Magoli | APR FC 2-0 Azam FC | CAF CL 24/08/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 152

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni HEBU mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uwnde mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @NgabonzizaOlivier-qk9ec
    @NgabonzizaOlivier-qk9ec 2 หลายเดือนก่อน

    APR fc only the sky is limit 🔥👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥 and thxs AZAM tv for ur professional ❤❤❤ Apr fc fan give credit baba

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 2 หลายเดือนก่อน +25

    AZAM wapumbavu kweli, kila wakishirki michuano ya CAF wanatolewa hatua ya awali. iwe ni shirikisho au Champions league kazi ni moja. Wanashindwa na Biashara, KMC na Namungo, WALIFANYA vizuri waliposhiriki. AZAM BORA MPISHE TIMU NYINGINE ZISHIRIKI, HATA KWENYE LIGI MUINGIE TOP FOUR, INABIDI TFF IFANYE NAMNA msiende kuitia aibu TANZANIA. 😂

  • @josephhakizimana5607
    @josephhakizimana5607 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mshindi wa goli la pili la APR FC siye NIYIGENA Clement yaani Mugisha Gilbert. Hongerani APR FC. Mmechapa kazi sana sana. Msirudi nyuma hata kamwe.

  • @emmanuelhitayezu9836
    @emmanuelhitayezu9836 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kudos to APR FC players and fans who never stopped believing. Aluta continua….

  • @MukandagaAgnes
    @MukandagaAgnes หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ apr

  • @FrankMarwa-sk3gs
    @FrankMarwa-sk3gs 2 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni Azam kwenye mpira Kuna kushinda na kushindwa

  • @placidendera2031
    @placidendera2031 2 หลายเดือนก่อน +3

    Lion king of east Africa we back

    • @KhamisiHilali
      @KhamisiHilali 2 หลายเดือนก่อน

      Azam fc 😎🥢

  • @RJBK1507
    @RJBK1507 2 หลายเดือนก่อน +2

    APR ❤🦁🦁🦁🦁🦁

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hao ndio Azam tunao wajua hawajatushangaza hata kidogo nahiyo ndio Club Bingwa Asanteni sana Keakushiriki Kila kitu Mnacho lakini Mnamlipa Boss wenu maumivu tu

  • @BenjaminChakwe
    @BenjaminChakwe 2 หลายเดือนก่อน +6

    APR WANA FANBASE KUBWA KUMBE

    • @a-gi7mw
      @a-gi7mw 2 หลายเดือนก่อน +2

      Sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

    • @United4ever1
      @United4ever1 2 หลายเดือนก่อน +1

      They are the Simba & Yanga fans mocking

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 2 หลายเดือนก่อน +2

    Azam wamenisikitisha sana .. sijui niwashitaki kwa kukatisha furaha yangu?.. azam azam azam😢😢😢😢

  • @MauriceNgaboyisonga
    @MauriceNgaboyisonga 2 หลายเดือนก่อน +2

    APR n Simba mbaya sana sana

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hii nafasi ilikuwa ya Simba. Azama hamna kitu wanaweza. Bora watani wetu kweli huwa wanapambana hatari.

    • @dicksonmakunenge4614
      @dicksonmakunenge4614 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nafasi ya simba kil vipi wakati simba ni ya tatu

    • @rashidissa5887
      @rashidissa5887 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@dicksonmakunenge4614Huyo Simba mwenzangu ana wivu. Kwani hajui vipi tumekosa hiyo nafasi?

  • @LucasHaile-dy9kd
    @LucasHaile-dy9kd 2 หลายเดือนก่อน

    Azam tengenezeni timu upya ikiwezekana hata viongozi nao wapishe sasa na wengine wachukue nafasi kuwe na transformation, wasianze kwa wachezaji tu waanze kwa viongozi mpaka benchi la ufundi na wachezaji, ni ushauri tu, poleni sana mashabiki wa Azam japo watanzania wote tumeumia.

  • @saynomore7906
    @saynomore7906 2 หลายเดือนก่อน +2

    Congratulations to APR, but Azam coach MUST GO....after all the preparations, is this what we get!?

