HOUSE GIRL EP 28 | S3 | Love Story 💕💞

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
  • HOUSE GIRL SEASON 3

ความคิดเห็น • 660

  • @busatitv
    @busatitv  6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +73

    Bonyeza link kujiunga Whatsapp Group 👇👇
    chat.whatsapp.com/FO70mhi1wWF9xNBRUPBDT8

    • @MarthaAlly-y7s
      @MarthaAlly-y7s 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Jmn naomba namba ya Kai me najua kuigiza

    • @FaradjaSivihwa-kn7zo
      @FaradjaSivihwa-kn7zo ชั่วโมงที่ผ่านมา

      🎉🎉

  • @MonieNathan
    @MonieNathan 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +237

    Chiko mpango wako utafeli kama tuko pamoja gonga like apa❤❤

    • @samuelnthia8858
      @samuelnthia8858 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Like

    • @Scolayusuph558
      @Scolayusuph558 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Kashaanza kua chiz

    • @DivineIngabire-lj3sr
      @DivineIngabire-lj3sr 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Muace acizii jamani 😂😂😂 uyo atakuja kurukaruka barabarani ako uci😂😂😂

    • @PhilimonJosephu
      @PhilimonJosephu 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kamuweza kabisa

    • @CarolyneNyanchama-yk1gf
      @CarolyneNyanchama-yk1gf ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sikubaliani😂😂

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +239

    sema huyo dogo kamuweza chiko kama umemkubal huyo dogo aliemfanya chiko aludi mwanzo ili asalimie kwanza gonga like

    • @latifahkambi453
      @latifahkambi453 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Nmependa sana ahahaha

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Nimempendraa atariiii

    • @annahnyansiaboka451
      @annahnyansiaboka451 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Yaan amenitendea haki kweli

    • @pilicharo4123
      @pilicharo4123 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      😂😂😂naye kamuweza kweli😊

    • @MarthaAlly-y7s
      @MarthaAlly-y7s 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Yaani nimeinjoi mpaka bx

  • @EmilianaTemba
    @EmilianaTemba 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +64

    Jmn jmn nataman zatit awe na mimba ya Mr Tasha wanaotaman hvy gonga like ❤❤❤❤

  • @VeeMoraa
    @VeeMoraa 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +84

    Kwa hii harakati ya chiko ningependa xatiti awe ako na mimba,,,,,, maombi yangu tu🙏🙏🙏🙏

    • @AntyBy
      @AntyBy 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hapo sawa

    • @AdhisJulia
      @AdhisJulia ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kabisaa

  • @AliJussa
    @AliJussa 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +75

    Mpumbavu mwezangu bado haja uwezea jasmin origino kama umeliiona hilo gonga like

    • @JmaexChambo
      @JmaexChambo 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Bado

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mpunzisheni Dada wawa2

    • @ReneNzeyimana
      @ReneNzeyimana 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ,👍🇧🇮🇧🇮

    • @AminaAmina-wm1og
      @AminaAmina-wm1og 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Yani mpumbavu mwenzio alienda wapi?sisi tunamtaka Jasmine original

    • @erneokisinda7179
      @erneokisinda7179 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ni kweli hajapatia bado

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +18

    Tunaoomba cend adhulumiwe nyumba haraka gonga like h@pa tujuane 😂😂😂😂

    • @HajratHajrat0501
      @HajratHajrat0501 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Nyumba gani na kashauzaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +43

    Ila chiko kama mchawi jamn kama unakelwa na tabia za chiko 😅 gonga like tujuane

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Me mpk simpend wallah

    • @sevelinahinnocent6803
      @sevelinahinnocent6803 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Simpendi mbwa huyu 😂😂

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy 52 นาทีที่ผ่านมา

      @@sevelinahinnocent6803 anakera sana

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +56

    Mungu azidi kumbariki kila mtazamaji wa House Girl.

