Hakika naomba ibi bifahaa tubilete na sisi kwenye timu yetu kubwaa hakika kazi nzuri kwa viongozi wetu muna ona mbali kbs naimani kuko siku tuta kuja kula matunda ya awaa vijana wetu ilove you yanga Africans ❤inshallah 🙏 naiona mabali kesho yetu
Tanzania Kuna timu Moja tu inayoendana na zama za soka la kisasa zingine zipo ktk kipindi Cha zama za mawe za kale.Hongera Timu yangu ya Young African sports
Watu wanaingia academies za mipira kuazia miaka minne bro! Wenzetu waache! Wanasaini mikataba kuchezea timu zao miaka kumi,akisha saini( wazazi) ,haendi kwingine!
Wao ndio wanatakiwa waone aibu Kwa Nini hawajui kiswahili wakati wapo Tanzania acha utumwa huo ndugu yangu kingereza ni lugha tu hata wao wanapaswa kuona haya kushndwa kuongea kiswahili
@@kurumwagodfrey7052 km ulimsikia wakati anamkabidihi kumuhoji, hapo nitechnical questions tu..... kifupi ni summary ya kazi kwa siku ya leo na forecast ya project !
Mtu yupo nchi kwako, inatakiwa aishii chini ya misingi ya nchii yako, wachina saivii kiswahilii wakija kibiashara wanajua vizur tuu na wanafosii ili wapate soko,..mbona hawakomai na kichina chaoo,!? Funguka akili wewe ..utakua mtumwa mpaka vitukuu vyako ,..huyu mzungu kaja kibiashara au unafikili kaja kupiga umbea,ilitakiwa atumie lugha yetu ,tunamlipa pesa!!
Mwenyezi mungu awabariki kwahichi mlichokifanya
Kazi njema kwa viongozi🎉
Shehan Rashid ni winger poa Sana.safi Sana ,watoto wa jangwani
Hakika naomba ibi bifahaa tubilete na sisi kwenye timu yetu kubwaa hakika kazi nzuri kwa viongozi wetu muna ona mbali kbs naimani kuko siku tuta kuja kula matunda ya awaa vijana wetu ilove you yanga Africans ❤inshallah 🙏 naiona mabali kesho yetu
Wakwanza jmn
Moscow putin
Moscow kolo
Nani kama yanga na viongozi wake?!;;; 😄😃😆🏃⛹️❤❤❤
Yanga inamalengo makubwa na mipango mikubwa hii imeenda kama kunamtu anaumia kwa michakato hii basi makolo wanaumia sana
Tanzania Kuna timu Moja tu inayoendana na zama za soka la kisasa zingine zipo ktk kipindi Cha zama za mawe za kale.Hongera Timu yangu ya Young African sports
Zingine zinaandaa timu zao kuifunga yanga tu hazina mwendelezo wa kisoka
Zama za uwimbombo😂😂😂😂😂
Eng Hersi hongera sana kwa mwenendo wako wa uongozi i hope yanga itakuja kuwa team tishio ktk hili bara la Afrika big up my brother
Naiona timu yetu YANGA mbali saaana kisoka
Big up my team ,i want to advise Young Africa is international now everyone talk about Young Africa, the must have English too
Oh start with your own English command first if that's the way forward
@@clementiddi5708dah haya bana!
Go to school first! Ur English is poor! Then come back here!
Daima mbele nyuma mwiko 💛💛💚💚💪
Ukiwa Mwanayanga Fulu Raha Klab ya Wasomi
Hawa jamaa wameenda mbali sana mpaka wa miaka 6 day care wanao ndio maana ulaya wenzetu wako mbalisana kisoka
Watu wanaingia academies za mipira kuazia miaka minne bro! Wenzetu waache! Wanasaini mikataba kuchezea timu zao miaka kumi,akisha saini( wazazi) ,haendi kwingine!
Raha tupu
Mwanachi popote ulipo lazma ujivunie watu kama hawa huwez kuwapata kama tm yako mbovu
Wkt PUTIN yupo Vietnam,Maafisa wa Kabumbu wapo TZ.Hadi Rahaaaaaaa
Moscow putin
Moscow putin
Jamaa wa Yanga kweli ni mtaalam basing on kind of questions he asked
Mungu ubariki yanga Mungu wabariki viongozi
Kakzhilai how are you
Pakkaa Goodbye
😂😂
Naiona Yanga ya kimataifa inafika mbali kwa mipango yake
Yanga bingwa😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
💚💚💚💛💛💛
Great 🎉
Good job
Ni aibu priva kushindwa kuhoji kwa kiingeraza, kipindi hiki cha mapimziko rudi darasani na ukiweza jifunze na kifaransa
Nendaa wewe, maana unajiona umekamilika kila kitu na level zote kidunia,!!
Wao ndio wanatakiwa waone aibu Kwa Nini hawajui kiswahili wakati wapo Tanzania acha utumwa huo ndugu yangu kingereza ni lugha tu hata wao wanapaswa kuona haya kushndwa kuongea kiswahili
@@kurumwagodfrey7052 km ulimsikia wakati anamkabidihi kumuhoji, hapo nitechnical questions tu..... kifupi ni summary ya kazi kwa siku ya leo na forecast ya project !
Mtu yupo nchi kwako, inatakiwa aishii chini ya misingi ya nchii yako, wachina saivii kiswahilii wakija kibiashara wanajua vizur tuu na wanafosii ili wapate soko,..mbona hawakomai na kichina chaoo,!? Funguka akili wewe ..utakua mtumwa mpaka vitukuu vyako ,..huyu mzungu kaja kibiashara au unafikili kaja kupiga umbea,ilitakiwa atumie lugha yetu ,tunamlipa pesa!!
Hapana mie nlichomwelewa Priva ni kwamba kuna maswali technical ambayo yawezekana asiwe na ujuzi wa kuuliza ndio maana akamwachia football analyst