    • @richlord22634
      @richlord22634 2 หลายเดือนก่อน +2

      Say no more

    • @United4ever1
      @United4ever1 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@richlord22634😂

  • @KamayireseJonas
    @KamayireseJonas 2 หลายเดือนก่อน +1

    Apr fc kumutima ♥️🏁♥️♥️🏁🏁♥️

  • @munerik-ii3514
    @munerik-ii3514 2 หลายเดือนก่อน +5

    Don't blame AZAM fc, Even Simba and Young African can't easily eliminate this APR

    • @United4ever1
      @United4ever1 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yanga, Easily

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 2 หลายเดือนก่อน

      @MUNERIK-ii3514 if u think eliminating AZAM makes you a big Team is just when you play the like of current SIMBA ,dont you ever compare ur standard with what Young African are now ,we played 6 years ago and elimnate you ,this Yanga are a very different team along east and central Africa-sisi sasa hv hatuchezi huo mpira wa maneno tunakwenda na viwango vya ki proffesional.Hiyo mipira ya kuvizia kushinda nyumbani yanga tulishatoka huko.Team bado mnamtegemea Thadeo Luhanga au mnadhani ile mliyocheza mapinduzi ndiyo Yanga.

  • @MutumyinkaJeannette
    @MutumyinkaJeannette 2 หลายเดือนก่อน +2

    APR timu ya jeshi la Rwanda Azam .kama kawaida isinge to ka Amahoro .hapa hakuna ucawi wala kuibiwa na lefa

  • @LucasHaile-dy9kd
    @LucasHaile-dy9kd 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ikumbukwe kuwa azam alianzia nyumbani kwahiyo alikuwa kibonde kwa apr lakini kilichowaua ni wamejichukulia wao ndiyo wakubwa hivyo wakajiamini kupitiliza, hawajamweshimu APR angalia hata michezo yao yote Azam wamecheza chini ya kiwango sana wamefanya uzembe, ni bora hata wangekamia wakacheza hata penalties, ila sio mbaya sana basi wajipange kwa wakati mwingine japo ni wakati wao sasa wa kuelewa umhimu wa kuwafuata Yanaga na Simba ili wajifunze na siyo kuwasema vibaya.

  • @ChanceAndPatrick
    @ChanceAndPatrick 2 หลายเดือนก่อน +1

    APR FC team ya mabingwa kweli!

  • @kulwacharles8400
    @kulwacharles8400 2 หลายเดือนก่อน

    Dube haku ongopa hongera kwake ✊✊✊

  • @RosemaryAugustine-x7m
    @RosemaryAugustine-x7m 2 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu commenter kama anatafsri movie 😂😂😂😂😂

  • @IzabayoDaniel-j2w
    @IzabayoDaniel-j2w 2 หลายเดือนก่อน

    We never deny our team

  • @UwisunzemariyaTeta
    @UwisunzemariyaTeta 2 หลายเดือนก่อน +1

    APR FC UGENINI KA NYUMBANI🖤🖤🖤🖤🤍🤍🤍🤍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤫🤫🤫🤫 we are lions

  • @OmarRwamakuba
    @OmarRwamakuba 2 หลายเดือนก่อน +4

    APR. Siyo. Vitalo ya uko Burundi. Iyi nitimu. Ya majeshi. Yenye pesa. Lazima. Azamu. Ipigwe tena. Vibaya

    • @LucasHaile-dy9kd
      @LucasHaile-dy9kd 2 หลายเดือนก่อน

      Acha ushamba wa soka wewe vitalo unawachukuliaje, sema tu azam wamezingua sana

  • @nsengiyumvamarcelin1945
    @nsengiyumvamarcelin1945 2 หลายเดือนก่อน +2

    Apr timu kubua ugeni ni kama nyumbani hata game ya kwanza iliyibiwa

  • @Kyandoclaudi
    @Kyandoclaudi 2 หลายเดือนก่อน +3

    apaatuna tim yakutuwakilisha kamataifa Ila tunatimyakukamia Simba na yanga

  • @faidha23
    @faidha23 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa hiyo azam ndio wametoka ivyo tumebaki peke yetu yanga😢

  • @benardtz2424
    @benardtz2424 2 หลายเดือนก่อน +2

    HII TIMU NI AIBU KWA TAIFA. eti ooh tumeipata code. Kama ina laana vile

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 หลายเดือนก่อน +1

    Azam aliposhindwa kumfunga nyingi APR nyumbani ndio lilikuwa anguko lake. Tena wajipange wameanza vibaya kwelikweli😢 sasa alingangania nafasi ya pili ya nini😢😢

