🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 101

  • @mwazongawashe5721
    @mwazongawashe5721 2 หลายเดือนก่อน

    From mexico, am kenyan but tanzania naipenda kwa kila kitu

  • @jaypili7837
    @jaypili7837 4 หลายเดือนก่อน +4

    This so amazing and great job for Tanzania government we so proud this stages

  • @jericonzogolo149
    @jericonzogolo149 4 หลายเดือนก่อน +4

    Watanzania tunadestur moja ambayo sio njema sana Rais akiwa madarakani akiwa anafanya kaz huwa hutumpi saport hata kwa kumpongeza kwa kaz njema anayotenda ,akifa ndo unakuta watu wanamsifu,mama Samia nakukubar kwa utendaji wako mzur wa kazi hongera sanaaa.

    • @AkimuWaziri
      @AkimuWaziri 4 หลายเดือนก่อน

      inatakiwa tuwe tunatengeneza sisi wenyewe watanzania. Mbonanikama wakowenyewe hapo?

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 4 หลายเดือนก่อน

      suport gani ..misifa yote ya kila kitu tunasema rais....au unataka alambwe miguu

    • @herimornchriston6083
      @herimornchriston6083 4 หลายเดือนก่อน

      vitu ambavyo tunaweza tengeneza wenyewe yeye anatoa ela huko china na wanawake tu sisis tunakuwa hatuna mtaji wakufanya mambo makubwa !!!! kuna mainjinia kibao wapo mtaani wenye uwezo mkubwa hawajaajiliwa baada awatumie hao yy anatumia wachina

  • @SadunBazotunga
    @SadunBazotunga 4 หลายเดือนก่อน +1

    There is a huge different between making and assembling car .Making a car involves taking raw materials and use them to craft parts or components that will be used to build a car while assembling is the the process of taking parts that are already manufactured by factory and put them together to create a car. This is a big step for Tanzania and this will contribute to the development of the country, in terms of creating more jobs. Once again congratulations to Mama Samia Hasan and to all beautiful people of Tanzania 🇹🇿

    • @maxsenciusalexander2213
      @maxsenciusalexander2213 4 หลายเดือนก่อน

      Unajua pia kuna tofauti kubwa kati kufanya kilicho kwenye uwezo wako na kuacha kufanya kabisa?

  • @peteg9921
    @peteg9921 4 หลายเดือนก่อน +1

    Happy for our Tanzania neighbors,you have such a progressive president.
    Industrialization is the way to go.
    As Kenyans we follow your progressive keenly.
    All the best 🎉

    • @MamuduAziz-h1z
      @MamuduAziz-h1z 4 หลายเดือนก่อน

      It’s not car manufacturers but car assembly company, Tanzania have not nuclear plant

  • @YusriAllyMuhammadahmad
    @YusriAllyMuhammadahmad 3 หลายเดือนก่อน

    Congratulation ms president of tanzania this is revolution from africa from mozambique

  • @YusriAllyMuhammadahmad
    @YusriAllyMuhammadahmad 3 หลายเดือนก่อน

    Hii safi sana kwa china pamoja na afrika

  • @ezekiajohn4250
    @ezekiajohn4250 4 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana mama samia sema utukumbuke na sisi wa magari ya kutemelea magari yetu tunanunua kwa gharama kubwa sana ukilinganisha na nchi zinazotuzunguka kunatatizo lipo sehem ndio maana watu wanaagiza ist,stalet,carina,d4d
    Za zamani,sio magari mengi mazito kama wenzetu tatizo kodi

  • @ChristopherMgoli
    @ChristopherMgoli 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kutengeneza gari sio kitu rahisi Kwa Bongo. Kuunganisha magari hapo sawa

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @UKALONG-iu4lp
      @UKALONG-iu4lp 4 หลายเดือนก่อน

      Msenge kweli ndugu yangu always underestimating your own capabilities ndo maana no development haya hats kama kinaunganisha what's the problem with that?

    • @herimornchriston6083
      @herimornchriston6083 4 หลายเดือนก่อน

      @@UKALONG-iu4lp shida bado wanatumika wachina wakati wabongo wenye uwezo wapo

  • @joelking3692
    @joelking3692 4 หลายเดือนก่อน +6

    Ni kiwanda cha kuunganisha material ili itokee gar bado hatujawa na uwezo wa kuunda sisi wenyewe bado tunachukua vifaa vyao na kuviunganisha, ni kweli ni hatua lakini hii inafanywa sana na kampuni nyingi kinachotakiwa sasa ni kwamba hayo materials yaundwe hapa kwetu

