Da! Kizazi hiki ,watoto wanakumbana na changamoto sana, Hasa mabinti , "Mwendelee kuyavumbua hata iweje iko bomba kinyama" My God blessings be able to. All" Ammen
Hii move sijaipenda kabisa kilicho wasaidia nakuwaponya mmeifanya fupi hakuna ambaye angeendelea kuangalia upuhuzi maana nikama mnaararisha ukatiri kwa watoto ambao wazazi waunfanya kwa watoto wao hii natari i sana ushauri wangu move Kama hizi z ikaguliwe kabla haz,ijaletwa kwa jamii 55:39
Jamani mnisameh mnaionaje hii filam .mm kwaupande wangu zisiectiwe filam kamahizi zinafundisha nini jamii sasa ikitokea mtoto wakike mdogo akifanyiwa na baba yake hivi binti akikataa baba siatamuonesha filamu hii na akamwambia ona hii nikawaida maramoja mtoto atakubali filam kama hii zisiletwe ovyooo
Da!
Kizazi hiki ,watoto wanakumbana na changamoto sana,
Hasa mabinti ,
"Mwendelee kuyavumbua hata iweje iko bomba kinyama"
My God blessings be able to. All"
Ammen
Nimambo kabisa wa mm tuchunge watoto kama mm anakufa jamaha mukamate mutoto😊
Mfinanga kazi nzuri, nasubiri kikongwe ep 9😅😅
🎉🎉🎉🎉 hii moves nimeikubali San ongeleni sana ,washiliki wote mliyoshiliki
Ipo powa sana ila umetumia nguvu nyingi sana sasa si unge mbaka tu badae unge mwambia😂
Baba duuuuu...........mzee hana huruma na mwanae
Mfinanga uk vzr sana broo 🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Namuelewa sana huyo kijana anaetaka kuoa [mfinanga] anaigiza uhalisia kwelikwel akishangaa anashangaa kweli
😢xxju
Kilichotokea Kikongwe,hiyo movie ni ya ajabu
Nzuri kabisa nimefurai nikwa ndani DRC Kalemie.
Yani miaka kumi 18 wimbo wa mwaka wakufosi uliimbwa😂😂😂😂😂😂 hapo mmetupika😂😂😂
nmeipenda mwisho wake upo vizuri
Hii imeenda kabisaa 🤣😹
Mbona Kuna chimbo la movie Kali Ivi na hamsemi. 😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Ila jaman tusishangae huenda labda mzee ana upilu wa mda mreef na,haon kitu kwann asiombe kwa mwanae
Hapo kwenye mikaranga na michuzi ya pweza .🤣🤣🤣🤣🤣
Mira zibaya sana kabisa
Safi sana Sonia umefanya vzl hata ingekuw n mm ncingekubali
Funzo kubwa Sana dunia 🎉🎉🎉
Movie poa lakini Doko tabia Sonia mungu akubariki ukuitika ujinga wa baba
Hii move sijaipenda kabisa kilicho wasaidia nakuwaponya mmeifanya fupi hakuna ambaye angeendelea kuangalia upuhuzi maana nikama mnaararisha ukatiri kwa watoto ambao wazazi waunfanya kwa watoto wao hii natari i sana ushauri wangu move Kama hizi z ikaguliwe kabla haz,ijaletwa kwa jamii 55:39
Huyu ndo Doko😂😂😂
Jamani namupenda Sonia Ana elewekaka
Tuletee kikongwe part 4
Hiyo movie zako nzuri sana ni fundisho kubwa Kwa wa baba Wana leta la sio viziri kuanza nayee mototo wako ni laana nzito KBS
Hahahaha 😂huyu sio baba
Hahaha sema mmeupiga mwingi an miaka 18 ilopota wimbo wa mwaka wa kuforce ulikuwa ushatoka 😂😂😂😂
baba iyo sio mila bali ni tamaa za kishenziii
Kibaba hakina akili mjinga sana
Haiwezekane baba kumkata mtoto wake eti amufunje ndoa .achana naye akabaki mpenzi ya babae
Hiki kichwa nimekielewa sana bozz
mzee anataka kuls adi faida ilobakia
Jana akili doko
Aisee iyo kali😂
Nywele bandia zimemuondoa kwenye uhalisia wa kijijini
Hapo msimamizi kafeli
mimi kwangu nimeipenda saana
Aiseee kitendo ichi so kuzur kwakwel
Kazi nzuri
Tukiwa Burundi tunawapenda
Baba kicha mimi nishatoloka zamani
Nakweli doko kichwa kama ugari😂😂😂😂😂😂😂
Baba mbumbavu sana😮
😂😂😂😂😂kipara mbwa sana unyu doko 😢😢😢😢😢
Aiii haya sijawai, ona
Baba wa hovyo kabisa doko
Ni funzo 🎉🎉🎉🎉
Doko tunataka track sound kaka ututole tusikilize kitaani kaka
Baba uwata kitumbua cha mwanawe wewe ndio wataka kumwaribia baba mpotovu
Dahaa Atari ihi kalaniwa uyu mzee
Mbona hamtoi sauti,na mulikuwa mwaongea vizuri.
