Hekaheka ya mwanamke aliyeuawa kinyama usiku, alitoka na mtu wanayeitana wifi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 53

  • @sallykanze
    @sallykanze 8 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana baba,yaonekana Huyo mama alilewa sana na akafanyiwa unyama Kama huo,Huyo shogaake(wifi) sio mtu mzuri ,tupate funzo jamani wanawake kunywa pombe kuacha mumeo nyumbani hii si kitu kizuri,Yani mwanamke umeolewa na unatoka kwenda kulewa.jamani mama awe pole amekufa kifo cha aibu .

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 6 ปีที่แล้ว

    Sbhana llah Inna llah wanna illah rajiun polen sana

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว

    Subhannallah, mtihani

  • @judydebawsepaul905
    @judydebawsepaul905 8 ปีที่แล้ว +1

    inatia huruma jmn kwnn watu wanyam hv..... mwnyez Mungu turehemu

  • @briggsanji9176
    @briggsanji9176 8 ปีที่แล้ว +2

    Dunia ya leo siyo yakumwamini mtu

  • @ريهامالسريري-ل1ص
    @ريهامالسريري-ل1ص 8 ปีที่แล้ว

    polen wanafamilia kwa msiba uliowakuta dah!! aiseee inackitisha sana hay mipango ya mung haina makosa

  • @husseinswahili7382
    @husseinswahili7382 8 ปีที่แล้ว +11

    jamani wanaume tujifunze kuwa na vivu kwa wake zetu hili ni tatizo la kukosa ulinzi kwa wake zetu.

  • @roseshoo4964
    @roseshoo4964 8 ปีที่แล้ว

    Mmmmmmh kweli siamin km mume anaweza mruhusu mkewe kubak bar na marafki usiku na usifatilie kalala WAP na kwann asirud nae nyumbani, Jamn kuwen na upendo wa wivu kwa wenza wenu

  • @queenramadhan2293
    @queenramadhan2293 8 ปีที่แล้ว +2

    msimlaumu mume wanawake siku izi wameota mapembe ukute huyo mume ndani alikua hana sauti ndio tatizo unaishi namtu unamuogopa baada akuogope

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 8 ปีที่แล้ว

    Siku ya wapumbavu kupindukia! Umpendaye huthubutu kumuwekea siku maalum. Tena rangi nyekundu haija wahi kuwa rangi ya upendo bali ni shari! Badilikeni, msibururwe na "wamagharibi mkasahau dini zenu!"

  • @farajamsigwa657
    @farajamsigwa657 8 ปีที่แล้ว

    noma sana

  • @babyfaa7677
    @babyfaa7677 8 ปีที่แล้ว +1

    dunia haija haribika bali watu ndo wame haribika na. hsa bongo wameziidiiii mbna Zanzibar huckii kesikesi za kijinga. mwenyezi mungu atamrehemu amfnyie wepesi ndani ya nyumba yke mpya😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @fatumaomari8115
      @fatumaomari8115 6 ปีที่แล้ว

      Asaivii ni dunia mzimaa watu wa ivyo wapo

  • @dennisbenezeth3885
    @dennisbenezeth3885 8 ปีที่แล้ว

    mungu amlaze mahali pema

  • @rasbwayu1801
    @rasbwayu1801 8 ปีที่แล้ว +3

    Hajitambui huyo mzee, na hilo linatokana na wanawake wanaotaka kuwa tawala waume zao

  • @tatu1530
    @tatu1530 8 ปีที่แล้ว +1

    hatari sana t

  • @monicajohn1553
    @monicajohn1553 8 ปีที่แล้ว

    mungu amuweke mahali pema peponi

    • @rosemunuo6836
      @rosemunuo6836 8 ปีที่แล้ว

      Monica John15 mwanaume bwege huyoo

  • @alsalhmohdsuleiman2851
    @alsalhmohdsuleiman2851 8 ปีที่แล้ว

    duu.noma san

  • @aminayasin2906
    @aminayasin2906 8 ปีที่แล้ว

    sio tatizo lake jaman msimlaumu ujue km huna hofu na mwenza wako unaweza ukasema kua labda yupo sehem nzur na mbaya zaid huyu mwanaume anasema kua huyo wifi ni alimuamin ndo mana yake

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822
    @mamatuishi-mamatuondoke8822 8 ปีที่แล้ว +1

    Mwanaume mwenye msimamo hawezi lala Bila kujua mkewe yuko wap"Au ulipewaga libwana asikufatilie? Si bure

  • @msaniimpyaBMW
    @msaniimpyaBMW 8 ปีที่แล้ว

    acha tu!