  • @JanepherBudodi
    @JanepherBudodi 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +29

    Yaan busati hamjawahi kutuangusha kabisa saana ni saanane kwelii kwakweli mpewe maua yenuu tunaokubali wanabusati like hapa❤❤

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +22

    jaman mr tash kamuweza chiko 😂😂mwenye anaamini mipango y chiko haitafanikiwa gongen like

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +20

    Dada unajitahidi kuwa jasmine OG hongera sanaa kwa kazi mpumbavu wa kilamba🎉🎉

  • @stanleycylidion1560
    @stanleycylidion1560 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +17

    Duh kilamba napenda sana uigizaj wako
    Mungu akutunze jmn

  • @SaufatBaraka
    @SaufatBaraka 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +18

    Jaman weka makopa kopa❤❤❤❤❤ kwa tasha na zatiti

  • @agripinaofficial
    @agripinaofficial 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    😂😂ila sitaki dhambi na huyu mpumbavu mwenzangu

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Alafu mwenye kiti atakuja umbuka vibaya xna mbele ya watu....chiko ataongea kuhusu pesa zke alivyo muhonga.....Aibu kubwa😅

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Kiukweli 😂😂😂😂😂😂😂😂nacheka chiko ameyatimba mbio sana kumbe yuaogopa acha nione candy na laana yake iliyo mpaka jaman naomba like zenu 🙆‍♂️🙆‍♂️😅😅

  • @TanashaPamelah
    @TanashaPamelah 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +53

    Kama unasubiri kendi aone moto niekee like tu 😂😂😂🤭Yani mie nasubiri tu majuto ya kendi mama yangu 🤦😂

  • @RizikiStadza
    @RizikiStadza 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mwenyekiti tamaa haifai unajisahau kwa ajili ya hongo pole yako baba mzee mkoloni huezi mdhibiti Mana ana msimami thabiti hongera mzee mkoloni hapo hapo

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Wanaume wenye huruka kama ya chiko mjifunze sana hapa ridhikeni na mlivonavyo tamaa ni mbaya mtakufa😂😂😂na nyinyi mnaoomba like sijui wa kwanza au wa mwisho mna shida gan ninyi mfyuuuu

  • @FaithGeoffrey-i8c
    @FaithGeoffrey-i8c 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +35

    Wanao furai mimba ya Sania n wagapi

    • @JaneChaula
      @JaneChaula 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Candy kasem ma kirikuu😅😅

    • @rizikisam6481
      @rizikisam6481 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mama kirikuu 😂😂

    • @mwanamisikifogo869
      @mwanamisikifogo869 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂mimi ni moja wao❤❤❤🎉

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +17

    Mwenyekit na chiko kimewaramba but chiko kimekuramba zaid coz pesa tumekula na mke atukupi

    • @DivineIngabire-lj3sr
      @DivineIngabire-lj3sr 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Ayende kwenye alitoka

    • @HhUhh-io8ix
      @HhUhh-io8ix 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aiiiiiiiiii chiko Kila pahali haaaa unakera munooooo

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies BUSATI TV, nina Imani mpo salam,anae furahi jinsi Chiko ame ayibika kijijini, anipe like zangu, n, anae furahia jinsi mimba ya Kamkonde imekata kutoka hadi amzalie Ngonde anipe like zangu maan wamezidi ushirikina, Chiko toa Rushwa ila hutofanikiwa,ndug zangu nawatakieni Heri nyingi na Baraka n, Afya njema.

  • @Viviankemunto-p4k
    @Viviankemunto-p4k 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +19

    Sania leo kafurugwa kafurugika😂😂😂😂😂😂😂😂na vile alikuwa kiherehere na mambo ya wtu wee tuletee kitoto cha ngonde mamulaka😂

    • @JescaYusuph-m4y
      @JescaYusuph-m4y 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Kashapewa na jina mama kiriku😂😂😂😂😂

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kendy. Unenongesha hatar movie 🎉🎉🎉

  • @JoannaHemedy
    @JoannaHemedy 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Chiko una leta aibu na weye nadada hamu zai ni fujo tu wenye wana kubali like basi

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +14

    Chiko,kula jeuri yko mpuuzi wa maisha wwe...
    Natamani ningekuwa ndani ya hii tamthilia ya house girl,ungenyooka tu ...