    • @OmarRwamakuba
      @OmarRwamakuba 2 หลายเดือนก่อน

      Hata uko Tanzania. APR. Ilibiwa. Penat. Yamcongo. Azam. Siyotimu yakufunga apr

  • @KhamisiHilali
    @KhamisiHilali 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mumecheza udako complex mlitegemea Nini Azam fc munapoteza pesa za bakharesa tu kwenye mishahara jitumeni maboya asije kuuza timu akaona Bora icream kuliko timu

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pumbavu sana hawa azam

  • @semany-c2v
    @semany-c2v 2 หลายเดือนก่อน +1

    Race to the lion's ❤❤❤❤

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kipa alijifanya anajua kudaka akicheza na yanga na simba wametuaribia mngewavunja miguu kama wajanja nyinyi

  • @Nshizirungu9032
    @Nshizirungu9032 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ruboneka jean bosco

  • @moviekaa
    @moviekaa 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nahisi hii timu imeanzishwa ili itangaze bidhaa za kampuni tu. Hawana njaa ya kufanikiwa kimpira. kikosi kikubwa makocha hawaeleweki maanina.

  • @BahatiMtafya-rn8ow
    @BahatiMtafya-rn8ow 2 หลายเดือนก่อน +2

    Duuu😂 sijapenda kabisa azam bhnaa

  • @JosueDuas
    @JosueDuas 2 หลายเดือนก่อน

    Apr 🔥🔥🔥🔥

  • @IraduShaff-z9u
    @IraduShaff-z9u 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ugenini Kama nyumbani

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na ikiendelea kwenda azam kwa kuwakamia simba mda si mrefu tunapolomoka hadi kupeleka timu 2.

  • @IzabayoDaniel-j2w
    @IzabayoDaniel-j2w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Where is fei ? Am here to search him

  • @pioniitangishaka3950
    @pioniitangishaka3950 2 หลายเดือนก่อน +1

    😊

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln 2 หลายเดือนก่อน

    Azam bana😮😮😮

  • @geraldntakirutimana2805
    @geraldntakirutimana2805 2 หลายเดือนก่อน +1

    Keeper wa AZAM ni unga

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hili lilitabiliwa kuwa Azam atakula 2-0 warudi kuuza ICE CREAM Bongo.

  • @damasmayanja2930
    @damasmayanja2930 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wachezaji hawajitumi Azam hususani wale wa Kigeni, wanachezea pesa za Bhakharesa

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 2 หลายเดือนก่อน +4

    AZAM NI WAPUMBAVU AWAJITUMI UONGOZI WA WAZAM LIANGALIENI HILI SUALA AISEE HAWA WACHEZAJI NI WAJINGA WANA CHUKUA PESA BURE TU

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mm nilisha sema zitabaki tu timu mbili ikiwakilisha Tanzania 🇹🇿 simba sc na yanga sc basi na tusibishane hawa wakale ice cream za ukwaju

  • @MsuyaMagomba
    @MsuyaMagomba 2 หลายเดือนก่อน

    Daaah kikundi cha wahuni iko

  • @AlexNyoni-c1k
    @AlexNyoni-c1k 2 หลายเดือนก่อน +2

    Saf naki helehele Chao cha kutukazia Simba iyo inaitwa mtoto kautaka😁😁

  • @IzabayoDaniel-j2w
    @IzabayoDaniel-j2w 2 หลายเดือนก่อน +1

    This is APR

    • @KhamisiHilali
      @KhamisiHilali 2 หลายเดือนก่อน +1

      Apr haifiki popote Azam mbovu tu Kama apr

    • @elishamwakihaba942
      @elishamwakihaba942 2 หลายเดือนก่อน

      Nenda ukakutane na Mayele 😂

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tz kuna timu mbili tuu Simba Yanga wengine wasindikizaji hata wafanye nini hovyo sana Azam.

