Magoli | Simba SC 4-1 Geita Gold | NBC Premier League 21/05/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ค. 2024
  • Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Geita Gold FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi.
    Geita walitangulia kwa goli la Geofrey Julius dakika ya 11, kabla ya Simba kusawazisha dakika ya 45 kwa penati ya Saidi Ntibazonkiza ambaye pia alifunga la pili dakika ya 72 kwa free-kick.
    Aliyekamilisha mabao mawili ya mwisho ni Ladaki Chasambi dakika ya 86 na 90.....
    Haya hapa magoli...
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 218

  • @gustaphkadio5144
    @gustaphkadio5144 24 วันที่ผ่านมา +11

    Tunao ikubari simba yetu kwa hari na mari tulike bhas hapa

  • @user-qd8bk1pq7d
    @user-qd8bk1pq7d 24 วันที่ผ่านมา +39

    Kama Kuna anae angalia gongs like tujuwane Kwa mda huu

    • @FaridaMwamlima
      @FaridaMwamlima 24 วันที่ผ่านมา +1

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 24 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@FaridaMwamlimakarib sanaaa Idodomia♥️♥️♥️

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 23 วันที่ผ่านมา

      Mashaaalah saido

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 24 วันที่ผ่านมา +6

    Saido aweanapata mechi za kupumzika kabla ya big match Ili afanye maajabu. Mie namkubali saana

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 23 วันที่ผ่านมา +4

    Pira safi,,chasambi ni hataree 🔥,,, muzamiru mnaona anachokifanya ni xavi + iniesta

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 24 วันที่ผ่านมา +4

    Bora nione umuuu mana mwanzo nilikua tumbo juu nitakuj niwafie mm❤❤

  • @lucaskanyamaha4885
    @lucaskanyamaha4885 24 วันที่ผ่านมา +6

    Saido akikalibia kumaliza mkataba huwa anakiwasha sana😂

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 23 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Chasambi aiseee mpeni nafasi kijana 🔛🔥🔛🔥🔛🔥🔛🔥🔛🔥

  • @user-br7fz4zd5x
    @user-br7fz4zd5x 24 วันที่ผ่านมา +7

    Maskini saidoo hadi uruma anayoyafanya hayaonekani wanamsakama sana na ndo mana kawafunga midomo wakome kumuandama

  • @user-gf2lb7bq8y
    @user-gf2lb7bq8y 24 วันที่ผ่านมา +1

    Uyo ndo chasambi mwenyewe 💪💪 simba nguvu moja 🇹🇿

  • @EliezaLonjin-bv5yo
    @EliezaLonjin-bv5yo 24 วันที่ผ่านมา +3

    ❤❤❤ Simbaaaaaaaa🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 24 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi nasimba dam dam paka kiyama❤❤💪

  • @user-pr4kl5rx5e
    @user-pr4kl5rx5e 23 วันที่ผ่านมา +1

    Chasambi ana k2 hongera kjn

  • @GeradiFaizi-je9me
    @GeradiFaizi-je9me 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi zuri sana timu yangu

  • @bennie7239
    @bennie7239 23 วันที่ผ่านมา +2

    Left footer Chasambi ni suala la muda utakuwa unaanza kila game...

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 23 วันที่ผ่านมา +3

    Geita sio mbovu msemaji wake ndio mbovu sana mdomoni nandio alieiponza sababu hana heshima akawaulize akamuulize msemaji wa Azam au wa horoya , jweneng Galax ukitaka kiki kupitia Simba utaumbuka Simba sio paka

  • @YunusStoper
    @YunusStoper 24 วันที่ผ่านมา +2

    Ila goli la mwisho chasambi mh🎉🎉🎉

  • @ChristinaAloyce-pp6vj
    @ChristinaAloyce-pp6vj 24 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana simba❤

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hiii simba ya Mgunda ni htr

  • @SuperJNG18
    @SuperJNG18 23 วันที่ผ่านมา

    Up Simba from NYC! One of my favorite teams in Africa! Hope I can see a game someday.

