Hakika tuna imani na mamuzi ya viongozi wetu wa weamua vyema makombe kwanza na pesa tusha lipia isitoshe mdaa bado kbs wata fungua natuta tambulisha wshezaji wetu wapya tu tabu iko pale ple wananchi tukuwe wapole tusimme na timu yetu pekeee waduwi ni wengiii
Binafs nawapongeza viongoz wetu kwanza kabsa kwa kitendo cha kusikia kilio cha mashabiki na kutoka hadharani na kuelezea hali ilivyo hii ndio maana halis ya uongoz bora si kuacha kila mtu abashir anachokijua yeye. Hata kukiwa na tatiz lakin uongozi ukitoa neno hali inakuwa shwari
Mmh ngoja tupumue kwanza maana majirani walikuwa wamepata kisingizio cha kupoozea migogoro yao watu wanaita press kujadil matatizo yao lakin unasikia wakijfarj hata yanga kuna matatzo wanadaiwa milioni 860 simba ni mbovu lakin hakuna madeni kumbe pengin madeni yapo mengi tu ila hayajifka fifa na taasis yeyote kuwa na madeni ni kawaida cha msingi nikuwekeana utaratibu wa kulipana tu
Shukurani kwa ufafanuzi ila jitahidini mambo kama haya yasijitokeze maana Kila wakati ni yanga tu ndio inapata kashfa hizo mtengeneze Sheria nautaratibu ambao utashughurika na wachezaji na mikataba hili Hali kama hii hisijitokeze Tena hakuna hasiyedahiwa ila sio kwa kuipa sifa mbaya bland ya timu
Mna fanya mambo kienyeji Ali Badilikeni Taasisi kubwa hiyo Mbona mna fanya mambo vizuri siku zote? Jaribuni kuondoa hizo fault msizichukulie easy zina haribu standard mlio Ijenga now.🙏
Hakika tuna imani na mamuzi ya viongozi wetu wa weamua vyema makombe kwanza na pesa tusha lipia isitoshe mdaa bado kbs wata fungua natuta tambulisha wshezaji wetu wapya tu tabu iko pale ple wananchi tukuwe wapole tusimme na timu yetu pekeee waduwi ni wengiii
MUNGU ni mwema kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga shalom
Binafs nawapongeza viongoz wetu kwanza kabsa kwa kitendo cha kusikia kilio cha mashabiki na kutoka hadharani na kuelezea hali ilivyo hii ndio maana halis ya uongoz bora si kuacha kila mtu abashir anachokijua yeye. Hata kukiwa na tatiz lakin uongozi ukitoa neno hali inakuwa shwari
Mmh ngoja tupumue kwanza maana majirani walikuwa wamepata kisingizio cha kupoozea migogoro yao watu wanaita press kujadil matatizo yao lakin unasikia wakijfarj hata yanga kuna matatzo wanadaiwa milioni 860 simba ni mbovu lakin hakuna madeni kumbe pengin madeni yapo mengi tu ila hayajifka fifa na taasis yeyote kuwa na madeni ni kawaida cha msingi nikuwekeana utaratibu wa kulipana tu
Shukurani kwa ufafanuzi ila jitahidini mambo kama haya yasijitokeze maana Kila wakati ni yanga tu ndio inapata kashfa hizo mtengeneze Sheria nautaratibu ambao utashughurika na wachezaji na mikataba hili Hali kama hii hisijitokeze Tena hakuna hasiyedahiwa ila sio kwa kuipa sifa mbaya bland ya timu
WA kwanza kucoment
Ujayanti huo lazima viongozi wajionyeshe kua hawabahatishi❤
Tumeelewa babaa haya yote yanatokea sababu mti wenye matunda lazima ushambuliwe M/Mungu tunusuru na haya Inshaallah
Tabu iko pale pale
Daima mbele nyuma mwiko maneno ni yaleyale ya Boss GSM "Ynaga bingwa"
sasa hao mikundu wanaopiga kelele yanga anadaiwa wanaonaje apo ayoooooo yameumbuka
Shehan anafaa hata kwa nusu kipindi jamani anafanana na huyu mchezaji anaevaa mask left footer na aziki kii,kumuamini tuu.
💛💛💚💚
Asante sana viongozi maana mko makini Sana
Daima mbele nyuma mwikox
Ii
😢😢ata kama ila hii kitu inashusha thamani ya taasisi yetu inauma sana kila siku sis na sisi wanachama tuendelee kuilipia team yetu jmn
Utopolo lipeni Hela za watu kenge nyie
😅😅😅😅😅
🆒
Leo wa tati like zenu😊
😢😢
Mna fanya mambo kienyeji Ali
Badilikeni Taasisi kubwa hiyo Mbona mna fanya mambo vizuri siku zote?
Jaribuni kuondoa hizo fault msizichukulie easy zina haribu standard mlio Ijenga now.🙏