dah hii ninecheka sana wallah joti noma sana,hasa pale baada ya kujua body ni mtt wa bimkubwa sasa kubadilisha maelezo ya matusi kuwa kama ni ya kistara yaan kupoza ukali wa maneno ili apate msamaha
Joti kazi nzuri, mama na abiria ...wamevaa husika ila mama kwa sababu wengi hatujamzoea kacheza vizuri sana .....haya ndio maisha yaliyopo kuna watu wanategemea polisi kusumbua wengine..... Hongera sana kaka nakumbuka tulikuwa wote makongo juu kwenye msiba wa masogange mpka msibani watu walikuwa wanakufurahia Mungu akupe maisha marefu......!!! @ mzee majuto alisema wewe ndio anayekukubali endeleza kijiti kaka .....kazi nzuri na hongera kwa kuinua wengine....
Mmetisha!
Mama kavaa uhusika vizuri sana
Jamani hata kama una bondia nyuma yako ndo uwakosee wengine adabu,,, joti amegusa uhalisia wa maisha yetu
Kabisaaaa😂😂😂😂
This is one the best comed clip uliyowahi kuzifanya mzee JoTi 😄😄😄
Nakubali
For sure ..ni among the best
@@AziziMsuya Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
Unaijua Pedi cure?
Huyu Mama naye anajua sana, anachekesha sana 😂, kapatia sana vurugu za kwenye madala dala 😂.
Sana
Miwan kama 🐢
🤣🤣🤣
Mpo
Uuu i i i uj. m m m m m m m m
.
. .
. m . m m
❤️❤️❤️ Tanzania tunaweza Sanaa tn saaana 🤓🤓🤓
dah hii ninecheka sana wallah joti noma sana,hasa pale baada ya kujua body ni mtt wa bimkubwa sasa kubadilisha maelezo ya matusi kuwa kama ni ya kistara yaan kupoza ukali wa maneno ili apate msamaha
Daaaaah JOTI 🔥 nakukbaliii sanaaaaaaaa tenaaa sanaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 et kumb broza upo naee
Matembele kabisa dah...! noma sana
"Mama, mimi sio tu MCHICHA MWIBA. Ni matembele kabisa."
We msenge tutauana kwa kucheka!
Sema maza nae kazingua mdomo sana
Sema huyu Maza anajua Sana😄😄🔥
Sema kimeumana😅😅😅sema huyu mama ndo mkorofi🤣
Huyu mama ni mimi kabisa kwenye vituo kusubiria abiria 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahaha kuropokwaropokwa kuropokea watu wazima noma hHH
Joti noma, the more I watch these shows the more am enjoying and getting addicted 🤣🤣🤣
We mama watafuta bwana nn 😂😂😂😂😂joti love 💘
Dah mmetisha sana joti. Mko vizuri sana. Hahaha mwisho huku nimecheka sana.
Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
et me nakuwekaaa nakuwekaaaaa hahahahaha joti unajua sana
Daah mam anamalaniiii hatariii
Nitakuweka, Ntakuweka Oohoooo....!! 😂😂😂
We mama nitakueka ohoooh
Hahahahhaha hahahaha hahahah kuna wamama wepimda et mwanae kaopoa
Hata Kama joti kajibu utumbo lakin mama nae mkorofi
😂😂😂😂😂😂 joti unajua kaka so mchicha mwiba ni matembere kabisa😂
Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
Kipindi unasubiri huruma ya Mama mama mwenyew sasa "heheeee mwana kukitafuta mwana kulipata Utajua hujui Mwanangu haopoa🙆♂️😂😂😂😂😂"
Ila huyu mama ni mkorofi khaaa🤣🤣🤣🤣🤣anatukana watu makusudi anajua kuna mtoto🤣
Joti kazi nzuri, mama na abiria ...wamevaa husika ila mama kwa sababu wengi hatujamzoea kacheza vizuri sana .....haya ndio maisha yaliyopo kuna watu wanategemea polisi kusumbua wengine..... Hongera sana kaka nakumbuka tulikuwa wote makongo juu kwenye msiba wa masogange mpka msibani watu walikuwa wanakufurahia Mungu akupe maisha marefu......!!! @ mzee majuto alisema wewe ndio anayekukubali endeleza kijiti kaka .....kazi nzuri na hongera kwa kuinua wengine....
Mama mm sio mchicha mwiba ni matembele kabisa😃😃
Hahahaaa et mwanang kaopoaaaaa
Daaah funzo kubwa sana "mdomo umeponza kichwa"
Hii inatufudisha kunyamaza kunavyokuepusha na shari za walimwengu... Ila mama nae kwa gubu hodari 🤣🤣🤣
Big up my bro!! Uki translate itakusaidia kung'ala zaidi,love from 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Aratwika sanaaaa msaza
Brother Joti , Kazi zako nazikubali toka long
Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
😂😂😂😂mama ako mstaarabu sana alafu mama ni Mungu wapili🤣🤣 kazi nzuri joti
Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
Ila leo joti kaonewa uyo mama sio mstarabu...lakin all in all Kaz nzur
Ya kabla ya kumsifia Joti,naomba nimpe pongezi sana huyu mama anajua sana kiukweli ,yaani Joti kapata partnership sana kwenye kazi yake
My all time comedian😂😂😂watching from kenya💝✊
Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
Ila leo NISHAI Leo umeonewa..mama alilianzisha mda tuu sema hakumpata mkunaji😂😂😂😂
Yule jamaa wa nyuma kanichekesha 😂😂😂😂KIMEUMANA
It's chris from USA 🇺🇸 we love you so much here, keep it up brother.
