Uhuru,haki na maendeleo ya watu ni point mhimu sana. Haya yote unaweza kuyatafsiri kwa mapana sana kama ukiwa hauna ushabiki wa bendera fuata upepo Yupo very right👏👏
Uhuru upi sasa jamani, tuko social media, asiyesali msikitini au kanisani ni yeye mwenyewe tu. Kukosoa kila mmoja akosoe lakini akumbuke na anaekosolewa ana maoni yake. Kurekebisha mfumo wa Elimu ni zaidi ya miaka 40. Tatizo la Tanzania viongozi wetu hawana "shared vision" hata ndani ya Chama kimoja hii itatuchelewesha sana.
@@hajihassan5433 we shekh kabisa jina lako linasomeka vizuri unauliza Uhuru upi wakati unajua mashekhe wa uamsho wanamiaka Saba mahabusu no kesi embu fungua DW born leo uisikilize hiyo kadhia
@@rajabumuya4680 Duniani kote ukiwa na tuhuma ya baadhi ya makosa kama UHAINI iwe kweli iwe sio kweli utapata tabu sana. Kama Uhuru Mhe. Magufuli ndie amewatowa jela watuhumiwa wengi wa makosa ambayo hayana dhamana kisheria, UAMSHO ni kosa la Wazanzibar wenyewe ndio walioweta huku Tanganyika bila kosa lakini usisahau .Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar alikuwa .Maalim Seif na Waziri wa Katiba na Sheria ambae ana mamlaka ya kuondosha kesi Mahakamani alikuwa Mhe. Abubakar Khamis Bakari kutoka huko huko upinzani. Wapinzani Tanzania wakifanya siasa kama wanavyofanya sasa watachewa sana kuiondoa CCM.
Duuh, this is one of the best interview the ITV had made. Na nadhani ni kutokana na aina ya mtu anayehojiwa kuwa mtu mwenye ufahamu wa kutosha na anayejua kujieleza kwa lugha rahisi yenye kueleweka. Asante sana ITV, asante sana Tundu Lissu. Nakuombea ushinde na uwe Rais wa nchi. You deserve it...!!
Nikwel kaongea point kumbuka mfanya biashara ukimwambia umempauhuru nikwamba hutopata kod yeyote serekalin utawezaje sasa kununua madawa kusomesha kulipa madoctor walim nawengine? sikuzote kuongea nirahis kuliko kutenda kuweza kuzibit fedha ndokutaisaidia nchi kuwa namiundo mbinu ambayo lisu anatuambia usipo kusanya kod utaishiwa kujengewa kwa misaada kama kipind chakikwete
It was verynice Period !!!!!!😎😎🤠🤠😁😁🤗🤓😁🤓🤔 Busara sana Farhia, Salute sana sana kwa Rais mtarajiwa muheshimiwa Tembo Tundu Antipasi Lissu, uliyemiminiwa lisasi lukiki yaani 16 mtawaliwa zote zilizama mwilini bila kupoteza uhai, Ajabu sana tena inatakiwa uwekwe kwenye maajabu 7 ya Dunia, kwani kwa hakika hakuna mtu au kiumbe yeyote aponaye katika dhahama kama hilo ! 😎🤠😎🤠 kiukweli Mungu ana anahaja na wewe, Tena kubwa mnoo, hatukuwa na cha kufanya, wala cha kukusaidia, wala pakusemea, wala pa kukimbilia, zaidi ya kumlilia Mungu juu yako, na kukuombea, na hatimaye umepona na Mungu amekusadia yote hayo madhira nawe umerudi katika nchi yako Tanzania, karibu sana, Tunakupenda sana, Tunakutakia sana, Kiukweli tunapenda sera zako na za chama chako, Tunakufurahia vile unavyoijua KATIBA ya nchi yako vizuri sana, Lakini Pia Tunakupenda na kukufurahia unavyoijua sheria vizuri sana, kiukweli unakipawa kutoka Juu kwa MUNGU BABA YEHOVA, Hakika atakufikisha ulipopakusudia kufika, Nakusindikiza kwa Neno la Mungu akiyehai, Soma Biblia kitabu kitakatifu, Joshua 1:9--) Yeremia 33:3--) Ylemia 23:23--) Soma na Mathayo 7:7--11. Hongera kwa kuwa Jasiri, na ashukuriwe sana Mungu vile ulivyo, Amen
