ccm hizo ndo heshima zao na hayo kwo madogo kwasab makubwa mauwaji ukifikia kumpiga mtu risas mnazan haya yatakuwa ya kuwazuwiya .ukijiuliza hawa wajane wake za watu au hawajawahi kuwa ktk ndowa jib lake njaa inawasumbuwa watoto wao wa viongozi hawawezi kuwaruhusu hayo km wale jamaa wa arusha watoto wao wanaishi vuzuri wanasoma wanakula wanawalinda kwa harama zote watoto wa wanyonge wanazirika
Astahafiru Allah allah atupe rehma kwa kuwarehem wanataka rehema zako😢
😢😢 mtihan hapo kwakweli hizi pesa zitatupeleka moton
Innalilah wainnailah rajiun Allah awasamehe bure
Duh! Haya maisha yanatuhadaa, yanatudanya yatatukataa na tutayajutia.
Tobaa Aibu kubwa Sana hii akitokea Malki Mauti na wewe uko Hali hio nini utamwambia Mola wako Ya Rab atuhidi sie na vizazi vyetu
Allah awaongoze yaskitisha
Jaman kwan shida nn,nyie mbona mnakunywa pombe ha2semi
Safi sana
Mauno ya shetani 🤣🤣😂😂😂. Nyonga teketeke hapo ma ostaz macho yawatoka
👌
Na hata kidumbaki nnachokijua mm hakichezwi km hivi jamani naona fujo tu😅😅😅😂😂
Safi kabisa 😂😂😂😂 ❤❤❤
Jeshi linafundisha kukata viuno, au kupigana vita
Tutaona mengi
Duh taarab na viuno hivyo
ccm hizo ndo heshima zao na hayo kwo madogo kwasab makubwa mauwaji ukifikia kumpiga mtu risas mnazan haya yatakuwa ya kuwazuwiya .ukijiuliza hawa wajane wake za watu au hawajawahi kuwa ktk ndowa jib lake njaa inawasumbuwa watoto wao wa viongozi hawawezi kuwaruhusu hayo km wale jamaa wa arusha watoto wao wanaishi vuzuri wanasoma wanakula wanawalinda kwa harama zote watoto wa wanyonge wanazirika
Unajis mkuuu 😮😮😢😢
Yani wanawake mmejiachia kabisa mbele za watu mnamwaga mauno namna hio
🏃🏃
Hiyo sio taarab hiyo ngoma inaitwa kidumbaki ni ngoma ta asili huko pemba
Muongo siyapemba hiyo ni unguja pesa ngoma asili yao niunyago namsondo
Ukosefu wa haya na akili😔
Cha ajabu Nini hapo?mbona kutwa mnashida kwenye baa kunywa pombe.
Sijaona kuanisawa ,ninahis km nimatusi hususan kw utamaduni wa ZANZIBAR ,nimatusi kukatika hadharani 😢
Ndio utamaduni waooo
😂😂😂😂
Nini kufanyike sasa
Wanacheza wao aibu naiyona mie😢😢😢
Wake za watu hawa, mama wa watoto ?
Wapo kazini😂
Kizimkazi imeitika
Millad hicho kidumbaki😂😂
Watu wazima hovyo
😂😂😂😂😂😂😂 duuuh
Hii ni kidumbaki sio taarabu
Mukifik majumban kwenu nyot munawanunia waume zenu washenz wakubwa lakn hapo viuno km mwatiw vidole
Wakosefu wa heshima
Hayo maumno
Kigodoro cha hazarani😮😮😮😮😮
Utamaduni waooo
Dumbaki mh
Hatari viuno
Hakuna kiongozi hapo jamani