@INFINITE FUNNY viwes sio tatizo we unafikili kila ngoma itait? Kaangalie akina Davidi ata bana boy sio kila mtu anatumia sim za TH-cam Amna msanii bongo mwenye mashabiki mtaani Kama tembo nikwambie Sasa kama ulikuwa aujui
Palipo na ukweli kitu kizuri na chema utokea konde kaimba hisia zake hapo thus why ngoma imekuwa kali 🔥🔥🔥🔥🔥 Ngonga like Kama unaikubali ngoma👍👍👍 🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪
Konde Makonde for everybody Maji hayawezi zidi unga...ni naaani anayemjua mtaje AAA aha....mwenzenu nina maumivu na wivu awweeeehh....sauti na band tamuuu kweli...nipeeni like thirty Fae Kama umerudia Mara 50hii clip
Njia nzuri unakwenda, piga zoeziw sana, kwa kukusaidia zaidi back vocals wawe na movement moja, sio huyu anatingisha kichwa mwingineq kisigino yule tumbo, hapana, piga tizi kweli harmo, big up
The Day Diamond sijui simba will do something live like this i will respect him. Otherwise hizo kelele zake ni bure tu. Kondeboy big up bro. I love this, clean music
Sema wew jamaa kwenye mashaili upo vizuri tuliza tu akili afu njoo na new styles,Me nina hakika una uwezo wa kupindua meza Tulia tu mwenzako siku izi anapiga kelele tu mashairi kama haya kaishiwa hana siku izi
Wanaoamini harmonize ataishika afrika kimziki mwenye maono Kama yangu tukutane kwenye comment hapo chini maana huyu🐘🐘🐘🐘🐘🔥🔥🔥🔥🎶wengine watasubiri sanaaa nakukubali bro ww ni fundi wa mziki Tanzania
Konde nakukubari sana nyimbo zako ujawai kosea yani awakuezi kaza kaka usikate tamaa ila toa ngoma kama izo utufuraishe mashabiki zako yani ww sijui nisemeje mtaje mtaje mtaje
Watapata tabu sana jeshi LA mtu mmoja linapiga kambi yote yani unajua kaka saut biti zote zimekaa vizur yani mwendo uo watakoma nkukubar kaka naona sichoki kusikiliza ebu iachi kabisa yote
Lakini hawa Bongo Movie ladies wanachanganya Bongo Musicians. Konde umeuua, wimbo 🔥 🔥. Love from a Kenyan in 🇺🇸
🤳🕵️
Kama unamuangalia harmonize huku unasoma coment piga like yako hapa
Wooow Harmonize wewe ni Noma kumbe hata band pia uko vizuri ,,,mimi kila mara na semaga ,,bongo tuna Msani mmoja tu kwa sasa na ni huyo Tembo
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
🤣🤣🤣Acha kujidanganya wew
Tembooo kama tembooo kasha ongeaaa ukoo TH-cam
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
@INFINITE FUNNY viwes sio tatizo we unafikili kila ngoma itait? Kaangalie akina Davidi ata bana boy sio kila mtu anatumia sim za TH-cam Amna msanii bongo mwenye mashabiki mtaani Kama tembo nikwambie Sasa kama ulikuwa aujui
My favorite singer Konde jeshiii
Kama unamjua mtaje.....
Aliyerudia nyimbo hii Mara nyingi zaidi kama Mimi , a like tujuane mapema ?