Uyu tundu lisu sio siri Mungu kamjalia sana yuko vizuri aysee kwelii watanzania tunaongozwa na Mtu ambae amezidiwa uwezo sana nyie tubadilike kwa sasa Hongereni sana ITV super brand 🔥🔥🔥
@@tegemeachamwenye5242 mm ni mtu na maisha yangu sio mtu wa kuja kuajiriwa na serekali milele dogo, madogo kama ww ndo mtapewa kazi za kuwalisha mbwa wa ikulu🤣
Mbona hajasema ufisadi ulio yomo kwenye chama chake? Mbona wizi wote unaotokea kwenye chama chake hajagusia hata kimoja. Hajaelezea ni nani alimufadhiri. Huo urafiki anausemaTundu Lissu lazima uwe urafiki wa ukweli, na sio urafiki wa kutudanganya. Kumpa huyu uongozi ni kuwakaribisha watu kama Bob Armsterdem kuiongoza Tanzania
@@gracemima5234 usiogope my dia huyo hawezi kuwa rais hata usipoteze muda wako andaa tu kadi yako ya kupiga kura kula ushibe na umuombee magufuli afya njema
rahabu mkama mimi siogopi nataka kuelimisha watu. Huyu ni mpuuzi na traitor. Wenye akiri na wenye kupigania maendeleo ya Africa na Waafrika wanamucheka na kumuona mjinga mkubwa. Sijui Kwa nini wajinga wanamushangilia ah! Ndiyo maana wakaitwa wajinga
Tuinamishe vchwa vyetu tuombe Ee Mungu muumba wa Mbingu na nchi tunakushukuru kwa kumtoa huyu mtumishi wako kwenye tanuri la moto, basi tunakuomba umuinue zaidi, awe rais wetu. Amen
ismail kokoro upuuzi mtupu. Kusema sio kutenda. Atueleze atapambanaje na ufisadi? Hawezi kwenda hapo kwasababu chama chake kimejaa mafisadi. Yote anayesema ni ndoto kama wizi wa mali ya wote hsutafanyiwa kazi.
@@gracemima5234 angepambana vipi na ufisadi ilihalimlitaka kuitoa roho yake ili kumzuia asitende kazi ya taifa lake ama mtu akifa ndio kupambana na ufisadi 🤔 Shukuru Mungu kwanza yu hai mengine yatafwata mgala muue na haki yake apewe
Asante ITV kwa kumwalika Mtalaam Lissu, shukrani kwa maswali yaliyo enda shule. Pongezi kwako Lissu kwa kujibu maswali vizuri. Vyombo vingine wakualike. ITV muanzishe mijadala na malumbano ya hoja kwa kuwahusisha/ kuwakutanisha wagombea nafasi za urais. IPP daima!
Yani huyu jamaa nilikua cjamjua vizur kumbe ni mtu mhimu sana kwenye hili taifa tukiacha uchama utamuelewa sana ila kama ni wakupiga makof tu huwez kuelewa
Muulize mbowe ...fedha za ruzuku kuendesha chaguzi za serikali za mitaa....walizopewa kama chama ziko wapi....walishagawana ...walipoona wataumbuka wakasusia uchaguzi
Hakika tundu Antipas mungwai lisu ni kiongoz mwenye usubutu usiokua na mashaka hata kidogo msomi mwenye upeo mkubwa mtu jasiri mpenda haki na maendeleo kwa taifa binadam wakwanza Africa kupigwa risas 16 na sasa tuponae live ✌️✌️✌️✌️🔥💥
Kweli itv super brand nimekubali
One of the best 45 minutes in ITV conversation ever.