    • @NasibuAlban
      @NasibuAlban 3 หลายเดือนก่อน

      Hahahahaa hamkosekani wajuaji

  • @jericonzogolo149
    @jericonzogolo149 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama samia kwa kazi njema Mungu akulinde uwe na afya njema

  • @WizydadyNibu
    @WizydadyNibu 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde mama samia

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 หลายเดือนก่อน

    Hongereni watz kazi iendele

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hiki ni kiwanda cha kuunganisha gari na sio kuanza utengenezaji😂😂😂 don't be fooled

  • @NammanaMobile
    @NammanaMobile 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona kama hawatengenezi apo vinaunganishwa tu vipuri kutoka nje

  • @herialbayt7259
    @herialbayt7259 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera mama Samia

  • @thomasmnally8793
    @thomasmnally8793 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa heshima na taadhima, mheshimiwa Raisi Dr. Samia Hasan, nakuomba sana sana tena sana, mheshimiwa ndugu Makonda mhamishie pia mkoa wa Lindi, chooonde mama mpeleke mheshimiwa Christian Makonda mkoani Lindi majibu ya ombi hili utayapata endapo Makonda ukimpeleka mkoa Lindi,tupe Makonda Lindi,mama nipo chini ya miguu yako,Lindi kuna shida za kila kitu

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mama yetu raisi kwa kuzindua kiwanda cha magari nina uhakika itakua ni fursa kwa watanzani bigup mama

  • @roziezron9782
    @roziezron9782 3 หลายเดือนก่อน

    Mama yetu shikamoo

  • @Swehahabibtiy
    @Swehahabibtiy 4 หลายเดือนก่อน

    Mambo km hayo viwanda kwa wingi tuweze nasi maskini tuajiriwe tuendeshe maisha viwanda vya nguo mikoba viatu na kadhalik shukran sminiunge kwanilicho omb kwraisi wetu mma samia

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 i 👍👍👍👍👍👍

  • @twalibmavumba
    @twalibmavumba 4 หลายเดือนก่อน

    Good start. Thank you for MAMA SAMIA

  • @gladyssembojas5308
    @gladyssembojas5308 4 หลายเดือนก่อน

    Nyumbani kumenogaaaaaaaaah🎉🎉🎉🎉

  • @rebmanwillbard7464
    @rebmanwillbard7464 4 หลายเดือนก่อน

    Raisi wetu anafanya kazi nzuri kufungua kiwanda Cha magari, Je vijana wetu Wana technolojia kutngeneza magari?Ili wasiwe watazamaji tu, waajiriwe ya sifa zao za hiyo technolojia.Hatujachelewa, tuwafundishe vijana wetu technolojia ya kutengeneza magari na ndege tusiwaze tu kuajiza nje.

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 4 หลายเดือนก่อน

    mbn Amna machine mpya mnajuwa maana yaktengeneza kwel ama mtoa taarfa akuelewa

  • @jorvinstudiodotcom
    @jorvinstudiodotcom 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama apewe mingine 5

  • @PhilipoMussa-kd6nw
    @PhilipoMussa-kd6nw 4 หลายเดือนก่อน

    Rais tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI!

  • @ZainulKiondo
    @ZainulKiondo 4 หลายเดือนก่อน

    je vipuli tunatengeneza wenyewr au

  • @sharifhamad9931
    @sharifhamad9931 4 หลายเดือนก่อน

    Iv nauliza bei itaweza kupunguza au ndio ileile

  • @thabitiseapower4499
    @thabitiseapower4499 4 หลายเดือนก่อน

    Kiwanda chamagari? Au chavipuri

  • @staritsolutioncenter7100
    @staritsolutioncenter7100 3 หลายเดือนก่อน

    Du magari yatakua lak tano tu sasa

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban 3 หลายเดือนก่อน

    Wakosoaji na wajuaji hawakoekani

  • @wilfredngarabali6603
    @wilfredngarabali6603 4 หลายเดือนก่อน

    MI

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤🇹🇿🇹🇿

  • @alimuse6980
    @alimuse6980 4 หลายเดือนก่อน

    Bom hayo hayo magari kishina ni mabovu

  • @ibrahimcollow1789
    @ibrahimcollow1789 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtangazaji hafai anaitisha watu WOTE Kwa kupiga picha na kuhatarisha MAISHA ya Rais

  • @franksam8581
    @franksam8581 4 หลายเดือนก่อน

    Haya yawe na viwango

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 4 หลายเดือนก่อน

    Kiwanda chá magari au chá kufungia mgari

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it 4 หลายเดือนก่อน

    Dukuduku langu ni kuwa sijasikia wala kiona kiongozi wa imani yangu japo napongeza kazi inayoendelea kufanywa na serikali yangu

