Team mkola nipo
pambano lao halikuwa nzuri sana,kukimbia na kushikana kwingi,the winner has to really change his fighting tactics ,maana akikutana na wababe anakaa mapema sana, pengo afanye mazoezi sana ale vizuri,apunguze vilevi he will prosper
Kiukweli huyo Said Mkola yuko vizuri sana, akitengenezwa atafika mbali kimataifa
Huyu pengo sura yake duh
Pengo mtu mbishi duh Much ❤ Azam tv
Pengo apunguze bangi
Huyu mtangazi mmoja mshabiki Ile mbaya bondia wake kapigwa
Aliliaa sana pambano uyo
Kilicho nifurahisha ni uwezo wa Pengo kutumia kichwa chake kupangua ngumi 😄😄😄
Pengo Kampa dogo Kiki nae dogo aonekane mjinii hapa ila kwa pengo ninae mjuwa mimi huyo mtot asinge fika round zote hizo pia mwane2 pengo anazinguw ku change gym nd ina mkost mala leo huku kesh huku unaznguw
Ato mlilia tena
pengo n mzur na ni talent,ila huyu dogo ana mbinu ndio zilizo muumiza pengo.pengo alikamia game
Hebu kuweni serious Basi nyie wenzetu mnaangalia ngumi.zipi? Pengo ana talent???😀😀
Piga jitu
Huyo bondia anafanana kiberiti ambacho kitatumika kuteketeza wavuta bange sikuya jehanamu
😅😅😅😅😅😅
Duh uyu kwel pengo Mana sio kwa sula iyo
Mkola wee n maxter🔥🔥💪🏾 dadek😳