Ww mtangazaji uwa nakupenda sana unamakuu na mtu wala ubaguzi wa vyama big up faraila japo jina lako gumu kama nimelikosea nisamehe bure mamy
Ilove you lisu ilove you sera zako na chadema kwa ujumla✌✌✌✌💕💕👌
Da nakwerewa mzee uko saii na unaereweka tuko pamoja na tunakuombea .mungu akujarie🙏🙏🙏🙏🙏
Genius sana huyu jamaa maana
That man l understand very much ..Tanzanian people proud that you talking
Jisemee wewe di wtz wote
@@meryshomi1738 yupo mwingine mjenga hoja kama huyu acha aje mropokaj wenu uone atakavyofoka kweny speech huy big up sana
Real, deal done!
@@meryshomi1738 Na jisemee wewe sisi tunampenda Lisu. Usituletee ujinga
Brave man
Nimekuelewa Saana lisu mungu akutangulie uwe raisi wetu tz
Nisaidie moja ulilomuelewa ambalo linamfanya awe rais please🙏
Mungu atuonekaniee wa tz
@@neemamahenge376 /zw0⅓21.
Uko vizuri mtangazaji nakupenda
Wew ndo unampenda si wote, don't generalise
Mery ..limekukaba dada
@@denisstameza-unitedstates3668 limemkaba mno
@@meryshomi1738 nyie wanawake ni mashetani sasa mwanahabari kakukosea nn mpk umchukie?
Asante sana ITV asante sana mheshimiwa Lisu
Kama umeona vijana wa lumumba walivyonywea katika post hii kwa kushindwa kujibu hoja za lissu. gonga like
Vijana wa lumumba wanamuelewa.lisu ila kura ni siri
Hongera
Hakuna aliyenywea, hatuna muda wa kusikiliza mashudu...😅😅
Kinyecc
Mimi sio kijana wa lumumba lkn sio lumbukeni kudanganywa bima ya afya kwa kila mtanzania bila kupandisha Kodi mara 7
Jamaa yuko vzr sanaa
Mh Lisu yupo vizuri hongera
Kiafya au!?
Uwezo wankuchambua mashwala ya nchi yetu
Aiseh, haiwezekani kumsikia Lissu halafu usimpe kura yako.
The Genius Mastermind
lisu is next level
Hongereni Itv kwa ujasir uyu jamaaa alitumwa kwel kusoma na alizngatia Mungu Azid kumpgania
Gonga like kama umegundua mtangazaji kamkubari tundu lisu
😆😆😆😆😆
Wandishi wa wahabar wachochez2
Hajamkubali ni maadili ya kiuandishi tu hayo. Neno gani alilosema la kumkubali? Hizo ni hisia zako
Very intelligent man...hongera TUNDU...unastahili
Lissu ✌️ ✌️✌️
Uhuru,haki na maendeleo ya watu ni point mhimu sana.
Haya yote unaweza kuyatafsiri kwa mapana sana kama ukiwa hauna ushabiki wa bendera fuata upepo
Yupo very right👏👏
King of jungle
Kabsa
Uhuru upi sasa jamani, tuko social media, asiyesali msikitini au kanisani ni yeye mwenyewe tu. Kukosoa kila mmoja akosoe lakini akumbuke na anaekosolewa ana maoni yake. Kurekebisha mfumo wa Elimu ni zaidi ya miaka 40. Tatizo la Tanzania viongozi wetu hawana "shared vision" hata ndani ya Chama kimoja hii itatuchelewesha sana.
@@hajihassan5433 we shekh kabisa jina lako linasomeka vizuri unauliza Uhuru upi wakati unajua mashekhe wa uamsho wanamiaka Saba mahabusu no kesi embu fungua DW born leo uisikilize hiyo kadhia
@@rajabumuya4680 Duniani kote ukiwa na tuhuma ya baadhi ya makosa kama UHAINI iwe kweli iwe sio kweli utapata tabu sana. Kama Uhuru Mhe. Magufuli ndie amewatowa jela watuhumiwa wengi wa makosa ambayo hayana dhamana kisheria, UAMSHO ni kosa la Wazanzibar wenyewe ndio walioweta huku Tanganyika bila kosa lakini usisahau .Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar alikuwa .Maalim Seif na Waziri wa Katiba na Sheria ambae ana mamlaka ya kuondosha kesi Mahakamani alikuwa Mhe. Abubakar Khamis Bakari kutoka huko huko upinzani. Wapinzani Tanzania wakifanya siasa kama wanavyofanya sasa watachewa sana kuiondoa CCM.