    • @InnocentJohn-u4e
      @InnocentJohn-u4e 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      xana broo 😂😂🎉🎉

  • @Saumu-vr4bc
    @Saumu-vr4bc 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +14

    Leo kwa mara ya kwanza naombeni like

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +21

    Kuna Siku moja chiko atakiona camtemakuni kisha Candy nae bakiz upweke jmn unaamini ilo gonga apa like

    • @JentrixSungu
      @JentrixSungu 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Cendy uko na vituko ety mama kirigu😅😅😅😅

  • @SalamaRajabu-c6h
    @SalamaRajabu-c6h 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +9

    Chiko kishamramba anakalibia kua chiz maan mateso alopitia zatiti nayaona ni madg kuliko anayoyapata chiko kwa ss endeleeni kutupa raha wanabusat tv🎉🎉🎉

  • @Milkah-x1r
    @Milkah-x1r 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +18

    Mzee mkoloni ana msimamo dhabiti kwa zariti wapi like zake🎉🎉🎉

  • @MaryBosibori-xm7us
    @MaryBosibori-xm7us 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Waah kutawaka hapa next episode m naona chiko mzensi ataenda kwa mama Tasha na vile alijukua self na mama Tasha uuuii

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +13

    Wakwanza tokea nianze kufuatilia house girl sijapata lkis hata moja🎉🎉🎉🎉

    • @InnocentJohn-u4e
      @InnocentJohn-u4e 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😢😅😅😅

  • @DanielMagaga
    @DanielMagaga 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Huyu kaka comedy nyingi msiwe mnampa vipande virefu

  • @RizikiHaji-y4p
    @RizikiHaji-y4p 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Hahahaha chikoooo umepatikana dogo umetishaaa

  • @Saidahkims
    @Saidahkims 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +11

    Chiko ata ufanyeje hauna kizazi na uwezi pata mtoto ata kwa tabia zako mungu awezi kupea kizazi wewe

    • @marymele9714
      @marymele9714 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Mwehu uyu😏

  • @Smart7-b5e
    @Smart7-b5e 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Candy jamani sometimes nakuchukia sometimes tena nakupenda mama ❤❤❤❤ yaani usha mpea kijajo jina ety kirikuu😂😂😂😂😂😂hapo sasa umenichangamsha na vile sania alikua anajifanya kua yy ndiye mama mshauri kimemramba na mganga wake 😂😂😂😂

  • @NeemaJulliet
    @NeemaJulliet 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Wakwanza kutoka kenya like zangu apa

  • @hamzamihosho6480
    @hamzamihosho6480 18 นาทีที่ผ่านมา +1

    Uyo jasmin wa mchongo mm cijamuelew kabisa anae ungana na mm weka like apa

    • @hadijamohd6028
      @hadijamohd6028 8 นาทีที่ผ่านมา

      Ata mimi sijamuelewa😂😂😂

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Babake na zatiti mkali kama babangu ❤❤❤❤❤😂 ila mwenyekiti na chiko wameyatimba ila chiko zaid maana pesa tumechukua na mke tunaye 😅😂

  • @Dorcaskw
    @Dorcaskw 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Kwa hii nalo ni moto fire kwa siku zote nimeenjoy😂😂😂 don't forget me just like my comments❤❤❤ much love for this team ❤❤❤

  • @MaryMichael-w1l
    @MaryMichael-w1l 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Tunaoamini kuwa chiko ni comedian tujuane hapa 🤣🤣🤣🤣😁😁

  • @PiliRamadhani-cl6nw
    @PiliRamadhani-cl6nw 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Tatizo zatiti upore umezidi hii kitu angekutana na candi mbona Chiko angefrai asingesubiri wazazi wamfukuze Chiko angefukuzwa na mkewe,zatt anaongea kiupore xna ndio maana Chiko linajitanuwa tuu hapo ukweni

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Jaman kujiamini muhim wala kwa olilosema Mr Tasha usihofu mama n mkubali hta kuangusha,chiko garareee wewe ,n hii part y mjinga mwenzang sijapenda mwenzenu nilikua hta na hisi usingizi

  • @AishaMbuba
    @AishaMbuba 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +16

    😂😂😂😂😂😂 Sania hicho kisiran adi kwa BFF wako nahs una mtoto wakiume na JINA makubwa candy kashatoa ataitwa kirikuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @pilicharo4123
      @pilicharo4123 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @Bint-Zanzibari
      @Bint-Zanzibari 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Yani nimecheka ila candy Kwa sania huwa hachukii😂😂😂

    • @user-Ambani
      @user-Ambani 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂

  • @AisherJuma-d2q
    @AisherJuma-d2q 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    😂😂😂😂😂chiko ashaanza kuchangnyikiwa

