Baraka Ya Sadaka | The Big Church Service | Pastor Tony Osborn
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- Kuna baraka, likujalo no moyo wa kutoa sadaka. Hii baraka ipo wazi kwa watu wote wanaotambuliwa kuwa wakristo waliookolewa na Yesu. Sikiliza hii neni na wewe upate kujua namna ya kuishi ndani ya hio baraka.
Link to full video:
th-cam.com/users/li...
Connect with Pastor Tony Kapola Ministries:
Facebook:
/ pastortonykapola
Instagram:
/ pastortonyosborn
Contacts (Mawasiliano): +255 713 702 187
Offerings (Sadaka): +255 762 153 539 (ANTHONY KAPOLA)
Hakika unanibariki sana tena unavochanganya luga ndio nahis so powerful.Your a realman of God
Fedha yngu itaongezeka mwezi huu, mwaka huu kwa jina la yesu, Napokea Napokea dhahabu yangu itaongezeka mwaka huu kwa jina la yesu ameeeeeeeennnnnn 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻💯💯💯
Ubalikiwe mtumishi
Thumbs up kwa kaka mwenye husoma Neno. Full of anointing
Leo Bwana sema na mimi leo kupitia mtumishi wako
Amen ❤❤❤❤❤
Pastor ❤❤❤ thnx you
Naweza kuona jinsi ninavyofanikiwa mwaka huu 2024,kwa jina la yesu kristo amen and Amen
Mch punguza sleng kidogo au awepo mtafsili c'z siowote wamesoma
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu pastor TK.... Mungu ni kutowa na kujitowa
Amen ❤❤❤
Amen
Am hereeeeee 🔥🔥🔥MUNGU unikumbuke
fedha yang ikaongezeke kwa Jina la Yesu❤
Amn❤❤
Nimepona hapa kwenye Baba , Mungu anisaidie nimtunze Baba yangu
Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu kaonekane katika maombi yangu Amen 🙏
AMEN niwabadilishie wazazi wangu maisha❤
❤❤❤❤🎉
omba ufanikiwe hapa na ufalme wa mbinguni
Ameeen ubarikiwe mtumishi hakika huu mwaka ninamuona bwana
Naomba mungu kipato changu kiongezeke mwaka Huu🙏🙏🙏
Leo nimewah new package. ......
Holy Spirit of God, Amen 🙏🏼 . Asante sana Pastor Tony na Team nzima. God Bless you, Amen 🙏🏼
Ameeeeeeeennnnnn
Pesa yangu ikaongezeke this year kwa damu ya yesu
Amen
Fedha ikaongezeke mwaka huu Amen 🙏
Barikiwa
I honour my Lord ❤️❤️mpandisha thamani
Mungu atukumbuke
Aminaaa ❤
Wooow thanks so much pastor
Amen 🙏
Ameeen
Huyu jamaa anajua sana
Sio Akina Masanja
Dear stop judging mtumishi yoyote if huamini muache tu ,asije kuwa wa Mungu ukajikuta umejiletea laana kwa kudharau kumbuka Daudi mke wake alivyomdharau coz ya kucheza mbele ya bwana nin kilitokea never talk negative abt mtumishi humuamini achana naye
Barikiwa saaaana baba
❤❤❤
Fedha yangu itaongezeka mpk nafasi is wepo ya kutosha
Daniel ngapi wapendwa
Unaongea kingereza sana ambao hawajasoma hawawez kukuelewa jtahid kuongea lugha yako ww siyo mzungu