This is a wonderful I like him my fellow tanzanians please and please vote for this Man he is very intelligent and he knows what he doing✌️✌️✌️✌️✌️
Its a must🔥🔥✌✌
He is not going to win
Politician_politician but magu h's one of the leader's in afrca
Vote ureself na warombo wenzio
He is going to win
Lissu is very intelligent.
Kwakweli Mungu niwajabusana tudulisu ni muujizaunaotembe Mungu anamakusudi na lisu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Angekuwa mwingine baada ya kupona angeunga juhudi. But huyu jamaa ni mpango wa Mungu
Huyu ndio anatakiwa Raisi wa Tanzania
Lisu Ana mungu ndani yake kwanza hata muonekano wake anapendeza kwa Raisi was TZ
@@rehemaissa6145 naiwehivinyo. Kamaaliyopona kimiujiza aingie ikulu kwa muujiza pia itapendeza🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nelson Mandela amefufukia Tanzania kupitia Tundu Lissu
Lisu shikamoo
Marahaba
@@omaryhassani9626 😀😀
Mungu tusaidie wewe ndio uliumba tupate rais ambaye atatoa ajira .kutoonea watu kwani uliwaumba wewe
Duuh, this is one of the best interview the ITV had made. Na nadhani ni kutokana na aina ya mtu anayehojiwa kuwa mtu mwenye ufahamu wa kutosha na anayejua kujieleza kwa lugha rahisi yenye kueleweka. Asante sana ITV, asante sana Tundu Lissu. Nakuombea ushinde na uwe Rais wa nchi. You deserve it...!!
Umeongeya Point Lisu Sanatu..
Kwa Wale Wenye Akili Mzr Watakufaham..
Maana Kuna Wengne Hata Maana Ya Uhuru Hawajuwi .
Nikwel kaongea point kumbuka mfanya biashara ukimwambia umempauhuru nikwamba hutopata kod yeyote serekalin utawezaje sasa kununua madawa kusomesha kulipa madoctor walim nawengine? sikuzote kuongea nirahis kuliko kutenda kuweza kuzibit fedha ndokutaisaidia nchi kuwa namiundo mbinu ambayo lisu anatuambia usipo kusanya kod utaishiwa kujengewa kwa misaada kama kipind chakikwete
Walikupiga risasi 16 mwilini wakaacha kichwa.leo nafurahia uwepo wako mh tundulisu.Mungu akujaalie katika Safari yako ya uraisi
You are professional Lawyer Mh.Tundu Lisaa..You know exactly what you are talking about.👌🏾
Mimi had machozi yananitoka ya furaha nataman sana uwe Rais wa nchi yangu..♥️
Tanzania mzima mm naamini hakuna Kama lisu huyu ni zaidi ya kiongozi watanzania sijuwi wanafeli wapi
Hata mimi, ana future plan nzuri sana!.