    • @ibrahimjeremia5945
      @ibrahimjeremia5945 8 ปีที่แล้ว

      mwanaume careless kwa mkewe huyo ,,hiyo tatizo kasababisha yeye

  • @faysalmahmuddidar7135
    @faysalmahmuddidar7135 8 ปีที่แล้ว +1

    kwanzainakuaje-mkeo-akae-na-mtu-bar-wewe-mume-upo-una-wivu-wanaume-mbadilike-jaman-mjifunze-kwa-wenzenu-

  • @tamtam2589
    @tamtam2589 8 ปีที่แล้ว

    mmhh mambo yakwenda bar hayo

  • @luciusmulokozi3149
    @luciusmulokozi3149 8 ปีที่แล้ว

    wote ni walevi utaachaje mkeo alale usikokujua na wewe uko hapo hapo.tena jirani.

  • @salmamasoud6055
    @salmamasoud6055 8 ปีที่แล้ว

    uzalilishajii huo wa kijinsia

  • @ramlak_dramafans8807
    @ramlak_dramafans8807 8 ปีที่แล้ว

    mmmmmmmmhhhhhhh😯😯😯😦😦😦😦 Nina wasiwasi nahuyo baba mkeoo kweli mkeo!!!!!!!! Tenaunasema uliliaa kidogooo kweli ulikua una penda mkeo????? kweli ww na una Lalaa nausingizi unapata!!!!!!! sibure umehusika kwa nanna moja au nyingene

    • @halimambwego8287
      @halimambwego8287 8 ปีที่แล้ว +1

      Inaelekea hayo ndiyo maisha yao yakutokufuatiliana

    • @happytimes9896
      @happytimes9896 8 ปีที่แล้ว

      Ramla K _drama fans absolute.....
      yaani mkeo ameenda kunywa pombe wewe pia waenda kunywa pombe mbona ulipokua ukienda nyumbani hukumsaka mkarudi nyote na ulikua na fahamu zako waenda andaa chakula uoge ulale mkeo kilabuni mmmmmmmh sibure Luna kitu iliendelea hapo

    • @halimambwego8287
      @halimambwego8287 8 ปีที่แล้ว

      Ni sheeedah haya mambo ya wifi wa ukabila huu mara nyumba ndogo ya mumeo ww tena wifi wifi na kuhisi kubaya ila yote kwa yote mungu ndiye muweza wa kila jambo

  • @minahzubery4376
    @minahzubery4376 7 ปีที่แล้ว

    sasa wanaishije hao jaman

  • @tumainithonya2393
    @tumainithonya2393 8 ปีที่แล้ว +3

    Duh,yani wamuacha mkeo walala hata hutafuti kwenye simu kujua amelala wapi?

  • @sarafina6656
    @sarafina6656 8 ปีที่แล้ว

    mmh

  • @mariamkombo5325
    @mariamkombo5325 8 ปีที่แล้ว

    u binadam kazi huyo dada afungwe

  • @man4mjuni999
    @man4mjuni999 8 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa ni fala kweli na hayo ndo madhara ya kuoana wote walevi wewe usingizi unashukaje mke hayupo Stupid Dady

  • @salmamasoud6055
    @salmamasoud6055 8 ปีที่แล้ว

    mh usambaaa kwani hamjaona kabila jenginee kutolea mfano

  • @engomaryshibe8445
    @engomaryshibe8445 8 ปีที่แล้ว

    mume bwege huyo

  • @khadigaomri8747
    @khadigaomri8747 8 ปีที่แล้ว

    lakini inasikitisha jamani

  • @shuwehaomar6658
    @shuwehaomar6658 8 ปีที่แล้ว

    muuu unamuua binadamu mwenzio unapata faida gani jua yeyekatangulia na wewe utafatia

  • @fredyabely7229
    @fredyabely7229 8 ปีที่แล้ว

    salma na ww msambaa nn mbona mapov yanakutokaaa