    • @edithampoki
      @edithampoki 21 วันที่ผ่านมา

      Welcome Tanzania and Simba sports club

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 23 วันที่ผ่านมา

    Mashaaalah saido,

  • @user-nt2gv8jk2q
    @user-nt2gv8jk2q 24 วันที่ผ่านมา +2

    Nimengojea hii highlight mpk nikataka nilale😂😂😂

  • @elishamwaitebele
    @elishamwaitebele 24 วันที่ผ่านมา +4

    Mwanzoni mlikuwa wapii

  • @seifmohamedi9298
    @seifmohamedi9298 21 วันที่ผ่านมา +1

    Chasambi kama Miquissone wa enzi zilee

  • @justinndayiziga838
    @justinndayiziga838 23 วันที่ผ่านมา

    Saido jamaniii ❤🎉❤❤

  • @hajimahamudu7059
    @hajimahamudu7059 24 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤❤❤simbaaaaaaa

  • @DominickIfunya-tm6pi
    @DominickIfunya-tm6pi 24 วันที่ผ่านมา +3

    Refa amebeti ili simba ashinde

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE 24 วันที่ผ่านมา +2

    Chasambi noma

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 24 วันที่ผ่านมา

    I love you
    Mgunda and Saido

  • @ajoseph31
    @ajoseph31 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mechi ya jana wangeshinda magoli zaidi kufidia magepnya magoli na azam

  • @allysamjo2628
    @allysamjo2628 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona camera zenu mda mwingine sio safi

    • @salehkimamba8453
      @salehkimamba8453 24 วันที่ผ่านมา

      Wana dharau sana awa asa ivi

    • @paulpaul380
      @paulpaul380 24 วันที่ผ่านมา +1

      Nikajuwa simu yangu 😂😂😂😂

  • @KhamisHassan-ql5ut
    @KhamisHassan-ql5ut 24 วันที่ผ่านมา +3

    KUNA MGONJWA MMOJA ETI YANGA MNA WIVU WALA HAIELEKEI MAANA YANGA WANAJIANDAA NA KUPOKEA KOMBE

  • @kehenguc
    @kehenguc 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hee, mbona hii nafasi ya pili imekua ngumu hivi kupatikana?! 😢😢😢😢

  • @joelandekile3933
    @joelandekile3933 22 วันที่ผ่านมา

    IF YOU ARE HERE IN 2090,,,I WERE HERE IN 2024

  • @Mgeta_official
    @Mgeta_official 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona mna upload bila sauti siku hizi shida nini

  • @BarakaMbwambo-hd5sf
    @BarakaMbwambo-hd5sf 24 วันที่ผ่านมา

    This is simba brother

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nafikiri kocha anatakiwa kuwa makini kwenye kikosi kwa mfano jobe jamani kashindwa kufanya kazi kabisa

  • @jafaridriving1278
    @jafaridriving1278 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hili goli nimeliangalia mara 3 chasambi kaipiga sana

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 24 วันที่ผ่านมา +3

    Malalamiko FC huwa wanaumia sana SSC ikishinda. Eti sio penalt. Kwani, sheria ya penalt inasemqje?

    • @LeoniaLyimo
      @LeoniaLyimo 23 วันที่ผ่านมา +1

      Aende Tff wakamwelekeze kanuni. Simba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa3914 24 วันที่ผ่านมา +3

    Uyo ANDUNJE KWENYE NAFASI 10 ANAFUNGA GOLI 2 ZA KUTE GA AF ANAMFUNGA NAN MDOMO, NA ANGEFUNGA CHUMA KAMA ZA CHASAMBI S KANGEVUA NGUO KABISA. NI KWAMBA KAMEZEEKA KAONDOKE..😢😢😢😢😢

  • @shakiramshule342
    @shakiramshule342 24 วันที่ผ่านมา

    Simba ❤❤❤❤❤❤

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn 23 วันที่ผ่านมา +1

    Walikuwa wapi zamani

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 24 วันที่ผ่านมา +1

    Saido ondoka yupo chasambi😂😂

  • @brianbatoleki6531
    @brianbatoleki6531 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mgunda apewe timu, goli la Tatu zuri Sana. Mzamiru kabadilika sana

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria7918 24 วันที่ผ่านมา +1

    Wameyatimba leo

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 24 วันที่ผ่านมา

    Benchika , Mungu anakuona

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 24 วันที่ผ่านมา +2

    Simba hii hapa hii

  • @user-ri9vi4wc2w
    @user-ri9vi4wc2w 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mgongo upo

  • @user-ne6bp7lo3q
    @user-ne6bp7lo3q 24 วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @simaoguambe3295
    @simaoguambe3295 24 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @GgwalalaCosta
    @GgwalalaCosta 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mnatafta ushind wa 2

  • @user-fu7pg8ei6j
    @user-fu7pg8ei6j 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kwamba anatuziba midomo aucy😂😂😂

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 24 วันที่ผ่านมา +1

    Utawasikia Saido bonge la mchezaji

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 24 วันที่ผ่านมา +3

    MIKIA FC NAFASI YA 3 NDIO NGUVU ZOTE HIZO!!