Kweli kabisa
Ana mungu ndani yake
Atakuongoza wew
It was verynice Period !!!!!!😎😎🤠🤠😁😁🤗🤓😁🤓🤔 Busara sana Farhia, Salute sana sana kwa Rais mtarajiwa muheshimiwa Tembo Tundu Antipasi Lissu, uliyemiminiwa lisasi lukiki yaani 16 mtawaliwa zote zilizama mwilini bila kupoteza uhai, Ajabu sana tena inatakiwa uwekwe kwenye maajabu 7 ya Dunia, kwani kwa hakika hakuna mtu au kiumbe yeyote aponaye katika dhahama kama hilo ! 😎🤠😎🤠 kiukweli Mungu ana anahaja na wewe, Tena kubwa mnoo, hatukuwa na cha kufanya, wala cha kukusaidia, wala pakusemea, wala pa kukimbilia, zaidi ya kumlilia Mungu juu yako, na kukuombea, na hatimaye umepona na Mungu amekusadia yote hayo madhira nawe umerudi katika nchi yako Tanzania, karibu sana, Tunakupenda sana, Tunakutakia sana, Kiukweli tunapenda sera zako na za chama chako, Tunakufurahia vile unavyoijua KATIBA ya nchi yako vizuri sana, Lakini Pia Tunakupenda na kukufurahia unavyoijua sheria vizuri sana, kiukweli unakipawa kutoka Juu kwa MUNGU BABA YEHOVA, Hakika atakufikisha ulipopakusudia kufika, Nakusindikiza kwa Neno la Mungu akiyehai, Soma Biblia kitabu kitakatifu, Joshua 1:9--) Yeremia 33:3--) Ylemia 23:23--) Soma na Mathayo 7:7--11. Hongera kwa kuwa Jasiri, na ashukuriwe sana Mungu vile ulivyo, Amen
Lo mtangazaji kama wa CNN you inspire me how you ask constructive questions
Jmn hachelewi kuondolewa kwenye hyo nafasi dada mzur kwel
Fantastic interview congratulation CDM 2 have this genius
Mwenyenzi mungu atakujalia uwe rais wakulima tunateseka sana ndugu yangu kwakweli
Niliacha kulima pamba sababu ya kupangiwa bei
Serikali imewasahau wakulima
Kabisaaa
KWELI KABISA LISSU ni mtu wa kipekee
Kwahalihii nikwamba watanzania hatupo hulu ila tuna utulivutu
Hongera baba Rais kura yangu unayo
Lissu wa sio kuelewa ni ma beberu
Mimi nakuelewa vizuri
Kama unaniamini gonga like hapa
Lisu rais bana waelewa wanaelewa wanaopewa pilau huko shaur zao.
HUYU LISSU ANA AKILI CHEZA MBALI KURA YANGU KWAKO 2020
Mtangazaji studio unajitahidi!Maswali yameenda school,!
Safi
Tutaskia itv wachochez
@@sandenjumbo2596 yaani ni Uhuru tunao utaka
Kweli kabisa
Duh
Huyu jamaa aliitumia vizuri sana ada shuleni
Yaan wazaz wake hawakutupa ada
Hahaa
Kweli
yani anaonekana alikuwa na utulivu mkubwa darasan mpole kabisa ili aelewe Big up master mind
Mziki huu si wakawaida! Asset kwa Tanzania.
IQ nyengine ya Zitto, zikichanganywa na ya Lisu mbona miaka 5 mingi.
Huyu jama anamkalisha magu. ni yeye 2020 wapeleke mchaka mchaka hongereni itv ni kweli super brand tunawakubali
Genius
Congratulations for your speech Mr.lissu
Delivered!
Nimekuelewa Lisu
Jamani let’s vote for this guy please 🙏🏾
Hongereni itv, mwendelee na counter balance
Ilani ya CDM ni marudio ya CCM Sambazeni hizo Ilani tuzione !
Daaah lissu Naomba MUNGU sana uwe rais
huyu jamaa akiwa rais tz itanogaaa
Mngu tusaidie lissu awe lais wetu
Starboy
Baba uko viziiiii..hakika ww jembe
Mungu awe pamoja nawe
Aseeee!!!! Huyu baba ana akili nyingi sana kwakweli anafaa kua rais wetu Tanzania. Kipindi kimenifungua akili yangu hongera ITV kwa kazi njema
This man very intelligent. So proud to tanzanians
TUNDU LISU anaakili, anavitu vingi kichwani anazungumza kwa reference, hakika, TUNDU LISU ANATOSHA kua rais wetu
Kiukweli kwa Hoja unazotoa mtu hawezichoka kukusikiliza! Asante baba, kila la heri ila poleni ITV make kesho tu tcrs wanawezaibuka na ninyi!!!
Lissu ni hazina ya tz
Nmemuelewa. Lisu uzalendo uenishinda siwezi. kubaki. ccm.
Kama upo unaludia tena hii interview mda huu..naomba tujuane..jamaa katisha.