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Meno Ya Kuoza Mbele Uyo Jasimini Kma Mmi Kucheka Au Kusimaili Pia Ni Shida😂😂😂😂😂😂

  • @irene-pw4dw
    @irene-pw4dw 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +9

    Boss candy Pamoja na mama kijachooo 🎉🎉🎉 Maua yenu maana mnakoelekea mtalia sanaa😅😅😅😅😅

  • @buru1235
    @buru1235 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Baba Zatiti umenimaliza mm wallai umeshika mwenye kiti.hdi akaona km Dunia yke inapasuka 😃😃😃🤦Alf chiko amesema ety yy n babake Tasha au nimesikia Nini mm😮

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Chiko aca kikulambe kabisa kumifukuza zatiti virikua laisi kumupata tena ngumu na usahau kabisa 😂😂

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Chiko utakipata mzee mkoloni uwezi kumshinda unapeana ongo ya ujinga tasha chukua bibi yako asikutishe ati akue baba ako c uamusi ni mamako😊

  • @Chebaibaiever
    @Chebaibaiever 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Kusema ukweli mpumbafu amejaribu hongera 😂😂😂 dada jikaze bwana kilamba tulia tu atashika laini

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    263,chiko wewe 8:48 na ndevu 2:42 zako za kusungulia sufulia.una kela.😅😅😅😮😮😮😮.ndiyo maana umenyooswa na mtoto mdogo😮😮😮😮😮😮😮

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Jamani Leo nimechelewa nipeni pole hata like Moja tu

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Uyo sania hanavyobinua midomo na hiro wigi jamani khaaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @JoyceKizo
    @JoyceKizo 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Nimekuwa wa 4 leo wow like plz😢

  • @Idmmuedacente
    @Idmmuedacente 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Hongera sana Ndugu zangu pongezi kwenu wakuuu❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Fundi saa alipoteza nati kiramba😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-Ambani
      @user-Ambani 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

  • @user-Ambani
    @user-Ambani 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Candy aty *Mungu wangu*😂🤣😂🤣😂🤣😂🎉🎉🎉🎉

  • @franktodory
    @franktodory 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    sania kashaanza kuwehuka sasa 😂😂😂😂

  • @BertinaCatitiAdamu
    @BertinaCatitiAdamu 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Chiko anakera

  • @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
    @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk 39 นาทีที่ผ่านมา

    Baba zatiti umenifurahisha kwaulicho kifanya 🎉🎉🎉🎉

  • @TONNYBOYMSAFI
    @TONNYBOYMSAFI 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Big up from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wapi likes kutoka kenya❤.

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +9

    Chiko umepatika kwel kwel

  • @medytrueboytz8450
    @medytrueboytz8450 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    😂😂😂 mwenye kiti tuhalawe hano konda watubige oshe namwenye kiti😅😅kumbe kodumba kubigigwa😂😂

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    30nimekua naomba like za oman Qatar saudia tz ❤❤

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mpumbavu mwenzangu meno yaisha mbele kwa kula sukari 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @marietharosemary
    @marietharosemary 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wao naomba mungu mipango ya chiko yote isifanikiwe hata punje

  • @SALIMAMALIKAGHAJOK
    @SALIMAMALIKAGHAJOK 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mwenye kito good nikupeke mau yako mmmwa❤

  • @Lucy-t7n
    @Lucy-t7n 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Ila baba zatiti na hicho kizee mumejua kunichekesha kimeumana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ummycheedy2809
      @ummycheedy2809 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂 alaf kakitikisa kwa mkono mmoja

    • @Lucy-t7n
      @Lucy-t7n ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@ummycheedy2809 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kabisa kametikishwa mpaka kakatii kakasema kamepewa hongo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @DainessOlange
    @DainessOlange 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Jasmine mpya meno jamn😂😂usishke shke mdomo sas tufaid meno🤸

  • @Popo-p3b
    @Popo-p3b ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu mkaza ng'onde anifurahisha kweli😂😂😂

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mashallah Mashallah

  • @lucasdaniel-bu8mp
    @lucasdaniel-bu8mp 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Watu hamlali jamani Aya naombeni ata like moja

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mzee kalonga tuhakawe 😂😂😂 nenden pumbav Babu kwer