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm 23 วันที่ผ่านมา

      Hata iwe nafasi ya kumi wewe isikuhusu sana

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 24 วันที่ผ่านมา

    Kocha wa Heshima Jumaa Mgunda

  • @aginesMushi
    @aginesMushi 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mngunda apewe hongera zake

  • @newdreams1
    @newdreams1 24 วันที่ผ่านมา +1

    Ila benchika malipo ni hapa hapa duniani😂

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 24 วันที่ผ่านมา

    Mashabiki ninyi mnatukana wachezaji eee

  • @user-wb5bh9hy1l
    @user-wb5bh9hy1l 23 วันที่ผ่านมา

    MACHO YAO HAYAONI KAMA NINAVYOONA MIMI HAYA MAGOLI YOTE YAMEFUNGWA KWA MIPANGO SIO KAMA YULE MSEMAJI WAO ALIVYOSEMA BUTUA BUTUA ISHALLA BADO KIDOGO TU TAWI LAO LITAANGUKA ❤❤❤❤❤❤

    • @HassnaNana-yi5lw
      @HassnaNana-yi5lw 23 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂pol San nasubr san

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 24 วันที่ผ่านมา

    Saido apewe mauaa yakee congratulations

  • @MchomvuMchomvu
    @MchomvuMchomvu 23 วันที่ผ่านมา +1

    Abaki

  • @magrethkiswanta9259
    @magrethkiswanta9259 24 วันที่ผ่านมา +3

    Watuachie cocha wetu mgunda japo kwa msim mmoja time anaipeleka vizur baaadae mnampokonya tumuache kidogo jaman sio ajee mzungu atamuona ana mana Tena mgundaaa mtooo!!!

  • @Mr_Ben621
    @Mr_Ben621 24 วันที่ผ่านมา

    🦁❤❤👏👏👏

  • @obedwilliam5906
    @obedwilliam5906 23 วันที่ผ่านมา

    Hii rahaaaa

  • @BabaLao-hq6sm
    @BabaLao-hq6sm 23 วันที่ผ่านมา +1

    Unyama mwing

  • @user-wp4fs2xr3l
    @user-wp4fs2xr3l 24 วันที่ผ่านมา

    One energu

  • @user-lx5qz9ff8o
    @user-lx5qz9ff8o 24 วันที่ผ่านมา +4

    Dogo chasambi anajua hvy vilabu vkubwa wasiwakandamize wachezaji wa ndani kulipwa mishahara midogo kwani wapo wachezaji wa ndani wanauwezo kuliko hao wa nje mfano huyo miksoni na chasambi nani Bora??

  • @Vallyc-hj1fn
    @Vallyc-hj1fn 24 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 24 วันที่ผ่านมา +1

    halafu kesho mnaenda kutafuta kocha mpya

  • @jimmyjustice7780
    @jimmyjustice7780 24 วันที่ผ่านมา

    What are comeback

  • @ChikwekweGudluck
    @ChikwekweGudluck 24 วันที่ผ่านมา

    🎉

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 24 วันที่ผ่านมา

    Jamaa wallcheza rough sana

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 24 วันที่ผ่านมา

      Watu roho inakaribia kukata unategemea nn 😂😂😂

  • @mcwaya
    @mcwaya 24 วันที่ผ่านมา

    Wa kwanza

  • @hassanmhesi3868
    @hassanmhesi3868 24 วันที่ผ่านมา

    Mi wa kwanza

  • @Msabi-cp7wy
    @Msabi-cp7wy 22 วันที่ผ่านมา

    Chasambi is coming

  • @colinjunior3043
    @colinjunior3043 24 วันที่ผ่านมา

    😮😮😮😮😮

  • @user-xj8zd7fu6i
    @user-xj8zd7fu6i 23 วันที่ผ่านมา

    Fundi ladack juma chasambi nyuma kuna fundi mzamiru yassin

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hii nafasi ya pili inatafutwa na mbeleko juuu

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 23 วันที่ผ่านมา

      Wakati mwingine kama huna chakuongea bora ukae kimya kukiko kujiaibisha kwa maneno ya kitoto. Mbeleko iko wapi hapo? 🐸🐸🐸

    • @ekiliangoliga644
      @ekiliangoliga644 23 วันที่ผ่านมา

      Achana nae huyo, hamnazo

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 24 วันที่ผ่านมา

    Simba mnaibeba sana

  • @yuzoooyuso583
    @yuzoooyuso583 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kama hayakuhusu humu kakojoe ulale

