ORODHA YA WACHEZAJI 10 WALIOTEMWA SIMBA SC MO DEWJ AAGIZA WAONDOKE ANATAKA KUJENGA TIMU UPYA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ค. 2024
  • #simbasc #yangaleo #ligikuu #manara #simba #cafcl #usajilimpyayanga #yangatv #yangatv #mayele
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 33

  • @ZuberJaphar
    @ZuberJaphar 14 วันที่ผ่านมา +2

    Wasepe chama ana zalau sana ss ndo simba yy sio simba wasepe 2

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 23 วันที่ผ่านมา +2

    Saido mbona anagoli kuliko kb au mzize, punguzeni rohooo mbaya,saido c hivo,

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y 28 วันที่ผ่านมา +4

    Wachezaji hao 10 watoke na viongozi watoke hao 4 Try again, Mangungu, Iman kajula na Suleman Matola Out out Out Out watoke wametosha kuiba mali ya Simba ada za wanachama na wala siyo wana Simba damdam watokeeeeeee

    • @user-fi6hb3lp5y
      @user-fi6hb3lp5y 28 วันที่ผ่านมา

      Kabisa yaani

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 23 วันที่ผ่านมา

      MO Mangungo Tray again wote wapigaji watatafute timu yao usani huo c anapataga hasara,

  • @deusikanijo
    @deusikanijo 25 วันที่ผ่านมา +1

    Chama anastahili kubaki SSC

  • @AndrewSimon-qc3qv
    @AndrewSimon-qc3qv 20 วันที่ผ่านมา

    Chama na onama wabaki

  • @SamwellowassareLaizar
    @SamwellowassareLaizar 26 วันที่ผ่านมา +1

    We shida yako muongo sana hufai

  • @carlosandrew-qb6wt
    @carlosandrew-qb6wt 22 วันที่ผ่านมา

    Fredy abaki apewa muda zaidi

  • @gladnessmichael9384
    @gladnessmichael9384 19 วันที่ผ่านมา

    Saidoo na Chama ,onana wabaki

  • @ZuberJaphar
    @ZuberJaphar 14 วันที่ผ่านมา

    Kibu mchezaji Sana lakin anajisikia san msim mmoja ana linga hat kagele alikuw hiv sembuse yy ana zidiwa kiwango na Banda leo ana linga simba tumemlea ana leta mashauzi out ten hiy ni simba inapesa lakin wapiga madili wengi hap

  • @ELIUDIMGOLOBA-zi2sw
    @ELIUDIMGOLOBA-zi2sw 18 วันที่ผ่านมา

    yan uongozi ni vailac inatumaliza sisi wanachama

  • @ELIUDIMGOLOBA-zi2sw
    @ELIUDIMGOLOBA-zi2sw 18 วันที่ผ่านมา

    yani viongozi ndo hawafai sio wachezaji maana posho kama haitoshi mchezaji atajitumalini unauza sako unaleta unyago hi mikson niwakuachwa au kuna unafiki ndaniyake tim yetu inawashusha viwango wachezaj

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 11 วันที่ผ่านมา

    Acheni saaaaana Mchezea Simba na kuacha vizree Kapombe ni mzuriraji Uwanjani miaka 2 kwa Nini lakini

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 28 วันที่ผ่านมา

    Eto si aliwaambia hiyo ni cake, na Viongozi sio mwawaonea wachezaji tu,, Kajura, Matola, Try Again, na Mangungu, nanyi mtoke

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 26 วันที่ผ่านมา

    Handy ALY wakati mwingine ni vyema umwachiege Ahmady ALLY mchongo adadavuage!

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 26 วันที่ผ่านมา

    Ahmady ALLY mbwembwe zimezidi! Tunajua kuwa ungekuwa unacheza wewe uwanjani huenda ungetufanikishia pakubwa!Kikulacho kinguoni kwako! Huruma yako kea mdogo wako Kabwe ndo imekupita shida

  • @samsonpopat1474
    @samsonpopat1474 28 วันที่ผ่านมา

    Safisha kikosi chote wabaki wachezaji 6 tu

  • @BarakaSayi
    @BarakaSayi 22 วันที่ผ่านมา

    Kaongo

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 24 วันที่ผ่านมา

    VIONGOZI WA SIMBA NI MABAHILI SANA WAO NI POROJO TUU

  • @ufooshuma2047
    @ufooshuma2047 22 วันที่ผ่านมา

    NA WEWE UNAONGEA MMMNO KAMA ..... PUNGUZA KONGEA NDUGU YANGU. TIMU MBOVU NYAMAZA KWANZA. NA WEWE NI CHANZO CHA TIMU KUSHUKA KIWANGO SHAURI YA KUONGEAONGEA OVYO

  • @drvaxminja2133
    @drvaxminja2133 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hata msimu uliyopita ulisema hivyo. Wewe ndio kirusi kinachaharibu Simba. Unakuwa na propaganda za kijinga za kusifia wachezaji na kuwajaza mashabiki matumaini ya uongo

  • @ZuberJaphar
    @ZuberJaphar 14 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wakina mangungu wanakula pesa 2 hawafai simba hawana uchung ktk kilbun

  • @ZuberJaphar
    @ZuberJaphar 14 วันที่ผ่านมา

    Simba klbu kubwa tz hat balani afirka leo shilikisho kweli jaman jobe ndo mna 2letea no9 kweli simb mna 2zalilisha jaman

  • @JEREMIAHSUPILA
    @JEREMIAHSUPILA 26 วันที่ผ่านมา

    Punguzeni maneno tunataka kazi kuliko mbwembwe

  • @MtakiWanjara
    @MtakiWanjara 26 วันที่ผ่านมา

    Tatizo lako wewe muongo sana kaka

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 25 วันที่ผ่านมา

    Saido ni mchezaji aliyekosa bahati sn Simba ila kwa kweli na kwa kipindi hiki tulichopitia wakati mgumu,alifanya kazi nzr sn.Lkn kwa sbb mda unaongea basi ni vyema akaangalie changamoto nyingine

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 23 วันที่ผ่านมา

      Inonga+manura,hata,chama,wote wapigaji,

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 26 วันที่ผ่านมา

    Mdomo wako kakangu umechangia. Kila kabla ya mechi umekuwa ukisikika, ukisema "tutawafanya vibayaaa!"

    • @hssanrubota3891
      @hssanrubota3891 25 วันที่ผ่านมา

      Waondoke wote tuu tena baado Ngoma na Kanute nao wafagiwe Chama ni mzuri lakini anausumbufu kila dirisha linalofunguliwa ni msaliti nae zama zake zimeisha ndani ya simba hapo kwa kwa wachezaji wa nje wakubaki n Malone ,Ayubu na Kramo tuuuuu waliobaki n mavumba

    • @adamjarufu
      @adamjarufu 8 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa yan fagio lipite xixi xo wakucheza xhirikixho jam

  • @ZuberJaphar
    @ZuberJaphar 14 วันที่ผ่านมา

    Zuber japhar
    @zuber japhar