Magoli | Simba SC 4-1 Geita Gold | NBC Premier League 21/05/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ค. 2024
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Geita Gold FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi.
Geita walitangulia kwa goli la Geofrey Julius dakika ya 11, kabla ya Simba kusawazisha dakika ya 45 kwa penati ya Saidi Ntibazonkiza ambaye pia alifunga la pili dakika ya 72 kwa free-kick.
Aliyekamilisha mabao mawili ya mwisho ni Ladaki Chasambi dakika ya 86 na 90.....
Haya hapa magoli... - กีฬา
Tunao ikubari simba yetu kwa hari na mari tulike bhas hapa
💝🦁💝
Kama Kuna anae angalia gongs like tujuwane Kwa mda huu
❤
@@FaridaMwamlimakarib sanaaa Idodomia♥️♥️♥️
Mashaaalah saido
Saido aweanapata mechi za kupumzika kabla ya big match Ili afanye maajabu. Mie namkubali saana
Pira safi,,chasambi ni hataree 🔥,,, muzamiru mnaona anachokifanya ni xavi + iniesta
Bora nione umuuu mana mwanzo nilikua tumbo juu nitakuj niwafie mm❤❤
Saido akikalibia kumaliza mkataba huwa anakiwasha sana😂
Huyu Chasambi aiseee mpeni nafasi kijana 🔛🔥🔛🔥🔛🔥🔛🔥🔛🔥
Maskini saidoo hadi uruma anayoyafanya hayaonekani wanamsakama sana na ndo mana kawafunga midomo wakome kumuandama
Uyo ndo chasambi mwenyewe 💪💪 simba nguvu moja 🇹🇿
❤❤❤ Simbaaaaaaaa🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mimi nasimba dam dam paka kiyama❤❤💪
Chasambi ana k2 hongera kjn
Kazi zuri sana timu yangu
Left footer Chasambi ni suala la muda utakuwa unaanza kila game...
Geita sio mbovu msemaji wake ndio mbovu sana mdomoni nandio alieiponza sababu hana heshima akawaulize akamuulize msemaji wa Azam au wa horoya , jweneng Galax ukitaka kiki kupitia Simba utaumbuka Simba sio paka
Ila goli la mwisho chasambi mh🎉🎉🎉
Safi sana simba❤
Hiii simba ya Mgunda ni htr
Up Simba from NYC! One of my favorite teams in Africa! Hope I can see a game someday.
Welcome Tanzania and Simba sports club
Mashaaalah saido,
Nimengojea hii highlight mpk nikataka nilale😂😂😂
Mwanzoni mlikuwa wapii
Yaan daaah
Chasambi kama Miquissone wa enzi zilee
Saido jamaniii ❤🎉❤❤
❤❤❤❤❤simbaaaaaaa
Refa amebeti ili simba ashinde
Chasambi noma
I love you
Mgunda and Saido
Mechi ya jana wangeshinda magoli zaidi kufidia magepnya magoli na azam
Mbona camera zenu mda mwingine sio safi
Wana dharau sana awa asa ivi
Nikajuwa simu yangu 😂😂😂😂
KUNA MGONJWA MMOJA ETI YANGA MNA WIVU WALA HAIELEKEI MAANA YANGA WANAJIANDAA NA KUPOKEA KOMBE
Hee, mbona hii nafasi ya pili imekua ngumu hivi kupatikana?! 😢😢😢😢
IF YOU ARE HERE IN 2090,,,I WERE HERE IN 2024
Mbona mna upload bila sauti siku hizi shida nini
Ni sim yko tu
This is simba brother
Nafikiri kocha anatakiwa kuwa makini kwenye kikosi kwa mfano jobe jamani kashindwa kufanya kazi kabisa
Hili goli nimeliangalia mara 3 chasambi kaipiga sana
Malalamiko FC huwa wanaumia sana SSC ikishinda. Eti sio penalt. Kwani, sheria ya penalt inasemqje?
Aende Tff wakamwelekeze kanuni. Simba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyo ANDUNJE KWENYE NAFASI 10 ANAFUNGA GOLI 2 ZA KUTE GA AF ANAMFUNGA NAN MDOMO, NA ANGEFUNGA CHUMA KAMA ZA CHASAMBI S KANGEVUA NGUO KABISA. NI KWAMBA KAMEZEEKA KAONDOKE..😢😢😢😢😢
Simba ❤❤❤❤❤❤
❤️❤️
Walikuwa wapi zamani
Saido ondoka yupo chasambi😂😂
Mgunda apewe timu, goli la Tatu zuri Sana. Mzamiru kabadilika sana
Wameyatimba leo
Benchika , Mungu anakuona
Simba hii hapa hii
Mgongo upo
❤❤
❤❤❤❤
Mnatafta ushind wa 2
Kwamba anatuziba midomo aucy😂😂😂
Utawasikia Saido bonge la mchezaji
Utawasikia kina nani
MIKIA FC NAFASI YA 3 NDIO NGUVU ZOTE HIZO!!