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Piga kelele kwa konde
Jaman Kaka hamo mbona nyimbo zako zinanigusa moyon mwang Tang aiyora jaman duu
🤣🤣🤣🤣🤣 kajala jaman enzi za mabanda ya sinema mi namjua 👴👴👴👴👴
Na mimi Leo naomba likes nikapikie ugali😂 mean while enjoy good music ❤️
😆😆😆💯
🤤🤤🤤👍
Jamani munipe like namie😯😯😐😐Love from burundi bujumbura
Konde Boy kila mahali unakubalika. Likes zangu hamsini tukisonga
Amorauz Dop 🇿🇦🇧🇮 afu wewe harmonize kikweli sio mashahiri ulio nao yako nishaga shindwa kuelewa wapi unapo toag mashahiri kikweli mungu akuongeze zaidi ya apo ulipo
Konde anaimba nyinyi huyu kijana ako na talent tena ameshinda diomond na mbaliiiii sanaa waaa!!!...the song is fireeee😍😍😍😍😍
Uliskia Wapi 😅😅 Umskize Rayvanny Utajua Talent Ni Nini
Ati ameshinda diamond 😂
Jeshiii moto
Eti Anashinda Nani???Hebu Rudia Sikuskii Vizuri 😂😂😂 Mwache Kumchonganisha Simba Na Majeshi Bana Wataliwa
Jeshii ni moto saaaana💥💥💥💥💥💥
Nani kaja kusikiliza hii ngoma baada ya konde kuachana na kajala 2tuane 🇶🇦
Kumbe tupo wengi 😂😂
Ata mm Kati yao
@@ezrahmsty82 😃🥂
Itamfanya kajala asimsahau harmo mapma
Nani bado yuko anahusikiliza HUU wimbo adi Leo 2024??❤
Nani pia kaskiza zaidi ya mara tano✋
Kama Ulihama na Harmonize kutoka wasafi kindly gonga like
Like
Like
Aliye ona style mpya aliyonyoa konde boy kapendeza sanaaaa EB tujuane kwa like hapa
Kapendeza kinoma
Ambae kapenda unyoaji wa harmonize like apa
Kapendeza mno
Awesomeness.......20 Percent kwa umbali namsikia.
Sauti ya Thahabu hyo naimisi kwa game
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.,
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
I wish siku moja nikuone nikukumbatie😭🙏iyo wimbo imeniguza rohoni mwangu
du! noma sana
mziki upo konde gang ila kwa kina domo wanapiga kelele tu
Hei
Mmmmh?
Halina ubishi ilo na wenyewe wanajua ndio maana hawalali kutwa kwa waganga
Harmonize si ukuje kenya utuimbie hii wimbo jamani you are on top man heeee!!!
Hii song ilitokea ama
Tutakujaaaaaaaa
Konde boy for everybody big legend big boss 🙏💯👏🎼🎶🎧▶️▶️🎸🎷🎻🥁💪👌💯🎹🎷🎷🎷🎸🎻
Kajala kweli anaumiza moyo wako kajala jamoni 😍😍
Alie muona bonge wa bongo star sech gonga like twende sawa
Kwa kwel 😂😂😂😂
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
@@zakiahaji1683 th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
@@pstphostinewandera3851 😍😍😍wimb mzr
Bonge anauwezo Sana ila starsurch wanashida sanaaa
Palipo na ukweli kitu kizuri na chema utokea konde kaimba hisia zake hapo thus why ngoma imekuwa kali 🔥🔥🔥🔥🔥
Ngonga like Kama unaikubali ngoma👍👍👍
🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪
I love this song
Team Harmonize 🐘🐘🐘 nipeni like zenu leo👇👇🙏
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
💥🤞🏻
Nampenda sana kondboy
Jeshiiiiiii
Idea kali sema fanya iyo studio iwe kali zaidi ni mwendo wa live sessions tu ✋🏿
Firrrrrrr 🔥🔥🔥🔥 wog ngoja harmonize ukilike hii picha nitamutaja ninae mjua ♥️♥️♥️♥️🗣️🗣️🗣️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Harmonize,Harmonize,Harmonize. Nmekuita mara ngapi? Kweli wewe jeshii 🔥🔥🔥🔥
KAJALA😀
Umepatia tumia sayona baridi nakuja kulipia🤣🤣🤣
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
🏴☠️🏴☠️🦍
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
@@sadicksadickkenyatta1371 haezi Kuwa Sara sbbu so rfki yke wema
Kama sauti ya jesh hua inakupa burudani plz tujuane hapa😍😍😍😍
Oyooo
We want you here in Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Yes
That’s true bro
Lusaka
Konde Makonde for everybody
Maji hayawezi zidi unga...ni naaani anayemjua mtaje AAA aha....mwenzenu nina maumivu na wivu awweeeehh....sauti na band tamuuu kweli...nipeeni like thirty Fae Kama umerudia Mara 50hii clip
Daah! hongera sn Harmonize (Kondeboy) nyimbo ni nzuri sn...Umeimba Vzr sn,,,May God bless u bro
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Am happy for shedrack ,thanks konde boy for nurturing my friend Shed ,more love from Nakuru,kenya
No one Tanzania harmonize ww ndio akuna mwingine ❤️❤️❤️
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
From kenya 🇰🇪🇰🇪this is more than a band wah 🔥🔥🔥💯💯💯💯iyo style umenyoa ndio yako sasa🐘🐘🐘ii ndio band ya clubs weekend sasa...umetisha sana kaka🔥🔥🔥🐘🐘💯
Jamani kama sio Kajala ni nani mwegine, Ebu weka like hapo kama uko sambaba na mimi
N kajala mjomba
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
@@braggadachu1723 th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Harmonize every time I listen to your sounds I'm proud of you you deserve so much 🇬🇳👋💞
Thanks broo for appreciate our tanzania music ( bongo flavor ) this guy his so talented welcome TANZANIA my brother 🇹🇿🇹🇿❤❤👍🙏🏿🙏🏿
Njia nzuri unakwenda, piga zoeziw sana, kwa kukusaidia zaidi back vocals wawe na movement moja, sio huyu anatingisha kichwa mwingineq kisigino yule tumbo, hapana, piga tizi kweli harmo, big up
Hilo lilikuwa zoezi la sauti wataenda sawa wakifanya zoezi la movement au vyote kwa pamoja.
