Kwa wanaotaka kujifunza na wako mbali wanakupataje
Kaka mm nina sabufa yangu nilipeleka kwa fundi kafunga mp3 lakini chanel za redio nazipata chache ata 10 azifiki shida nini? Alafu kuna muungurumo tatizo nini naomba msaada wako
Apo wire wa antena kutoka kwenye mp3 ajaunga nyuma kwenye antena then wire wa ground ajaconect sehemu yenyewe
Saw mkuu