  • @JumaIssa-jx2hx
    @JumaIssa-jx2hx 24 วันที่ผ่านมา

    So pw

  • @user-wb5bh9hy1l
    @user-wb5bh9hy1l 23 วันที่ผ่านมา

    ACHA ULIMBUKENI WEWE INA MAANA UKISHAONDOA KICHWA NYAMA ZA PAJA NAFILLET HAZIFAI??!!! ❤❤❤❤❤

  • @shinkywinkyaman7265
    @shinkywinkyaman7265 24 วันที่ผ่านมา +2

    Eneo la penati cio eneo la penati area 😢😢😢😢

  • @user-ps8uf3mr3n
    @user-ps8uf3mr3n 24 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @bokemkulya6007
    @bokemkulya6007 24 วันที่ผ่านมา

    Ssimbaaaaaaaa

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn 23 วันที่ผ่านมา

    Saido abaki au aondoke

  • @mosesmjungwa8900
    @mosesmjungwa8900 24 วันที่ผ่านมา

    Nguvu mojaaa

  • @user-vd8oq7it6v
    @user-vd8oq7it6v 23 วันที่ผ่านมา

    Hawa waamuzi wapo chini ya viwango jamani dah

  • @AllyMakerTz-bd4bl
    @AllyMakerTz-bd4bl 24 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moya😂😂😂

  • @Liamtribalchief
    @Liamtribalchief 21 วันที่ผ่านมา

    maqolo mnashangiliaga nini sasa dah 🤣🤣

  • @VictaSambaya
    @VictaSambaya 24 วันที่ผ่านมา

    We jishikilie

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d 24 วันที่ผ่านมา

    Tumecheza na team3 geita gold Azam na uto

  • @helenambagale5570
    @helenambagale5570 24 วันที่ผ่านมา

    ❤utopolonyu mnawivu imewachoma

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 24 วันที่ผ่านมา

      Pole tushabeba wa 30 unatuambia mambo ya wivu kwa kungombea nafasi ya pili?

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 24 วันที่ผ่านมา

      ​​@@seciliamchalo5627mwambie mwenzio jamn kasahau kwmb ubingwa wa round hii wametuchangia asilimia 💯

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@seciliamchalo5627like it 🖤💚💛

    • @tezuramziray8700
      @tezuramziray8700 24 วันที่ผ่านมา

      7-2 mpooooo

  • @tallyromeous7076
    @tallyromeous7076 24 วันที่ผ่านมา

    Huyu chasambi huyu

  • @chondecannibal6108
    @chondecannibal6108 24 วันที่ผ่านมา +2

    Kwani hapa kinagombaniwa kitu gani maana kombe lishaenda jangwani

    • @shedrackjoshua834
      @shedrackjoshua834 23 วันที่ผ่านมา +2

      Maswali ya kishoga haya sasa si mpira usingechezwa

    • @audaxbizimana8084
      @audaxbizimana8084 23 วันที่ผ่านมา

      Ww ni 🐸🐸🐸🐸🐸🐸 na Utabaki kuwa 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸

    • @mihangwamasingija3754
      @mihangwamasingija3754 23 วันที่ผ่านมา +1

      Ligi kuu siyo ubingwa tu bali kila nafasi kwenye msimamo wa ligi ina umuhimu wake kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho ingekuwa ni kugombea ubingwa tu basi ligi ingekuwa imeisha kwa sababu bingwa ashapatikana kwa hiyo ni lazima mechi zote zichezwe

    • @chondecannibal6108
      @chondecannibal6108 23 วันที่ผ่านมา

      @@audaxbizimana8084 Sawa Pili na Tatu

    • @chondecannibal6108
      @chondecannibal6108 23 วันที่ผ่านมา

      @@shedrackjoshua834 Jibu swali au ndio Pili na Tatu

  • @MakameMussa-lv4ku
    @MakameMussa-lv4ku 23 วันที่ผ่านมา

    Geita mbovu wee

  • @zakariamartin3980
    @zakariamartin3980 24 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moj

  • @GerladSimon-me3sc
    @GerladSimon-me3sc 23 วันที่ผ่านมา

    Mkia niwewe hapo ndo mkia nyooooo.

  • @youthssuccesstv3162
    @youthssuccesstv3162 24 วันที่ผ่านมา

    Kipa mpira wa kupangua anataka kumeza duh

  • @GabrielSimoni-rs6tg
    @GabrielSimoni-rs6tg 24 วันที่ผ่านมา

    Vp jomba mbona roho mbaya

  • @alhabibymasoud3445
    @alhabibymasoud3445 23 วันที่ผ่านมา

    ACHENI USENGEEEEE