Mimi namuelewa sana phiona.... haya mambo usihukumu😢😢😢
Wa1 leo naombeni like zangu🥰
Mungu atuepushie jaman
Mungu, atuepushe na haya. Habari hii inaogofya Mungu, ponya phiona kwa maana matokeo ya dhambi hii ni mabaya, okoa moyo wake apate pumdhiko ndani yake.
Yaani hii simulizi lmeniogopesha kuliko simulizi zote ambazo nilisha wai kuzisikilizaga
Mnh htr kwel hapa kuna cha kujifunza hak ya mungu jmn
♥♥♥♥ da veronica
Yan imagine MTU anakusababishiaa maumivu,anakupitisha kwenye matesooo halafu alikuoaa mwenyew bila kufosiwa dah😭😭
Story nzur ila matangazo yamezid jaman kha!
Daah........ Inaumiza san😢😢😢
🥰🥰🥰
Tupo live❤🎉
hii dunia inanitsha sasa nahis kuogopa 😢😢😢
Hakuna mwanaume anaesamehe kuchitiwa na mkewe
vero hyu tumbo tumbo anakela some time 😏😏
Daaah hii dunia nazidi kuiogopa
Maskini pole hpiona
Nnachoshangaa fiona anaogopa nn wakat uyo baba ndo wakwanza kucheat mpuuz kabsa
Roho imeniuma jmn wanaume hawa
Phiona, kweli umepitia Mama. Tunashukuru Mungu mwema aliekutunza hata leo. Nasi tunajifunza toka kwako...naamin ulishinda vyema mapito yako.!!