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 2 หลายเดือนก่อน +1

    Azam ni wasindikazaji tu! Timu ya hovyo sijawahi kuona. Kila mwaka yale yale tu

  • @JackadasNdondeye
    @JackadasNdondeye 2 หลายเดือนก่อน

    Atar aise

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wanatakiwa wawe wanashika nafas ya 3. Wanaiaibisha nchi. Alaf bakhresa akitaka kuwa na team ya maana amfukuze CEO wa familia aajil CEO mwenye wered wa mpira

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nadhani huyo mmilili wa azam pesa zake hazimtii uchungu, players wake hawana moyo wa kujituma bure kbs aibu looooo!!!!!

  • @bromine_official25
    @bromine_official25 2 หลายเดือนก่อน +1

    In Tanzania AZAM give referee corruption but now is not possible

  • @IzabayoDaniel-j2w
    @IzabayoDaniel-j2w 2 หลายเดือนก่อน +2

    Where is Colombians? Hhhh there is a total different from players kbx

  • @AtupeleFesto
    @AtupeleFesto 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tim feitoto oyeeeeee😂😂😂

  • @sharifushabani3906
    @sharifushabani3906 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndo wamezoea hao

  • @NKURUNZIZAJeanClaude-y2b
    @NKURUNZIZAJeanClaude-y2b 2 หลายเดือนก่อน +1

    Azam niyari kudushobora abafana ba rayon baramwaye

  • @MichaelKitundu-u8o
    @MichaelKitundu-u8o 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tena walianza kusajili kabla msimu hujaisha

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 2 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂😂😂 mkirudi mnakula ascreem bila sukari😅😅😅yaani mmeenda kutuaibisha

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa Azam wanachojua ni kuikamia yanga tu..fitna za caf bado hawajui😢

  • @ClementineIngabire-w7f
    @ClementineIngabire-w7f 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni furaha kabisa.

  • @gladnessmichael9384
    @gladnessmichael9384 2 หลายเดือนก่อน +1

    Azam mlitambaaa oohhhooo tumewatoa Simba haya Sasa Kiko wapi hahahaha wakubwa tushazoea

  • @SamwelLameck-rv3fd
    @SamwelLameck-rv3fd 2 หลายเดือนก่อน +1

    Akuna tm apoo😊

  • @FaridiMohamed-dd4hr
    @FaridiMohamed-dd4hr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wangetuacha tu Simba tuende shenz kabsa🤣🤣

  • @LasuriMwanja
    @LasuriMwanja 2 หลายเดือนก่อน +2

    Duhhhhh mnyama umetufanya tubaki na timu moja clubs bingwa ulivomleta azam

  • @AsmaRajabu-h8f
    @AsmaRajabu-h8f 2 หลายเดือนก่อน +1

    azam akili zao sijui zikoje wananichosha

  • @IbrahMoyo
    @IbrahMoyo 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nafuuu wamekoma kujifanya ving'ang'anizi Sasa wamepata walichokua wanataka

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 2 หลายเดือนก่อน +1

    Gaudenc Msindo ni dhiki

  • @iddiyrashid1682
    @iddiyrashid1682 2 หลายเดือนก่อน +1

    Azam ni timu ya watoto wa shule kelele shuleni

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 2 หลายเดือนก่อน

    Hii timu ya Apr ukiichukulia poa inakuchapa Ina uwezo wa juu

    • @KhamisiHilali
      @KhamisiHilali 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa timu wenyewe Azam au

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tz ni Simba na Yanga tu

  • @omarybubelwa324
    @omarybubelwa324 2 หลายเดือนก่อน +1

    fei kwani hayupo

  • @mugaboadrien9452
    @mugaboadrien9452 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bazongere biyemere

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson 2 หลายเดือนก่อน +1

    APR saizi yao kwa sasa ni SIMBA na YANGA.

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 2 หลายเดือนก่อน

      Yanga ni level nyingine labda ikapambane na simba ndio level yao

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@elishakayagwa9371😂😂😂

  • @GADSONYsimbaulanga
    @GADSONYsimbaulanga 2 หลายเดือนก่อน

    Azam awana baati

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน

    AZAM kusema ukweli wametutia aibu! Mie Yanga lkn nilitaka wafuzu! Ila nilpoana ushindi ule mwembamba,nikajua basi tena! APR kwao sio wabaya!