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Chiko usiniharibie siku ntakutukana kulanina msenge mmoja wee

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wanaoamini zatiti hatokubar na babayke tujuane hapa na Zatiti naamin anamimba ya Tasha tujuane hapa Sasa 🎉🎉🎉🎉❤

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    sema kwa upande wa hao wapumbavu bora ingeonekana jasmin mwenyewe ingeonekana ndo kafa baada ya kutekwa na kilamba ameamua kuoa kwanamke mwingine ila huyu hawezi vaa viatu vya jasmin hata robo

  • @EUNICEBENDERA
    @EUNICEBENDERA 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Acha shobo chiko kwanza ko maa muache zatiti wetu❤❤

  • @PauloAfizai
    @PauloAfizai 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Chiko anataka azaoe maji yamwangika kwapesa 😅😅😅. Kiramba vp kamavile umetupinga changa ramacho mfumbavu mwezio wamwzo kwabla yakutekwa nasasa nitofauti 😂😂😂😂😂 imekaji

  • @ShombeShombe-wg6gu
    @ShombeShombe-wg6gu 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Dogo yupo sawa sana namkubali sana ila huyu mke wakilamba wamchongo au vip

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Chiko ishafulia huko kwenda mwana kwenda na pesa ushapigwa na mwenyekiti 😂😂😂

  • @SesiliaTemu
    @SesiliaTemu 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Chikoo 😂😂😂😂nenda ukale uliko peleka mboga 😂😂

  • @Farthun
    @Farthun 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Chiko kweli akili zimesafiri 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 sasa ndo unazidi kuliamsha kweli unapandisha tasha kufanya kitu chenye hakutaka afikie huko wacha tuone kama utawezana

  • @mwanamisikifogo869
    @mwanamisikifogo869 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂leo chiko kapatikana kusema ukweli huyo dogo nimpenda sana.

  • @Asiamohammed1317
    @Asiamohammed1317 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kendy umepigaje hapo, mama kirikuuu 😅😅😅😅🎉🎉nimekupenda leo ❤❤❤

  • @LevinaMacha
    @LevinaMacha ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mameee laana kabisa iyo😮😮😮 chiko akue baba wa Tasha kumekucha😂😂😂

  • @Fatuma-u8d
    @Fatuma-u8d 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Aaah uyu nae ywaboesha jaman mrudisheni jasmine wetu

    • @marymele9714
      @marymele9714 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Jasmin yuko shuleeee

  • @NAOMIMSNAOMI-s3m
    @NAOMIMSNAOMI-s3m 58 นาทีที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂 yani candy nimupumbafu kweli, eti maman Kirikou😂😂😂😂😂😂, ushashindikana candy

  • @EugêniaCassianoMetine
    @EugêniaCassianoMetine 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Uyu mwenhe kit VIP.

  • @everlinenjuguna2281
    @everlinenjuguna2281 14 นาทีที่ผ่านมา

    Mr Tasha na Zatiti❤❤❤❤

  • @SaumKhusein
    @SaumKhusein 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    😆😅😅😅😆😆 mwenyewe kiti ameumbuka

  • @FatimabibiBibi-p5w
    @FatimabibiBibi-p5w 14 นาทีที่ผ่านมา

    Anaye udhika kwaatendo ya chiko gonga like yani ananiudhi

  • @FelistusKimanzi-f2g
    @FelistusKimanzi-f2g 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nice one 🎉🎉🎉

  • @AsameloKt-l9e
    @AsameloKt-l9e 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Uyu jasmini wa saiz mh bado sana😂😂

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Chiko msenge sana

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Zatiti hongera sana Tasha ni mume sahihi na mwenye hekima ❤❤❤ Hongera sana Chiko huna chako hapo

  • @EmmyKadzo
    @EmmyKadzo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu mpombavu mwenzangu aaah anaboesha

  • @mollelyrebecah6840
    @mollelyrebecah6840 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Aakwani chiko anafundishwa kusalimia muvie kabisa,😂

  • @FrancisBarofa
    @FrancisBarofa 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    From Kenya nawafuatilia pongezi kwenu wana busati tv kazi nzuri sana mnafanya Ila Jasmin wa Sasa si Yule wa season 1 Na season 2 hapo siwaelewi kumeendaje