"BADO NAKAA KWETU/Siwezi KUWAJENGEA NYUMBA WATOTO/KWANINI NILIPE KODI?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Huyu hapa mswahili mwenyewe anaitwa MANGANJE anakwambia kuwa hawezi kuwa na mipango ya kujenga nyumba kwasababu ya watoto atajenga kwa mipango yake mwenyewe.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Manganje
Huyu Jamaa anachekesha sana 😂😂😂😂 shida watu wanao comments wapo serious sana
Kwa ambao hamumjui huyu ni mchekeshaji jaman sasa naona watu wako serious kumjibu 😂😂😂😂😂
😂😂😂 yani wanakaza fuvu balaa aiaee
Hyu anawatania tu ila n m2 mwenye masihala sana ila Yuko vzur Zaid kimaixha!!
Na enjoy sana najiona nipo mswahili kabisa
Huwajengei watoto, wakati huo unakaa nyumba nyumba iliyojengwa na baba yako.
Weee mtangazaji unazingua
Mtangazaji 🤔🤔🤔
Dada unanikumbusha mbali 😝😝😝mambo ya ulaya😝😝😝
Eti hapo kwenye miaka ckumbuki maana nikikumbuka naona kama ntakufa haraka😂😂😂😂wazaramu nyie mtihani
Huu jamaa sio serious
Umegoma kutaja miaka yako lkn ukasems 86 ndo ulianza darasa la kwanza tayal waelewa washaajua miaka yako
mkongwe kujua ngumu huko nyuma shule miaka kumi darasa la Kwanza kawaida
Mimi Kama mzaramo umetutia aibu babu weyeeee, we don’t claim you 😂
Hahahaaa 😂😂😂😂😂
Si Tabia zenu lkukaa kwenu mpaka mnajukuu
Namkubali mjomba uyo
Daaah 😂😂
Yaap
Eti anamiaka 35 😂😂
Akili huna, unasemaje huwezi kuwajengea watoto wakati wewe unaishi nyumba aliyojenga wazazi wako? Mpuuzi
Kwani wenyewe hawawezi kuishi hapo? Mbona wahindi wanaweza
Hapo pa kutoa meno imebidi niachea kazi za watu ni comment 😂😂😂
😅😅😅😅😅I have nothing to say
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂daah
😂😂😂😂😂😂😂daaaaaaa
kwani hiyo nyumba unayokaa kajenga nani? mjinga wewe
Dada una muiga sarama jbir
Aiseeh !!! Kweli bhana...
Kumbe na ww umegundua nilidhani ni mie tu ndo nimegundua.
Nafikir Salama Jabir, ndo Roll model wake
😂😂😂😂 dah
😅😅😅😅
Haaaaaaa
Huyu ni mfala! Mwanaume kama hajajenga kwake ni mavi. Na ni vile hako na sura mbaya. 🤢🤮
kwani ni ndugu yako
@@Mpakauseme Hapana! Ni babu wako! 😛😝
Unamukosoa Mwenyezi Mungu😳😳😳