Hata iwe nafasi ya kumi wewe isikuhusu sana
Kocha wa Heshima Jumaa Mgunda
Mngunda apewe hongera zake
Ila benchika malipo ni hapa hapa duniani😂
Mashabiki ninyi mnatukana wachezaji eee
MACHO YAO HAYAONI KAMA NINAVYOONA MIMI HAYA MAGOLI YOTE YAMEFUNGWA KWA MIPANGO SIO KAMA YULE MSEMAJI WAO ALIVYOSEMA BUTUA BUTUA ISHALLA BADO KIDOGO TU TAWI LAO LITAANGUKA ❤❤❤❤❤❤
😂😂😂pol San nasubr san
Saido apewe mauaa yakee congratulations
Abaki
Watuachie cocha wetu mgunda japo kwa msim mmoja time anaipeleka vizur baaadae mnampokonya tumuache kidogo jaman sio ajee mzungu atamuona ana mana Tena mgundaaa mtooo!!!
🦁❤❤👏👏👏
Hii rahaaaa
Unyama mwing
One energu
Dogo chasambi anajua hvy vilabu vkubwa wasiwakandamize wachezaji wa ndani kulipwa mishahara midogo kwani wapo wachezaji wa ndani wanauwezo kuliko hao wa nje mfano huyo miksoni na chasambi nani Bora??
🎉🎉🎉🎉
halafu kesho mnaenda kutafuta kocha mpya
What are comeback
🎉
Jamaa wallcheza rough sana
Watu roho inakaribia kukata unategemea nn 😂😂😂
Wa kwanza
Mi wa kwanza
Chasambi is coming
😮😮😮😮😮
Fundi ladack juma chasambi nyuma kuna fundi mzamiru yassin
Hii nafasi ya pili inatafutwa na mbeleko juuu
Wakati mwingine kama huna chakuongea bora ukae kimya kukiko kujiaibisha kwa maneno ya kitoto. Mbeleko iko wapi hapo? 🐸🐸🐸
Achana nae huyo, hamnazo
Simba mnaibeba sana
Nenda kabebwe na ww
Kama hayakuhusu humu kakojoe ulale
So pw
ACHA ULIMBUKENI WEWE INA MAANA UKISHAONDOA KICHWA NYAMA ZA PAJA NAFILLET HAZIFAI??!!! ❤❤❤❤❤
Eneo la penati cio eneo la penati area 😢😢😢😢
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤
Ssimbaaaaaaaa
Saido abaki au aondoke
Nguvu mojaaa
Hawa waamuzi wapo chini ya viwango jamani dah
Simba nguvu moya😂😂😂
maqolo mnashangiliaga nini sasa dah 🤣🤣
We jishikilie
Tumecheza na team3 geita gold Azam na uto
❤utopolonyu mnawivu imewachoma
Pole tushabeba wa 30 unatuambia mambo ya wivu kwa kungombea nafasi ya pili?
@@seciliamchalo5627mwambie mwenzio jamn kasahau kwmb ubingwa wa round hii wametuchangia asilimia 💯
@@seciliamchalo5627like it 🖤💚💛
7-2 mpooooo
Huyu chasambi huyu
Kwani hapa kinagombaniwa kitu gani maana kombe lishaenda jangwani
Maswali ya kishoga haya sasa si mpira usingechezwa
Ww ni 🐸🐸🐸🐸🐸🐸 na Utabaki kuwa 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Ligi kuu siyo ubingwa tu bali kila nafasi kwenye msimamo wa ligi ina umuhimu wake kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho ingekuwa ni kugombea ubingwa tu basi ligi ingekuwa imeisha kwa sababu bingwa ashapatikana kwa hiyo ni lazima mechi zote zichezwe
@@audaxbizimana8084 Sawa Pili na Tatu
@@shedrackjoshua834 Jibu swali au ndio Pili na Tatu
Geita mbovu wee
Simba nguvu moj
Mkia niwewe hapo ndo mkia nyooooo.
Kipa mpira wa kupangua anataka kumeza duh
Vp jomba mbona roho mbaya
ACHENI USENGEEEEE