Anaitwa #Yobati msanii wa nyimbo za #asili asili Leo Tumekusogezea Album mpya ya inaitwa Shokaga Kaya.... kijana anaomba saport yenu mashabiki Ili nae afike Enjoy #makulastudios #mkemia
Nakubali sana yobati nashija kadoke mm nawakubali ana wote wasanii wa kanda ya ziwa nikiwa dar nawafatulia sana. Saruti sana mtaufikisha mziki wetu wa asili mabli naitwa Paul Charles njashi kijana wakanda yaziwa kome kisiwani
Ndugu yangu naitwa nyanda memory msanii wa morogoro naomba uisambaze nyimbo inaitwa nyanda memory inaga na madebe video HD ingia TH-cam kaka tufanye biashara
Duh!! Kila nikiliona jina la yobat huwa. inanikumbusha mbali sana 2016_2017 wimbo wa moyo,,kuna banda la Video ilikuwa nawahi kuingia ilitu niusikie huu wimbo yaani sikutegemea kabisa kama hatofika mbali na pale nilivyotarajia😢😢😢😢😢😢😢😢 pambana kijana shàbik YAKO No1 Niko hapa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
huyu jamaaa wamuangalie sana anakitu ndaniyake
Daaah hii ya 🔥🔥🔥sana.
P1 kaka
Hongera kaka yobati😅😅😅 goma iko vizuri sana
Jamaa anajua kupagilia merody
Hongera yobat nakufatiliaga sana
Kazi nzuri kaka ❤
Wimbo mzuri sana, hongeleni sana, begup
love song❤ hatariii San dada Good job
Nakubali sana yobati nashija kadoke mm nawakubali ana wote wasanii wa kanda ya ziwa nikiwa dar nawafatulia sana. Saruti sana mtaufikisha mziki wetu wa asili mabli naitwa Paul Charles njashi kijana wakanda yaziwa kome kisiwani
Saf Sana hongera ndugu
Yobati hongera sana upo vizur
Yobat. Umepgaje hpo. Eheeee. Kume wka huku. Uwiiiiii🎧🎤💪🙏🍷
Weka like yako kama unamkubali yobat
Ndugu yangu naitwa nyanda memory msanii wa morogoro naomba uisambaze nyimbo inaitwa nyanda memory inaga na madebe video HD ingia TH-cam kaka tufanye biashara
Nimeerewa sauti bola aidia zakazi chukua maua yako🎉🎉🎉
water wako vzr
Duh!! Kila nikiliona jina la yobat huwa. inanikumbusha mbali sana 2016_2017 wimbo wa moyo,,kuna banda la Video ilikuwa nawahi kuingia ilitu niusikie huu wimbo yaani sikutegemea kabisa kama hatofika mbali na pale nilivyotarajia😢😢😢😢😢😢😢😢 pambana kijana shàbik YAKO No1 Niko hapa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sanaa roget ndugu yangu pamoja nashabiki zangu wote
Hahahaha mzigo ume chota na Magele Tz 😂😂😂😂