HUSNA MASSANZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 26

  • @halimaabdallah2197
    @halimaabdallah2197 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @tumashee4174
    @tumashee4174 8 ปีที่แล้ว +2

    Dada zetu viduki au isha shauzi inshaallah mola awaonyeshe njia ilonyooka

  • @mcmassanza4284
    @mcmassanza4284 7 ปีที่แล้ว +2

    Maashallaah Kazi nzuri mnoo...
    Nimeipenda sana jamani hamjatoa zingine?

  • @HabibaHabiba-mi1ez
    @HabibaHabiba-mi1ez 7 ปีที่แล้ว

    kazi kweli uwislamu saiz ni kazi

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 5 ปีที่แล้ว

    Masha Allah masha Allah mungu awabariki

  • @hammybeshan7537
    @hammybeshan7537 6 ปีที่แล้ว

    mmmmmh Aisha asalam alykum BT sio viduku ila alla alisema wakat wakumtukuza yy chezen muwezavy so alhamdulilah

  • @jumannemashaallah.mrimbeni5103
    @jumannemashaallah.mrimbeni5103 6 ปีที่แล้ว

    Mko vizuri,ila muwe mnashusha shungi mpaka vifuani,hatutaki kuona hayo matiti.

  • @dijamonta3894
    @dijamonta3894 7 ปีที่แล้ว

    mashaallah

  • @suleimansuleimani8495
    @suleimansuleimani8495 7 ปีที่แล้ว

    nice qaswida

  • @niyihjji2565
    @niyihjji2565 8 ปีที่แล้ว

    mashallwah

  • @hamzadaud3073
    @hamzadaud3073 9 ปีที่แล้ว +1

    jamani nyinyi unautani izo sio qasda bali ni taarabu ila nyibo nzuri sana

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 8 ปีที่แล้ว +1

    muache kucheza viduku jamani.alaf mtumie dufu kama dini inavyosema

  • @خديجهعلي-خ4ص
    @خديجهعلي-خ4ص 8 ปีที่แล้ว

    group mashauz

  • @aishaommy5093
    @aishaommy5093 8 ปีที่แล้ว +1

    kinanda ni kharam mtme hapend na hii sio kaswd ni taarabu kama si taarb basi ni mziki kwasabb mwacheza hadi kiduku bdo jitahidi na allah awaonyeshee njia nzuli

    • @yusufaura8237
      @yusufaura8237 6 ปีที่แล้ว

      Sikia ujumbe ulio ndani ya wimbo hiyo ni mawaidha mazuri sana wacha kuharamisha kila kitu

  • @abupeter9561
    @abupeter9561 6 ปีที่แล้ว

    Ipo vizuli xna

  • @saidmussa8694
    @saidmussa8694 9 ปีที่แล้ว

    Baada ya miaka kadhaa mbele kizazi cha Kiislamu kitakuwa kimepotea mbali na misingi ya dini yao kwa kuendekeza Vinanda kama hv.

  • @rahmamohamedi1471
    @rahmamohamedi1471 9 ปีที่แล้ว

    jamani. hii. ni nyimbo. hivi. mnafundisha. nini. waislam. wenzetu

  • @saphinatmsawa4492
    @saphinatmsawa4492 7 ปีที่แล้ว

    jaman acheni hila waislamu wenzangu mbona hii qaswida n nzur tuu haina tatzo lolote.....kikubwa wanamtaja mwenyez mungu na mtume wake tuwape support jaman sas nyie mkiwaponda tena mnakuwa mnawapa makafir nguvu...tushirikianen jaman

    • @zuberijuma1982
      @zuberijuma1982 5 ปีที่แล้ว +1

      Mashaanlaa anla awape kila LA kheri

  • @donaldmwangobhe
    @donaldmwangobhe 6 ปีที่แล้ว

    Asalam aleykum, jamani ninashida na ile qaswida inayoimba ..nenda mama nenda mama nendaaa kamuheshimu mumewako nenda,hiyo ndiyo pepo yako nenda.... Ninaitafuta sana msaada jamani.

    • @jumachaula737
      @jumachaula737 6 ปีที่แล้ว

      kweli kaka watutumie jamani

  • @abibabakari1932
    @abibabakari1932 9 ปีที่แล้ว

    dada acha utani na allah hiyo ni nyimbo au qaswida nzr lkn

  • @zuberijuma1982
    @zuberijuma1982 5 ปีที่แล้ว

    Mashanlaa