Viongozi wa ODM waunga mkono kauli ya Raila ya kuwataka wakenya kukumbatia mazungumzo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ส.ค. 2024
  • Baadhi ya viongozi wa chama cha ODM kutoka Nyanza wameunga mkono kauli ya kinara wa Azimio Raila Odinga kuwataka wananchi wakumbatie mazungumzo ya kitaifa yanayolenga kushirikisha watu 150 kutoka sekta mbalimbali wakiwemo vijana. viongozi hao wanasema kuw amasuala ambayo vijana wanapigania yatatuliwe ni yale yale ambayo viongozi wa kisiasa na hasa wa upinzani wamekuwa wakiyapigania.

ความคิดเห็น • 46

  • @Toni-gh5dx
    @Toni-gh5dx 24 วันที่ผ่านมา +5

    Raila is looking after himself with his dialogues...

  • @mrpain158
    @mrpain158 24 วันที่ผ่านมา +2

    Raila is there for his personal interest apewe zake aende si tumbaki tukiumia but hii ni ile Kenya ukiongea unanyamazishwa....

  • @keboikipchumba
    @keboikipchumba 17 วันที่ผ่านมา

    Power of the prayers God to glorified every time. God will not allow the devil to play with his children in Kenya. God never leaves is children. God love is unmeasurable. God never listens to those want bad things to happen to our country but listen those are praying for the good of country.

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 24 วันที่ผ่านมา +2

    ❤🇰🇪❤ Gen Z...🎉🤜👍

  • @Canduts2020
    @Canduts2020 23 วันที่ผ่านมา +1

    All this political class have been in power for over 30 years and things have gotten worse! We need fresh-faced leaders maybe they will change this country for the better

  • @Toni-gh5dx
    @Toni-gh5dx 24 วันที่ผ่านมา +3

    Raila's dialogues ndio zimetueka kwa hii shimo. Akae kando

    • @hezronkwaso1927
      @hezronkwaso1927 24 วันที่ผ่านมา +1

      Yeye ndio aloweka ruto kua president 😂😂 ni sisi wenyewe na kazi Iko kwetu

  • @jesloi.a8391
    @jesloi.a8391 24 วันที่ผ่านมา +1

    1:59 There is always a time to hand over the mantle; let Raila do the right thing, handover to his mantee if he us any. We need justice, unity and love in this country not ODM blind support to what their leader wants ...who benefits out of all his dialogues, his immediate family members and close allies😊

  • @jabezjedidiah1429
    @jabezjedidiah1429 24 วันที่ผ่านมา +1

    We the youths, majority in population we Reject Dialogues. We stand firm for Justice and Accountability and Services Delivery. You will not silence us through fake dialogues . Its new dawn for Kenya.

  • @josephmugo9112
    @josephmugo9112 24 วันที่ผ่านมา

    Have done one step , waiting more and truth within given time ,kiunjuri mp laikipia finish your promise we lv you

  • @isaacogutu7837
    @isaacogutu7837 24 วันที่ผ่านมา +2

    Ushenzi sana.

  • @thomasEdward-uy8jk
    @thomasEdward-uy8jk 14 วันที่ผ่านมา

    BUT NOT JOINING UDA. AND KK

  • @khammadjeffa515
    @khammadjeffa515 24 วันที่ผ่านมา +2

    Orengo unaota mtu wangu.

  • @Antoterror001
    @Antoterror001 24 วันที่ผ่านมา +2

    Pia hawa ni wezi.

  • @user-jj4lb1zi9x
    @user-jj4lb1zi9x 17 วันที่ผ่านมา

    Raila is a patriot and democrat....a believer in the rule of law and freedom fighter

  • @alekieKevinKevinalekie
    @alekieKevinKevinalekie 24 วันที่ผ่านมา +1

    toka ndani

  • @254wakilongo
    @254wakilongo 24 วันที่ผ่านมา +1

    Ruto sai Ni amekuwa dem atakatiwa

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 24 วันที่ผ่านมา +3

    watashtuka 2027 Kalonzo atengezee chama yake Na Riggy G they talk more sense

    • @khammadjeffa515
      @khammadjeffa515 24 วันที่ผ่านมา

      Sense gani kwa water 🍉

    • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
      @ViceAdmiralVasilyArkhipov 24 วันที่ผ่านมา +1

      @@khammadjeffa515 gen Z just want Ruto gone they don't want dialogue that is what Kalonzo said

