Shija: Hakuna nchi inayoifikia Tanzania kwa vivutio vya Utalii
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ม.ค. 2020
- #HazzeSafari #HazzeSandström
Mtanzania mwenye asili ya Bara la Ulaya, Hazze Sandström au maarufu kama Shija, amezaliwa Nzega na kukulia hapa nchini Tanzania na kufanya kazi hapa kwa miaka kadhaa kabla ya kuhamia nchi Kadhaa za Ulaya, Afrika na Uarubini na saa anaishi Nchini Sweden anasema katika suala la Utalii hakuna Nchi inayoweza kuifikia Tanzania kwa kuwa na vivutio vizuri.
Kama kuna mtu pia ni mzaliwa wa Nzega kama bwana Shija agonge like hapa👍👍👍
safi sana Mzee Shija karibu sana nyumbani, endelea kuwa barozi wetu mzuri , Mungu ibariki Tanzania
VIVA TZ VIVA Naiona TZ ile yenye lugha adhimu ya Ksw kinachozungumzwa na bara zima la Afrika miaka Kede ijajayo ata kama co kizazi hiki lkn kizazi che2 kitatuwakilisha. Mungu ibariki TZ Mungu ibariki Afrika.
Good job
People to people connexion. Wewe ni mteteaji wa Kweli wa Afrika. Mungu akulinde na akubariki. Wewe ni shemeji msukuma kumbe.
Well said sir 👍👍👍
Huyu ndugu anafaa kuwa balosi mkuu kuitangaza tz nje
Watanzania wenzetu mnaoisema TZ vibaya muone aibu.
Wewe ni mtangazaji mahiri sana
Your the best bro
Karibu Sana ndugu yetu kweli wewe ni mzalendo
Nimeipenda hii
Safi sana
Waziri wa utalii na Baraza la kiswahili huu ndiyo wakati wa kuitangaza lugha yetu, inchi na vivutio vyake
Hongera sana boss
Shukran mtu wa nje unasema ukweli kuhusu Tanzania leo, Magufuli kaendeleza kwa muda mfupi. Watu wetu hapa wanakwenda kutusaliti.
Safi sana Shija
Bora wewe useme mzungu labda kunamanamba Fulani wa vibaraka wa ulaya watakuelewa hakuna nchi yenye vivutio kama Tanzania msigwa upooo
Yaani anaongea kiswaili fasaha
Shija MZUNGU anaongea kiswahl fasaha, MLOKI2 mBONGO anabongoa kwa kusrma "hifazi"
Bila shaka hakuna wa kushindana na sisi katika sekta ya utalii, hususani katika mbuga za wanyama
Najivunia kuwa Mtanzania
Swahili day.
#KilimanjaroBrothers kwa mahitaji yao yote ya kutembelea vivutio vya utaii Tanzania
Wapinzani hawamtaki huyu
Kabisa
Mzungu mswahili kweli
naomba tuzungumze inbox
Na kwa wizi uonevu pia
Shija? 🤣🤣🤣🤣mtoto baada ya mapacha usukumani
.
Ukimuacha bongo zozo huyu niwapili au niwakwanza
Mimi nakuitaji baba una mke
?
Regina Stephen, huyo amezeeka
Huyu Mzee inabidi serikali imtumie kama balozi wa utalii wetu Tanzania
Jamani serikali imchunguze Revina kwani anataka kutuulia huyu babu.
Sema kweli bhana Wewe unamuhitaji huyu Baba au inahitaji dollars zake, funguka bhana
@@Ndu-wa.uroony2 inichunguze nimefanyaje ndugu labda ianze na wewe alafu inifuate ni muuwe mimi ninauza sumu? Wewe tuheshimiane sawa
😂😂😂😂😂, toka lini wasukuma tukawa wazungu. Sisi wasukuma siyo wazungu. Huyu vipi? Au kuna mzazi wake mmoja ni msukuma? Pia jina la shija mara nyingi hupewa mtoto ambaye anawafuata watoto mapacha au kashinje.
Huyu mzungu ndio angepewa kuwa waziri wa utalii na maliasili sio mijitu mingine hii ambayo hiko madarakani
Mzungu anazungumza kiswahili fasaha kuliko hata huyu mtangazaji mtz wa Daily News.Aibu tupu. Mroki jifunze vema lugha yako. Pole Sana
Lazima usifie ili usifukuzwe ila angalieni jirani zenu walivyo wapita mbali kw utalii na mambo mengine mengi
Hujasikia alichokielezea
Majirani wapi hao??
Acha hiyo kauli bwana.. Siyo uzalendo kabisa.. Huu ni ubaguzi... Atafukuzwa kivipi.. Huyu ni mtanzania halisi na ana nia njema kabisa na Taifa la Tanzania
Sasa afukuzwe na Nani wakati kakwambia mzaliwa wa shinyanga? Hv kwa Nini mtu akimsifia rais Kuna watu mnaumia Sana🤣🤣🤣
Matako wewe kama siyo mkundugu.
Good job