namna nyingi, ata wewe unabarikiwa kupitia nyimbo za Paulo siria 😂
@@bayarotikullaa2044 ndiyo nimebarikiwa kupitia nyimbo sa Paul lakini kumuimbia kama mungu iyo ni makosa sana ata uyo kijana ajielewi kabisa chenye anafanya
Hapana hajakosea ni uelewa wenu ndio mdogo sana maana mtu anaefanya mazuri husifiwa Kwa namna nyingi, ata wewe unabarikiwa kupitia nyimbo za Paulo siria 😂
Hapana hajakosea ni uelewa wenu ndio mdogo sana maana mtu anaefanya mazuri husifiwa Kwa namna nyingi, ata wewe unabarikiwa kupitia nyimbo za Paulo siria 😂
Hapana hajakosea ni uelewa wenu ndio mdogo sana maana mtu anaefanya mazuri husifiwa Kwa namna nyingi, ata wewe unabarikiwa kupitia nyimbo za Paulo siria 😂
Nyoko nyie mlio tukana kijana wawatu kwakuonesha kipaji chaki nawasani wakimwimbiaaga magufuli au mama Samia yeye ni mungu hongera broo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Sikiliza mpaka mwisho ndo uhukum jamen
Hongera sana kaka kwa wimbo mzuri umetisha bro lai ❤❤❤❤❤❤
Ubarkiwe na wewe pia
We kijana umetisha Sana utapewa sifa kwenye hamna Ila sawa maono yako Sii mbaya endelea make naye Paulo anasifiaga watu
Mimi namuunga mkono dogo
Yona sekondari
Yona
Chawa sana Paulo umekuwa unamsifia mduhulamat samia wakati jamii inaangamizwa
Hongera sana kwa hilo❤❤❤❤
❤❤❤ nice song
fafi san unakipaji ya VIP👑
Paulo anakidanya jaman juu yeye anaabudu mungu wewe unaabud yeye
Dah sw ila cjui 😂Ila nikama mnarudisha CFA kwake bdala ya kumsifu mungu Aliempa kipaji hicho
Aky uyu amepotea kabisa sifa anasipea Paulo nikama ni mungu wake aky uwu imezidi sana😅😅
Hapana hajakosea ni uelewa wenu ndio mdogo sana maana mtu anaefanya mazuri husifiwa Kwa namna nyingi, ata wewe unabarikiwa kupitia nyimbo za Paulo siria 😂
@@bayarotikullaa2044 ndiyo nimebarikiwa kupitia nyimbo sa Paul lakini kumuimbia kama mungu iyo ni makosa sana ata uyo kijana ajielewi kabisa chenye anafanya
Dah sw bna ila 😂Cjui sasa mnamsifu mungu au binadamu
Sasa mnasifu binadamu badala ya Mungu,kuimba kwake utukufu na sifa imrudie Mungu sii yeye
Aky mungu atusamehe uyo ata ajui maana ya wimbaji anaimba tu
Hapana hajakosea ni uelewa wenu ndio mdogo sana maana mtu anaefanya mazuri husifiwa Kwa namna nyingi, ata wewe unabarikiwa kupitia nyimbo za Paulo siria 😂
💯🙏🙏🙏
❤
@@markboy-z2p be blessed
❤❤❤😂😂😂😂
Mkumbavu sana uyu
Hahaha hahaha 😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
Kwani nowadays mambo imebadilika badala Mungu aimbiwe ....mwanadamu ndo anaimbiwa Mungu urumiya watu wko
Aky uyu amezidi sana ata ana haya
Hapana hajakosea ni uelewa wenu ndio mdogo sana maana mtu anaefanya mazuri husifiwa Kwa namna nyingi, ata wewe unabarikiwa kupitia nyimbo za Paulo siria 😂
Ww jamaa angu jirekebishi badala umsifu mngu wako aliye kuumba na kukupa pumzi ya Bure unamsifia bidamu
Sasa anayeabudiwa hapa ni Mungu au Paulo siria mmh Aya bwan
Hata na Mimi sielewi hawa jamaaa
Hapana hajakosea ni uelewa wenu ndio mdogo sana maana mtu anaefanya mazuri husifiwa Kwa namna nyingi, ata wewe unabarikiwa kupitia nyimbo za Paulo siria 😂
@@bayarotikullaa2044 mmmm ati