  • @mohamedymngongo5829
    @mohamedymngongo5829 3 หลายเดือนก่อน

    Kuunganisha

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 4 หลายเดือนก่อน

    Bei ya umeme ishuke

    • @jostamzxkaole3113
      @jostamzxkaole3113 4 หลายเดือนก่อน

      Maji ya kwako,misitu yakwako❓ 🤣🤣

  • @sule17942
    @sule17942 4 หลายเดือนก่อน

    kiwanda cha magari umeme shida kupatikana🤣

  • @johnlongoy7952
    @johnlongoy7952 4 หลายเดือนก่อน +3

    kwenye hiyo nakala inavyoaza dakika ya 53:55 tunaona wameandika FIRST HOWO ASSEMBLY PLAN IN EAST AND CENTRAL AFRICA , kwamba kwa ukanda wa Africa mashariki na kati hii kampuni ya HOWO TRUCK LTD imeweka hapo kigamboni mahali pa kuunganishia kipande A na kipande B vilivotengenezwa CHINA hapa hatuna kiwanda ni mahali pa kuunganisha unganisha. Zungumzeni uhalisia

    • @hassanlikwenangu8471
      @hassanlikwenangu8471 4 หลายเดือนก่อน

      Kwa hivyo mahali pa kuunganishia paitwe JALALA??

  • @binmbarouk7246
    @binmbarouk7246 4 หลายเดือนก่อน +2

    media kubwa kama hii niaibu kusema kinachofunguliwa ni kiwanda cha kutengneza magari na sio kiwanda cha kuunganisha garii

  • @MgeniNyela
    @MgeniNyela 4 หลายเดือนก่อน

    Ila mwafrika bado sana eti kiwanda hivyo vifaa vimeyeyushwa wapi na mitambo ya kuyeyusha na kuunda hivyo vyuma iko wapi semeni gereji ya kuunganisha vyuma vya magari
    tunajisifu kuunganisha vyuma

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 4 หลายเดือนก่อน

    Mama ataleta maroboti yafanyekazi

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban 3 หลายเดือนก่อน

    Watu mmejaa wivu na roho mbaya mnakosoa kila kitu mnajifanya mnajua kila kitu we unaye kosoa hapo tuonyeshe ulishafanya kipi cha maana kikaonekana

  • @stephenmukaabya8442
    @stephenmukaabya8442 4 หลายเดือนก่อน +2

    Congratulations to Tanzania and the EA with profound regional positively meaningful implications!!

  • @suleim505
    @suleim505 4 หลายเดือนก่อน

    ASANTE SANA MAMA KWA MAENDELEO YA NCHI YETU🇹🇿

  • @saadashim6180
    @saadashim6180 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera Rais wetu

  • @WizydadyNibu
    @WizydadyNibu 4 หลายเดือนก่อน

    Mi natk kaz

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mofumo ya zamani sana ya kujenga magari. Magari yanajegwa na maroboti now days. Hicho Sio kiwanda ni garage 😂😂😂

  • @NICODEMMDOLO
    @NICODEMMDOLO 4 หลายเดือนก่อน

    Hakika tunatakiwa tuishi katika fikra kama hizi,tusiishie hapo tu bali ndege inawezekana

    • @NICODEMMDOLO
      @NICODEMMDOLO 4 หลายเดือนก่อน

      Asante mama Kwa hatua kama hizi

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud 4 หลายเดือนก่อน +1

    Assemblingg

  • @kun8963
    @kun8963 4 หลายเดือนก่อน

    👍💪

  • @AkimuWaziri
    @AkimuWaziri 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jaman ilitakiwa tuwetunatengeneza wenyewe wa Tanzania. yaan sisi bado tunasoma panzi anamiguu mingap. Da!

    • @StephenMuta
      @StephenMuta 4 หลายเดือนก่อน

      Apo ndokweli tunafeli aki😂😂

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera rais wangu . Historia imeandikwa tangu uhuru sasa tunajivunia

    • @AhmedAslam-ip8mu
      @AhmedAslam-ip8mu 4 หลายเดือนก่อน

      historia gn? hpo hmb tafaut lbd kweny kupt ajira tu lkn hatuwez kujivunia tunatakiwa tuwe na kampuni yetu yenyw inayozalisha magar yetu wenyw

    • @maxsenciusalexander2213
      @maxsenciusalexander2213 4 หลายเดือนก่อน

      @@AhmedAslam-ip8mujifunze kuhusudu basi🙂
      Umeona wapi mbuyu ulioanza kama mbuyu😏