The Day Diamond sijui simba will do something live like this i will respect him. Otherwise hizo kelele zake ni bure tu. Kondeboy big up bro. I love this, clean music
Me too bro
Kijana wa mtwara ni balaa
@@nationalbeautiful Diamond hawezi imba na Live Band bro. Alijaribu coke studio ikawa balaa. Tunamjua bro😂😂😂😂
Nenda TH-cam search diamond ft Casper nyovest.
@@godlizenelias2047 ndio tukupate huko ama? 🤣🤣🤣
Sema wew jamaa kwenye mashaili upo vizuri tuliza tu akili afu njoo na new styles,Me nina hakika una uwezo wa kupindua meza Tulia tu mwenzako siku izi anapiga kelele tu mashairi kama haya kaishiwa hana siku izi
Una jidanganya bibi yngu sikio hlizid kchwaa
@@fadraj6899 sawa kaka uo ni mtazamo wako
Hi ngoma hatar Sana I pray God stand for you harmonize. Wow so amazing
Brother @KondeBoy hapo umeuwa bro...namuona bg wa Bongo star search....God bless you kwakuendelea kushika mkono watu wenye talent bro
Hongera kwa hii nyimbo ziziiiii...ni taje.....shwari sana....nime penda mbona kasema mwenyewe akitaja wamechelewa
Aaaa jaman lets not be so hatred
The man is doing his best
So hit Konde boy...fire fire
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Konde gang for everybody
@@kizzoboy5506 th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
🔥🔥
Kwa mara ya kwanza na comment bro..be blessed bro
Nani anayeludia kwangalia Kama Mimi gonga like Apo twende🤑🤑🤑
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
@@pstphostinewandera3851 nimeierewa ngoma Kari inatishaaaaaa
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
🔥🔥
Ila konde mkali jaman tuache ushabik Maandaz napenda akiimba live dah ✊🏽✊🏽✊🏽
Harmonize number 2 nakubar kwer ni mi james mshabik ambae harmonize hajajuw i love harmonize
Mwaga makopa kama unampenda kond boy a.k.a harmonize
Huyo aliyepiga Saxophone ni nyoko🙌
Kama nyimbo umeiyona mzur kama mm gonga like
Nyimbo kali hatar
Team jexh
Hili goma bomba sana kama ungelitoa mzee baba Kam official song asee lingebamba zaidi imekaa poa sana konde
tupe magoma kama haya sio unatuletea mangoma ya majungu kwenye mainstream..hili goma kali mzee baba
Kabisa yani bonge la wimbo
Wanaoamini harmonize ataishika afrika kimziki mwenye maono Kama yangu tukutane kwenye comment hapo chini maana huyu🐘🐘🐘🐘🐘🔥🔥🔥🔥🎶wengine watasubiri sanaaa nakukubali bro ww ni fundi wa mziki Tanzania
From Kenya Like hapa kwa boy wangu harmonize 👇
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Jeshi nakukubali sana harmonize natamani nkupate wap jeshi
I honestly love how you do your performances...live band is just awesome
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Broo nyimbo kali sana. Toa mzigo wenyewe na uwashirikishe sauti solo. Itakuwa ni balaaaa
Ndo mana nakukbal konde boy naomba like japo kadogo
Kaka fanya urecod hii daaa niBonge ngoma Aisee
Kama umemuona huyo msela bonge pembeni hapo gonga like
We msenge sana😅😅
😀😀😀😀😀
Kutoka bss
Bss
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Jeshiii naomba uwachie hili goma kali sanaaaaaa😍😘
Wa kwanza naomba like jamani love from Kenya🇰🇪🇰🇪
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Nakubali kiongoz namm pia nimefanya kazi mnzr naomba muitizame kuiona bonyeza iyo pc
Anaemkubali jeshi usipite pila like hapa 🔥 🔥
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
,
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Hakuna wakunihamisha huku konde gang..chamalangu milele .nakuombea Sana
Believe in yourself and God will take you there. Kondegang to ghana
Liver acha fujo tume wa funga
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Konde nakukubari sana nyimbo zako ujawai kosea yani awakuezi kaza kaka usikate tamaa ila toa ngoma kama izo utufuraishe mashabiki zako yani ww sijui nisemeje mtaje mtaje mtaje
Naomba niunge utoapo tu nyimbo zako unitumie wasp 0715-565330 kka konde namjua mtaje
Watapata tabu sana jeshi LA mtu mmoja linapiga kambi yote yani unajua kaka saut biti zote zimekaa vizur yani mwendo uo watakoma nkukubar kaka naona sichoki kusikiliza ebu iachi kabisa yote
This is the real African music.
