Km kweki Benchika ataachana na Simba ,hakuna mwingine wa kulaumiwa isipokuwa uongozi .7ongozi mzigo hauwezi kulea au kupata wachezaji wazuri na hata makocha wazuri,Uongozi wetu ujitathmini mara mia moja jinsi timu yetu inavyokwenda na wao kuwepo tu km maiti
huo ni uswahili.wa watu weusi kosa.liko.kwa uongozi hiyo ni shida na ni kilus simba uongozi shida 😅
Km kweki Benchika ataachana na Simba ,hakuna mwingine wa kulaumiwa isipokuwa uongozi .7ongozi mzigo hauwezi kulea au kupata wachezaji wazuri na hata makocha wazuri,Uongozi wetu ujitathmini mara mia moja jinsi timu yetu inavyokwenda na wao kuwepo tu km maiti
lazima tujifunze kulea viongozi vilus kaka nchi hii sijui.nani katuloga.lazima tutafute ukombozi wa fikla kwa viongozi wa kibablon😂
😂😂