Hhhhhhhhhhhhhh haki ya mungu ww joti ujengewe tu mnaraa.nimeipenda hii kali sn
Haha 😂😅 mchicha mwiba..
Daah nice. 😢
Hahaaaa eti Mama Mstaaabuuu...eti mm matembele kabisa😄😄😄😄
Kofia kama kizoleo cha taka😆😆😆😆😆😆
Eti mwanangu kaopoa,😃😃
Mama huyo nilishai alimpatiaga sana
Hii video naipenda sana hahahaha
ila hapo mwisho mmeharibu... Mwamba kaopoa kivipi Yaani sio poa
Asante dada yangu mama kibibi unayaweza
Mama umecheza vzr sana
Heee jot huwa unanipa amani sana
Nalipia watu watatu tunashuka sehemu moja
Hii ni moja wapo ya miongoni mwa video comedy Bora ulizowahi kufanya aiseh hii ni kiboko. Ila umeonewa tu Huyu bimkubwa mnoko sana 😂😂😂
Leo jot leo jot kimeumana jina la mchicha mwiba ulilikata sasa umelikubali mpaka unajita matembele hhhhhhhh
Ngwi ngwi ngwiiiiii😝
Hahahaaaaah!!!! "Mwanangu kaopoa " hatari Sana hiyo
Mama anaongea tangu mwanzo wa safari mpaka .wisho , non stop
Hiki nacho ni kipaji kwakweli .
🤣🤣🤣
This is your best comedy in my playlist ever ❤️
I laughed my freaking @ss off like crazy 🤣🤣🤣
Have you watched pedicure?
@@lwimikomwambene not yet
Daah nmecheka kama boya ani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣😂😂😂😂🤣🤣😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣 sema kimeumana bana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo nimewahi jamani plz like za jot😂😂
😉🤣😁😁kiumemanaa
Huyo mama katisha sana😂😂
Eti mwanang kaopoa 😀😀
Afu huyu nampenda saaana kutoka comoros
Comoros sehemu gani
😂😂😂😂🤣dah et mwanangu kaopoa
Huyo mama anajua hatari mpaka basi
Joti always never disapoiting😁.keep going dude.from 🇰🇪
Bonyeza utizame hii 👇...
th-cam.com/video/_Hh_-rtaF64/w-d-xo.html
Kanyinyi mnafiki 🤣🤣🤣😂😂🤣 KIMEUMANAAA
Frm urus am waching
Mama mkorof mwenyew kisa mwanae bondia
hahahah ,ila hapa nishai wamemuonea , huyu mama ndo mkrofi dahhh
the other guy. Eti kimeumanaaaa hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 this is funny af
Eti mwanangu kaopoa😂😅😅😅
Crazy stuff , love your skits Bwana Nishai 🤣🤣🤣🤣.
Mad Love from 254 🇰🇪🇰🇪
Mwanangu kaopoa
🤣🤣🤣🤣🤣 da umetisha kamanda kitombagile kitwango🤣🤣🤣
Mwana kuliget
Hatar good work
Jot uyo mama kwenye Costa anajua sanaaa
ni kweli wanawake wanaofuga makucha wananuka..
Ndo Maana Mama Alikuwa Anavimba Sana Kumbe Kuna Bodgad
Iko vizuri
Mama nawe kajaliwa Na mdomo kweli
Dah ina furahisha sana
Mama kumbe uko na Mwamba ndo maana 🤣🤣🤣🤣
Kama na wew unampend joti like hapa
Joti mungu akupe maisha malefi unatuchekesha sana
Mama wa kiswahili , eti 'mwanao kaopoa'
From Donesk Ukraine 🇺🇦 , watching your comedy even if we are fighting, salute!
🤣🤣🤣🤣
😂😂😁putin anasemaj uko
Broh hapo rwanda ndio pamekua ukrein
Kuna mtu yuko nyuma kanichekesha eti kimeumana
Ah huyu maza anaongea ... hahahahaha daaaah
He didn't see it coming 😂😂😂
Hongera kaka hauchoshi kwa vimbwanga
Mweee!! Mwanangu kaopoaaaa kha!!
Love from rwanda
Ndo Mana mama alkua anajiamin😆😆😆😆😆
😊 mooooo oke
Jot ujue akili huna... dah umejua kunipa raha
Siyo tu kutuchekesha ila umetufunza jambo sometimes unaweza kuwa upo unabishana hata na mwanajeshi pasipo kujua
Nimeangalia tena baada ya kufariki huyu bi mkubwa... Apumzike kwa amani
Imenibid nrudie kuangalia 😂😂😂