Konde boy follow this path you will be far and memorable 🔥
For sure brothe he supposed to👍
Sure
🔥🔥🔥🔥🔥hio beat.wah! Nakubali kondeboy4everybody
Naomba kazi jamn ata ya kupiga deki kwa harmonize jamn
Sema konde Boy kwakua upo tz tungekua nilipomimi levozako sio Bongo wew Like zakutosha Kwa Mjeshi mahili🔥🔥
Yeah boy umetishaaaa konde wakukaya hz ndo live band wataeleaaaa tyuuu ,master j anakuelewa sanaaaa na anajua una mzk huna janjajanja
Nakubali mjeshi 💪
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Kuna vitu vinaniuma roho mpaka Sasa juu y huu wimbo nilin utauachia au ndo tyr umeisha 😭❤️❤️
Tuletee hii mzee baba umeua knyama 💥💥💥💥💥
Brilliant song
*☺😅😑😑Kama umeisubili hiii ngoma naomba leke jaman*
Asante wote Munao mufatilihamo
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.,
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Jeshi nijeshi2
Mungu akupe maisha malefu so that u keep blessing others
Kama umemtambua Huyo jamaa bonge gonga like twende sawa..
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
,
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Alitisha kwenye Bss season 11
This song hits different.. still flamming in 2024 harmonize to the world🎉
Mm namjua lkn navunga tuu😂😂... Tembo. We mtu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
aaaaaaaaah konde wapeleke taratibu utawauwa na presha ata kama hawasemi hadharani ila myoyo yao inakubali mapigo offciuse your on🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mimi ndo jimeongoza kwa kuangalia na kusikiliza Mara nyingi anayebisha gonga like kwangu
We hujanishinda
Mm zaidi
harmonize apo umetulia sana ulivonyoa ivooo ila ukisuka unakuwa mbaya sana
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA e💪🏾💪🏾💪🏾
Sio tatzo lako shida upo njombe
@@highthemetv7857 hahaha kabisa
We unajikuta mzungu sana boya wew
Kajala nyama nono😀😀...konde boy uo mkato fanya uumalizie na blichi t umekutoa kichizi..badilsh muonekan🐘
Alaf kaisha malizia xax😂😂
Congo DRC nyimbo hina keti sawa alafu kanigusa kenyi moyo tembo kama tembo 🤞🤞💪💪🇨🇩🇨🇩
Parabéns para este grande artista Harmonize
Still so in love with this song even if they’re not together anymore
No 1 Artist in 🇹🇿🇺🇬🇰🇪
What about Burundi 🇧🇮
And Burundi too💯
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.,
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Saudia tupo ma shabiki wa konde jeshiiiiiiiiiiii🇧🇮🇧🇮💪💪💪🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌👌👌
O melhor de todos em Tanzania 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Boas vistas mano
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
@@armandohenriquesmboko1234 th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Endelea kupiga kazi nzuri tu bro muda utaongea itafahamika tu tofauti ya tui na maziwa!.. we love you konde boy ,🏁😍⌚
We love you harmonize from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Konde c bure kijana toka congo kakufuata
Am team konde
Kama unamjua mtaje anayepishana nawe
Good, dondosha malike lama umeielewa lama mm
th-cam.com/video/qBUW8vci5RM/w-d-xo.html
Hii ndo ilikuwa kubwa kuliko.
th-cam.com/video/JivyvBC01c8/w-d-xo.html
Nakubali jeshii tunaisubl kwa hamn nmeielewa
Tutolee hii nyimbo ni Kali mnoo