    • @khammadjeffa515
      @khammadjeffa515 24 วันที่ผ่านมา +1

      @@ViceAdmiralVasilyArkhipov RUTO hakuna mahali anaenda before 2027, ambia water 🍉ache kujipea headache

  • @nicholuskituku2903
    @nicholuskituku2903 15 วันที่ผ่านมา

    What are we dialoguing about?
    Position's?
    You watu from Kisumu you mean Raila' is ever right? Continue serving your Master!!!!!
    We are not boarding 😭

  • @254wakilongo
    @254wakilongo 24 วันที่ผ่านมา +1

    ODM taking advantage ya gen z

  • @rafaking2087
    @rafaking2087 16 วันที่ผ่านมา

    Hii ujinga mumeanza tunawangalia sana dialogue when we have lost lives in the hundreds

  • @davidmuiga4248
    @davidmuiga4248 24 วันที่ผ่านมา

    Cs have been fired without Raila efforts or dialogue wasitupange sisi ndio tunapanga

  • @duhhuskie2698
    @duhhuskie2698 24 วันที่ผ่านมา +1

    Talk to who??

  • @SwalehSaleh
    @SwalehSaleh 24 วันที่ผ่านมา

    Nusu mkatee hahahha,ni mazungumzo

  • @edu-pw7hu
    @edu-pw7hu 24 วันที่ผ่านมา

    This fools are representing who....
    This all must be voted out... and recalled urgently including the once wise Jimmy orengo

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 23 วันที่ผ่านมา +1

    Raila ndiye huwa anazuia changes sasa muachieni kizazi kipya kileta mfumo mpya wa uongozi nyinyi odm mnataka kuturudisha kwa game yenyu ya kuinjoy wafrika

    • @kevinlukunga8029
      @kevinlukunga8029 17 วันที่ผ่านมา

      Kizazi kipya kinaharibu zaidi

  • @Elibuk
    @Elibuk 24 วันที่ผ่านมา

    Dialogues deaths corruption and looting needs to end time for action is now

  • @DaulaRooney
    @DaulaRooney 24 วันที่ผ่านมา

    Hao upinzani ndo conmen number one. Those governors who have talked what av they done to their counties Ruto don't be lied to finish corruption and our country will be great.

  • @Mombasa-gz7rd
    @Mombasa-gz7rd 22 วันที่ผ่านมา

    Hatutaki dialogue

  • @abassabass529
    @abassabass529 15 วันที่ผ่านมา

    nyinyi wenye mnaongea negative apa coment section ndio goons mnataka country ikue mbaya ,,,tupatane street

  • @kaytwok2345
    @kaytwok2345 24 วันที่ผ่านมา

    Kumbe hawa awana habari kwa hata raila atumtambua sasa

  • @MakenaOdongo
    @MakenaOdongo 24 วันที่ผ่านมา +2

    Baas sahi wako wawili .. they can now talk to each other

  • @damaricekimonge7303
    @damaricekimonge7303 17 วันที่ผ่านมา

    God is not in this

  • @boazogima
    @boazogima 24 วันที่ผ่านมา +1

    He is trying to know the leader of gen z among the 150people he invited, zakayo know you,wajinga waliisha

  • @badarahmed1861
    @badarahmed1861 15 วันที่ผ่านมา

    Raila is a traitor

  • @CliffOgada
    @CliffOgada 24 วันที่ผ่านมา +1

    Ndio mpewe nusu mkate..

  • @mohammedali1645
    @mohammedali1645 24 วันที่ผ่านมา +1

    Rubbish

  • @FauziaJoseph
    @FauziaJoseph 14 วันที่ผ่านมา

    Raila anataka mukate nuzu, amerundisha watu wa nyanza nyuma ,siku ile RAILA atakufa Kenya itakuwa vizuri yeye ndio kiini cha shida kila wakati akishidwa.

  • @oncharieric9437
    @oncharieric9437 24 วันที่ผ่านมา

    You talk alot here because you don't understand the genesis of Genz,it was formed by opposition.

  • @Susanne-njoroge
    @Susanne-njoroge 24 วันที่ผ่านมา +1

    Yes Dialog is the best 🙏
    Vinjana wapate kazi 🙏
    Waache kuhangaika 🙏
    Na raisi wetu Williams Samui Ruto a heshimiwe 🙏✋✌️👏