Hana akili baba sonia
huyo bab sio hafai kwa kwel
Tukiwa mbagala tunawapenda piano ila analogue fanya baba ake sio vizuli atamtakaje mwanae
Kweli huo niujingaaaaaaaaaa!¡!!!!!
Hilo baba bumbafu kabisa
Mmmh jaman watoto wa 2000 tutaweza kuvumilia kwela
Hyu hafai kuitwa baba
Jaman huu niujinga mtupu
Mfinanga, Mpare, unaona wapi kaka
hazina maana zina haribu jamii
Mmmmh iyo imeenda
Jamani mnisameh mnaionaje hii filam .mm kwaupande wangu zisiectiwe filam kamahizi zinafundisha nini jamii sasa ikitokea mtoto wakike mdogo akifanyiwa na baba yake hivi binti akikataa baba siatamuonesha filamu hii na akamwambia ona hii nikawaida maramoja mtoto atakubali filam kama hii zisiletwe ovyooo
Vizuri sana
Me nahisi nikama funzo kwa wale wazazi wenye tabia kama hize
Nibola isitishwe Haina maadili mazuli kwa jamii
Hat me sielew inafumdish man naon upumbavu2
@@JanetKiminduyou 223😂😂2😂332122212324222212212223❤2❤❤❤❤😂😂😂❤
Nimeielewa sana
Ila dokoo😂😂😂
Kweny huu mwaka wa kufosi mmezingua miak 18 iliyopta nymbo ya mwak huu
❤❤❤
Baba hovyo sana
Ume pewa mtohani mkubwa 😊
namkubal xan doko anajua xan
sonia jichoo iloo
Huyo baba ana luswa kabisa
Tabia ya wababa wakiachwa Na watoto wao
Boss
Boss
Boss
Boss
Boss
Huyo baba nishetani mweusi😢
Nasikia wazalamo ndotabia zao
Sonia unajuaaa ❤❤❤
Kwa upande Wangu flamu kama hizi Sina aibu Kwa mzeekama huyu kwanza akiwa baba wa mtu
Makabila mengi mengine yanaujinga huu
Pole kusikia hivyo
Kwer kapisa
Kwani wewe kungwe😂😂😂
Hovyo
Baba wa ovyo sn
Hana akili za leo 2
Muko njema San
Nikwleli filamu aina hii inapotosha jamii especially vizazi vyasasa vnakua vkijua kulala namzazi wake nkawaida ambapo nkosa kubwa
Season two please i like it
Wapi sauti jamani
Hii nii ujinga2
Wewe baba malaya😮😮😢
Babake Sonia Hana akili
😂😂😂😂😂 sonia
we baba kuma mak upwil tu
Mkubwa hayo😮
Sauti tatizo kweli
Muache ujinga sauti zipande??????
Iyisawa
Kumekucha na Iyo imeenda
Kipaigwe vp mtoto wamukeo no wako
Huyu mzazi n wa aina gn?
Baba gani hyu jaman
Hio ni mila yao
Sonia unaiyangalia sana kamera