Tundu lissu ni jembe baba
Kwangu matata 3 nairudia
Lazima urudie jamaa genius
Pumba tupu
@@boxingtz2030 hakuna cha u genious, boya tu...
Naombeni like kwa huyu mama anauliza maswali ambayo yananilenga
Jamaniiii naombeni likes kwaajili ya ITV. hii ndio ITV ninayoijua Mimi isiyo na upendeleo. ITV Ni BBC ya Afrika mashariki..
Kabisaaa
Like umepata mzee
Hata mm nimeiona iko fair
Na me nakupa like
Hongera Dada yaan umeuza maswali ya kisomi na tumepatiwa majibu sahihi
Huyu jamaa ana kichwa hakika yuko vzr sana iribolu hakwenda kukalili hicho kichwa nooma sanaa
Safi sana in yeye
Tundu lisu Mungu amemkusudia kuivusha nchi kwenda nchi ya ahadi ya maziwa na asari
Tusimupuuze liko kusudi la Mungu
Kabisaaa
Uyu tundu lisu sio siri Mungu kamjalia sana yuko vizuri aysee kwelii watanzania tunaongozwa na Mtu ambae amezidiwa uwezo sana nyie tubadilike kwa sasa Hongereni sana ITV super brand 🔥🔥🔥
Ahsanteni ITV kwa hiki mlichokifanya@ shukrani pia kwako mtangazaji na mheshimiwa Tundu Lissu kwa interview nzuri
Lisu ni mkweli, mpenda haki, mwingi wa maarifa na jasiri wa kweli kwa taifa.Mungu azidi kumbariki raisi wetu lisu
Wewe subir uje uajiliwe na magu hata kazi ya kufagia Ikulu
@@tegemeachamwenye5242 mm ni mtu na maisha yangu sio mtu wa kuja kuajiriwa na serekali milele dogo, madogo kama ww ndo mtapewa kazi za kuwalisha mbwa wa ikulu🤣
Mbona hajasema ufisadi ulio yomo kwenye chama chake? Mbona wizi wote unaotokea kwenye chama chake hajagusia hata kimoja. Hajaelezea ni nani alimufadhiri. Huo urafiki anausemaTundu Lissu lazima uwe urafiki wa ukweli, na sio urafiki wa kutudanganya. Kumpa huyu uongozi ni kuwakaribisha watu kama Bob Armsterdem kuiongoza Tanzania
@@gracemima5234 usiogope my dia huyo hawezi kuwa rais hata usipoteze muda wako andaa tu kadi yako ya kupiga kura kula ushibe na umuombee magufuli afya njema
rahabu mkama mimi siogopi nataka kuelimisha watu. Huyu ni mpuuzi na traitor. Wenye akiri na wenye kupigania maendeleo ya Africa na Waafrika wanamucheka na kumuona mjinga mkubwa. Sijui Kwa nini wajinga wanamushangilia ah! Ndiyo maana wakaitwa wajinga
nimeyapenda sana mahojiano, big up ITV
Mamb
Hata mtangazaji anamuelewa Tundu!!!
Siwezi kukupa kura mimi wewe
Siombi kura mimi
@@raphaelsamwel2640 😂😂😂😂 youtube jamani😂😂
Mh Tundu Lisu ww ndiye uliye ni inspaya kupenda sheria, Nakukubali mnoo September 7 niliumia sanaaaa
Daaaah #sijui kama watu wanaelewa anachosema huyu jamaa
#ni zaidi ya mgombea urais
Kabisa ukimuona mtu ana mponda ujui akili yake haiko sawa
Nakukubali xna
Anataka kupewa kakazi kidogo, kiofisi akae eti
@@ukweliunauma4570 ndio saizi yake
@@martinkipenya4592 haya tuone tarehe 28 , maana ugonjwa wa moyo utazidi , mwaka huu kura kimbunga cha lissu , magu atazimia tu
Tuinamishe vchwa vyetu tuombe
Ee Mungu muumba wa Mbingu na nchi tunakushukuru kwa kumtoa huyu mtumishi wako kwenye tanuri la moto, basi tunakuomba umuinue zaidi, awe rais wetu. Amen
Amen
Daah nilikuwa sijui mh lisu lakin nmekuelewa kura yangu unayo
Karibu sana endelea kufungua wengine macho
Yaan da mi namkubali sana
ismail kokoro upuuzi mtupu. Kusema sio kutenda. Atueleze atapambanaje na ufisadi? Hawezi kwenda hapo kwasababu chama chake kimejaa mafisadi. Yote anayesema ni ndoto kama wizi wa mali ya wote hsutafanyiwa kazi.