    • @twalibmavumba
      @twalibmavumba 4 หลายเดือนก่อน

      Unaanzaje kuwa na chako mzeee kabla ya kujifunza kwa wengine na kupata sapoti​@@AhmedAslam-ip8mu

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mngetengeneza magari madogo ya abiria wananchi tueze kujikwamua kiuchumi

    • @AhmedAslam-ip8mu
      @AhmedAslam-ip8mu 4 หลายเดือนก่อน +1

      hi ni assembling tu cio kiwandn cha kutentengz kabis wanaunga2 na hio kampuni cio ya tz mjue tu

    • @hakunamatata9919
      @hakunamatata9919 4 หลายเดือนก่อน

      @@AhmedAslam-ip8mu kampuni iwe ya Tz isiwe ya Tz tunafurahia imezinduliwa hapa

  • @alihoka_001
    @alihoka_001 4 หลายเดือนก่อน

    Hongereni, Kenya tulianza kuunda magari since 90's google Mobius car motors, Mobius is an off-road brand jeep invented in Kenya, we have Mobius one, two na three, i think four is on the way, secondly we have ship manufacturing yard at bandari, under the Kenya Navy

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 4 หลายเดือนก่อน

    UMEME NDIO MUHIMU KWWNZA UMEME WA UHAKIKA WA NUCLEAR HALAFU MAMBO MENGINE YOTE YATAFUATILIA ENERGY NDIO MUHIMU

  • @rebmanwillbard7464
    @rebmanwillbard7464 4 หลายเดือนก่อน

    Je, wazawa wamefungua kitu Gani kikubwa ? Tusiwaachie wawekezaji, tuwe pamoja Kwa usalama wa kiuchumi wa nchi yetu.

  • @TiganaaJ
    @TiganaaJ 4 หลายเดือนก่อน

    Nchi jilani tutakua tutanunua gari pafupi na kwa beyi chini..sawa kbsa

  • @AkimuWaziri
    @AkimuWaziri 4 หลายเดือนก่อน

    Safisan Raisiwetu. ila nasisi tuanze kusomea hivyo.

  • @WizydadyNibu
    @WizydadyNibu 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde mama samia

  • @MohamedHamis-x1k
    @MohamedHamis-x1k 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa muheshimiwa Rais izo gari za kichina zitapita Barbara gani kwa kuwa izo Uzito wake ni mkubwa na nchi yetu tunataka gari zenye Uzito mdogo sasa

  • @GudluckJames
    @GudluckJames 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mwendazake magufuli alitengeneza njia

    • @MeenaHassan-fd9vv
      @MeenaHassan-fd9vv 4 หลายเดือนก่อน

      Mwendazake alikua ana maono mpaka alikuwa ana kera mpaka ma member wa ccm waliokuwa hawampendi wakazidi kumchukia r.l.p jpm wetu mzalendo

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 4 หลายเดือนก่อน

      Acha upumbavu kila anafanya samia et alianzisha pombe , kwa taarifa yako mama anafanya mambo makubwa kuliko Magu na akimaliza 2030 tunatengua katiba ili aongoze milele

    • @herimornchriston6083
      @herimornchriston6083 4 หลายเดือนก่อน

      @@BonnyMwajombe-iu7hb manake tutaondoa democracy sindio??

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 4 หลายเดือนก่อน

    Tunawataka Toyota jaman hawa ndio mwisho WA matatzo wakija hao tutakuwa na soko kubwa kwa nchi jirani watu wanatak Gari mpya sasa

  • @MASUBIBULULA1
    @MASUBIBULULA1 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Kampuni ya Saturn Corporation Ltd kutupa nafasi hii ya heshima kwa nchi yetu kutengeneza/kuunganisha malori nchini

  • @rosemgeni2221
    @rosemgeni2221 4 หลายเดือนก่อน

    Kiwanda cha ist toyota

  • @pendael02
    @pendael02 4 หลายเดือนก่อน

    Siyo kiwanda cha kutengeneza magari . Vinaletwa vipuri au parts na kuunganishwa hapa.
    Sisi tutafaidi nini kama nchi?

    • @twalibmavumba
      @twalibmavumba 4 หลายเดือนก่อน

      Tatizo lenu wabongo huwa mna waza hapa tu na si kule. Hamna future manina. Huwezi Anza kuwa boss bila ya kuwa mtumwa

  • @festusmburu337
    @festusmburu337 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera mama. Show them how to govern.

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 4 หลายเดือนก่อน

    Safii

  • @Dogokanumba
    @Dogokanumba 4 หลายเดือนก่อน

    Wow form Kenya 🇰🇪 ❤🎉

  • @SimonLukumay-cw4bd
    @SimonLukumay-cw4bd 4 หลายเดือนก่อน

    Hongereni