MISA TAKATIFU KUMUAGA ASKOFU CHENGULA JIMBONI MBEYA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 20

  • @newagecommunications7258
    @newagecommunications7258 5 ปีที่แล้ว +3

    Umevipiga vita vilivyovigumu,mwendo umeumaliza Imani umeilinda Upumzike kwa Amani Baba Chengula

  • @denisyaghambe8242
    @denisyaghambe8242 4 ปีที่แล้ว +1

    Wanakwaya wameimba vizuri sana hongereni sana ila naombeni anayejua mtunzi wa misa iliyoimbwa katika msiba huu wa baba askofu chengula

    • @morisichonanga7854
      @morisichonanga7854 2 ปีที่แล้ว

      Ni misa ya wafu ya fr kayeta ambae ni marehemu na kabuli lake lipo nyuma ya kanisa hili la parokia ya mwanjelwa

  • @kbdk3065
    @kbdk3065 4 ปีที่แล้ว +1

    Najivunia kuwa mkatoliki na wakatoliki wote waseme Amina

  • @colethamasanja1026
    @colethamasanja1026 5 ปีที่แล้ว +3

    Mwanga wa milele ukuangazie upate kupumzika kwa amani baba yetu🙏

  • @neybtechservices3858
    @neybtechservices3858 5 ปีที่แล้ว +2

    daaaah r. i. p mungu nijalie mwisho mwema

  • @MkatolikiDaimaTv
    @MkatolikiDaimaTv 2 ปีที่แล้ว +1

    Shemasi aliyesoma injili , shwari kabisa

  • @maryshativa9776
    @maryshativa9776 5 ปีที่แล้ว +3

    Safari yetu wote pumzika kwa amani askofu

  • @ferixmdugala4967
    @ferixmdugala4967 5 ปีที่แล้ว +3

    pumzika kwa amani askofu wangu chengula

  • @kopereweglorry8346
    @kopereweglorry8346 5 ปีที่แล้ว +3

    Apumzike kwa amani

  • @evachengula1231
    @evachengula1231 5 ปีที่แล้ว +3

    pumziko kwa amani baba yetu .na mwanga wa milele uangaziwe

  • @raymondpancras2484
    @raymondpancras2484 5 ปีที่แล้ว +3

    Apumzike kwa amani baba Askofu

    • @emmanuelkilumile779
      @emmanuelkilumile779 5 ปีที่แล้ว

      Asante bishop nyaisonga kwa neno

    • @mariathadei9185
      @mariathadei9185 5 ปีที่แล้ว

      Baba pokea roho ya baba askofu evalist chengula apumzike kwa amani

    • @auxiliusbaguma3178
      @auxiliusbaguma3178 5 ปีที่แล้ว

      pumzika kwa Amani Baba Askofu

  • @morisichonanga7854
    @morisichonanga7854 2 ปีที่แล้ว

    Endelea kupumzika kwa amani baba yetu mpendwa askofu Chengula

  • @saraphinaibrahim965
    @saraphinaibrahim965 5 ปีที่แล้ว +3

    Pumzika kwa amani babu yetu sisi tulikupenda lkn Mungu kakupenda zaid

    • @jeanremymaybandeme9200
      @jeanremymaybandeme9200 5 ปีที่แล้ว

      Upumuzike kwa amani, nimekujua nilipo kuwa mtoto, katika Jimbo letu la mtakatifu Yosefu , Jimbo la kuzaliwa kwake mwenyi Henri Anoalite, Wamba DRC

  • @adamrafikimwambuluma3288
    @adamrafikimwambuluma3288 5 ปีที่แล้ว +4

    pumzika kwa amani baba uliyenipa sakrament ya kipaimara parokia ya nzovwe tarehe na mwez uliyo aga dunia 21/11/ 2011

  • @joaquimdesena9766
    @joaquimdesena9766 5 ปีที่แล้ว

    E meu filho ele odiou isso