@@gracemima5234 angepambana vipi na ufisadi ilihalimlitaka kuitoa roho yake ili kumzuia asitende kazi ya taifa lake ama mtu akifa ndio kupambana na ufisadi 🤔 Shukuru Mungu kwanza yu hai mengine yatafwata mgala muue na haki yake apewe
@@gracemima5234 na pia ata kiongoz wako ana sifa kama hiz za kuongea bila kutenda
Mwenyezi Mungu akutangulie katika uchaguzi ujao
Mungu akulinde Rais mtarajiwa
Kweli
🤣🤣🤣🤣🤣raisi sio Tanzania
Team #Tundu lissu tujuane apa
Nakupata vizuri sana Mh. Lissu bonge la hazina hakika unafaa kulitumikia Taifa letu.
Nimefanya makosa makubwa sana kumsikiliza Tundu lissu, ona sasa nimeanza kumpendelea.
Safi sana haki isemwe hata kama inauma
Hahshahahahaaaaa
Hahaha
Iyo inaitwa Happy accidents
Ukweli una raha zake, duuh! Ni Majuto au furaha, sababu ulikua unasikiza upende 1 tu kwa miaka 5 nakuonea huruma pamoja na nafsi yangu
Asante ITV kwa kumwalika Mtalaam Lissu, shukrani kwa maswali yaliyo enda shule. Pongezi kwako Lissu kwa kujibu maswali vizuri. Vyombo vingine wakualike. ITV muanzishe mijadala na malumbano ya hoja kwa kuwahusisha/ kuwakutanisha wagombea nafasi za urais. IPP daima!
Very good questions and answers,great Man answering questions intellectually, Big up brother Lisu.May God make away out for the better Tanzania.
Lissu ndo rais wetu
Huyu jamaaa ukimpa kipaza,ANAKUBADILI ITIKADI..ANAJUA SANA KUELEZEA MAMBO..
Kwa hiyo umemhama Magu?😂😂
@@emanuelmhoja2411 sa mingi now ni yeye genius san na anakili
Kweli kabisa
@@h.rukuba7464 hahah
Asante ITV 👏👏👏👏👏👏
Jembe LISSU
Trekta mh Magu
Trekta mh Magu
Upo uzuri
Kiafya au?
@@zaynabnyamsingwa3830 vyote. Kiafya na kiuwezo wa kujenga hoja
Kwa ufupi tundu lisu mimi kama mimi kuanzia leo nitampa jina la nelson mandela wa tanzania
Martin Luther Lissu pia sio mbaya.
Kabisaaa
Kabsa
Kweli
Fact
Yani huyu jamaa nilikua cjamjua vizur kumbe ni mtu mhimu sana kwenye hili taifa tukiacha uchama utamuelewa sana ila kama ni wakupiga makof tu huwez kuelewa
The way anavyosema anaonyesha kuna kitu cha ziada chakuwapa WATANZANIA 28october #NIYEYELISU
Magu mwenyewe anamuhofia Lisu ndio maana anawainguwa wabunge na madiwani wa chama cha upinzani ,, kama siyo hivyo kwanini anafanya hivyo ?
Muulize mbowe ...fedha za ruzuku kuendesha chaguzi za serikali za mitaa....walizopewa kama chama ziko wapi....walishagawana ...walipoona wataumbuka wakasusia uchaguzi
@@thejuanaa2459 kwli elimu mbaya. Hapo unajiita msomi eti?bado unamawazo na fikra finyu
Jamani Mbona mnaongerea vichochoroni lisu jembe
MAGU ni jembe hata siku moja hawezi kuogopa machizi kama hawa wanaongea utumbo tu hakuna cha maana hata kimoja.