    • @Zkzys567m
      @Zkzys567m 2 หลายเดือนก่อน

      Nyinyi watanzania mupira wenu no mudomo tu, leta na iyo yanga tuyipige, hata kwenye uwanja na Amahoro stadium the best Easter Africa(all football stadium

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@Zkzys567m 🤣🤣🤣sawa boss! Ila kumbuka tu mdomo haukufikishi robo fainali boss! Omba.kufika makundi kwanza🤣🤣Yanga achana nayo! Utapata ugonjwa wa.moyo , ndugu zako watakusimulia yaliyowakuta 🤣

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani Azam iliundwa kuleta ushindani na yanga tu wangecheza na yanga wangekamia

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 2 หลายเดือนก่อน

    Azam ndio vidume wetu

  • @MehboobHasham
    @MehboobHasham 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa wame baki yanga na simba timu kongwe azam ni ligi wana wakamia simba na yanga kazi imekwisha waku uze bolilo mkate na ice cream

  • @youngb8672
    @youngb8672 2 หลายเดือนก่อน

    Ubaya viongoz waoo wanaegemea uyanga yan wao uyanga upo mwng sasa watafanikiwaje kwa kuweka uyanga mbele

    • @Saidi-n4g
      @Saidi-n4g 2 หลายเดือนก่อน

      Ujui mpir mavi wew ati kweny azam wanapend uyanga wakati kiongoz wao tu ni simb viongoz simba nyigu ww

    • @paschalpeter3439
      @paschalpeter3439 2 หลายเดือนก่อน

      Na usimba ni mwingi mpaka unamwagika 😅

  • @mrlambert4444
    @mrlambert4444 2 หลายเดือนก่อน

    Azam yanteje imbeba😢

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 2 หลายเดือนก่อน

    Mkanye mlale wapuuzi nyinyi na umoja wenu wa Gsm

  • @nsengiyumvamarcelin1945
    @nsengiyumvamarcelin1945 2 หลายเดือนก่อน

    Mu ache hio mambo ya uchawi ya 4-4-2 muchezi mupila

  • @ShidavenaceMartin
    @ShidavenaceMartin 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo wanapenda mauno sijui hawaja katika kwa nini🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Zakruchikota
    @Zakruchikota 2 หลายเดือนก่อน

    Jau sana😂

  • @simonlusolism2001
    @simonlusolism2001 2 หลายเดือนก่อน

    namhurumia fei toto tu hapo

  • @AziCure
    @AziCure 2 หลายเดือนก่อน

    Bakhresa anaharibu mpira wa Tz,,, atafute mchezo mwngne awekeze

  • @Evnce007
    @Evnce007 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sijui azam kwenyempira awaga wanatafuta nini😢😢😢😢

  • @MariamOmary-uq3rs
    @MariamOmary-uq3rs 2 หลายเดือนก่อน +5

    mlikaza makalio kuinga'nga'nia nafasi ya pili sasa kiko wapi si bora mngemwacha simba tu pumbavu zenu nyie

  • @KhamisiHilali
    @KhamisiHilali 2 หลายเดือนก่อน

    Hilo beki la kushoto linakimbia golini kwake tu bila kuangalia aduwi yupo wapi yaani Azam fc beki mbovu sana timu yenyewe inaboa hebu TFF ifungieni wanatutia aibu, jku wamepigwa 6 na pyramid lakin hawana usajili wowote hata wa million 20 zaidi ya wazawa tu halafu hawa wanaotowa watu Colombia usenge mtupu mnaboa tena vibaya

  • @OlestMbonyimana
    @OlestMbonyimana 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂 banayita Azam 😂😂😂

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa ndio walituharibia Simba? Pumbavu zao😂

  • @BeathaKimambo
    @BeathaKimambo 2 หลายเดือนก่อน

    AzaaaaaaaaaM hahaha wachezaji wakauze lambalamba

  • @AllyAssa-cf3vp
    @AllyAssa-cf3vp 2 หลายเดือนก่อน

    Maneno mengi kuisema siba haya mbona hamuongei ugolo umewaingia puani pigeni chafya mkajipoze na ukwaju😂😂😂😂

    • @issaibrahim8796
      @issaibrahim8796 2 หลายเดือนก่อน

      Goal la pili ni la mchongo clear off- side

    • @United4ever1
      @United4ever1 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@issaibrahim8796Apana

  • @FatumaKitambuu
    @FatumaKitambuu 2 หลายเดือนก่อน

    Azamu mbwa tu