@@emmanuelnzaligo6262wasio ends shulee hamuwezii kiielewa lisssuu jembee
🔥🔥🔥
Anaerudia hii pindi sasa hivi! Gonga like!!
Ukiona mtu wa kijani kibichi analeta maneno mengi mwambie aje kusikiliza Dakika 45 za TUNDU LISSU ITV
He is a genius. Watanzania hii bahati kubwa kuwa na kiongozi kama Lissu
Wengine hawajui wanajiita wazalendo
Lissu chaguo la Watanzania
Kabisaaa
Haswaaa
Sio rahisi
Haswaa
Unamchagua ww na familia yako
Mr ion man ✌✌✌✌✌💪💪💪💪
Hii ndioITV niliokuwa naimisiiii! U have now my support!! You have my positive swing moods back!!!
Rais
Mhe lisu nyumabn kwang kuna kula zako zaid ya 19
Hata familia yangu itaungana na yako!
Pamoja sanaaaaaaaa 💪
✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻✔
Na Mimi anazo 3
@@h.rukuba7464 hakika tunayo moyon
Tundulisu raisi wangu
Sio wako tu, niwakwetu sote
Jaman,, mi nashindw kuelew hv mtu kama huyu unaanzaje kumpingaa ,,tuacheni bhn ushabiki wa kipuuzi ,,lissu ni binadam wa aina yake jaman
Hakika we nikichwa
Kwely kabisa dah
Mashinehii
Huwa sijutii kupoteza mb zangu kukusikiliza mheshiwa , rais wangu mtarajiwa Tundu Lissu
Uko vizuri mzee baba
@@charlesmsangai5024 jamani mi ni mzee mama
@@aproniagerald6208 😂😂😂😂
@@ey3022 mbona unanicheka
@@aproniagerald6208
Alikuwa hajakutambua wala usichukie
Watanzania wanakuitaji kuliko wewe unavyoiitaji TZ. ur blessed Mr president..... Ni yeye 2020.
Good xana
Huyu Mwandishi wa Habari unatakiwa uajiriwe kwenye vyombo vya habari vya Kidunia! Yupo vizuri saana.
#TunduLissu kura Yangu unayo.
Farhia Middle unafaa sana
Anatakiwa aende BBC swahili
Sasa ndo nimeanza kujua kwanini Mungu hakutaka ufe aisee,
😀😀😀
Nami nmejua Mungu amemnusuru ili atubu asipotubu ole iko juu yake
chadema safi
Nimegunduwa kitu kimoja ndani ya dakika kathaa tu watu waliokuwa wanaangalia kwenye mitandao ni wengi mno
Mungu akutangulie ktk safr ya Urais
Hakika tundu Antipas mungwai lisu ni kiongoz mwenye usubutu usiokua na mashaka hata kidogo msomi mwenye upeo mkubwa mtu jasiri mpenda haki na maendeleo kwa taifa binadam wakwanza Africa kupigwa risas 16 na sasa tuponae live ✌️✌️✌️✌️🔥💥
Huyu ndie raisi wangu hata wakimuibia Kura akashindwa. Nafsi yangu itaingia kaburini ikiwa na amani kuwa October 28 nilifanya kilicho sahihi.
Mungu wetu mwema akubariki sana. Nimekuelewa
Mungu akupe umri mrefu Ufike siku ya uchaguzi , utimize jambo la haki yako bila woga
Hakika upo sawa
daaa umenitowa machozi
Daaaah ubarikiwe
Tusiishie kusikiliza tuu tuhamasishane vijana tukampigiek kura Raisi wetu
na vijana ndio ambao ni wagumu kuelewa na kudadavua mambo
Wewe ndio rais wangu
Ndio rais wako ww siyo sisi wa Tz
Kabisa ni Rais wetu wote Tz
Hongera sana Mr Lissu!!!
Amen
@@yusufuvea5311 😭😭🚭
@@yusufuvea5311 utakuwa mchaw ww
Tunaimani na ww lissu. God bless you
Bima ya afya ni muhimu sana 👍 kama umeelewa kama mimi gonga like