Kweli kabisa 64GB unavoongea watu wengine hawawezi kuvisema. Mi naona kwa sababu viongozi wa simba hawasemi haya bora mashabiki wa simba kuandika barua fifa watume mashushushu wao ili watu waone hili. Hata utani wa jadi tena haupo ni uadui. Hamna derby timu zinanunuliana wachezaji. Mbona Liverpool na Manchester hazinunuliani wachezaji?mbona Liverpool na Everton hawauziani wachezaji? Derby ni vita. Naomba mashabiki wa simba wenye kujua sheria waandike barua caf na fifa waisaidie ligi yetu. Sisi simba ndio wa kuisaidia nchi yetu kwenye ligi
Endelea kumponza tu huyo PIMBI. Kuna kitu cha maana kweli anaongea huyo jamaa au POMBE na BANGI? Tayari kashashikwa na viongozi imebaki kusifia sana na kuponda Yanga sijui wanadhamini sijui wana wazee sijui maudhui yaani KACHANGANIKIWA KABISA.
Nakukubar Sana brother Huwa unasema ukwel tatizo la yanga inaviongozi wengi Sana ccm wanaendesha mpla kichama Kwa watu wa chache mama gsm boss ni mzawa na ananafasi kubwa Sana kwenye nchi
Kuna vitu unazungumza uko sahihi lakini unatanguliza siasa ya Mpira kabla ya kuelezea Mpira wenyewe Simba Kwa sasa wameangalia kutengeneza Timu sio kushindani Moja ya sehemu tuliofeli ni pale tulipokuwa na wachezaji wazuri na wakaanza kuuza na kuwaleta wachezaji wenye viwango duni zaidi hapo ndipo tulipoiua Simba🦁💪
Hilo suala la Udhamin wa timu ZAIDI ya Moja ni suala la KUPELEKA FIFA na Sio TFF , kinyume cha hapo ni ni kuisindikiza Yanga kuchukua Ushindi mpaka GSM atakapofilisika.
Naitua Dade nipo nsumbiji kaka pwent kabisa ukueri kabisa tunawachanga uko kueno Tanzania 🇹🇿 tofauti na huku kuetu Mozambique🇲🇿 kaka ntu umoja anazamini kampuni 5 asanteni wana Simba.
VIONGOZI WALIANGALIE HILI SWALA KWA JICHO LA TATU GSM ANATUHALIBIA SOKA LETU LINAKOSA RADHA, THAMANI NA CHACHU YA USHINDANI KABISA HII SIO SAWA KABISA TIMU TAKRIBAN 7 ZOTE ZIPO MIKONON MWAKO
Kweli Gb64 hiyo sio fair ndio maana wenzetu uraya wanasema pray fair viongozi wa Tff Kuna dalili zote za rushwa Hilo swala linatuumiza sana mashabiki hiyo Sio sawa kabisa
Rushwa imetamaki mdogo wangu. Tajiri halipizwi kodi stahiki ili pesa aipeleke yanga. Nchi inanuka Kuna kila haja Simba Sc kama Timu ya Tanzania kuhamia league ya Zanzibar. Tuwaachie wenye mapesa hadi kuvimbilwa waendelee na yao.
Aceni kumfuatilia uyo mpuuzi Gb ambapo elekea atafungwa tena tuulizane Gsm anaongoza team gani? Zinazo shiriki legue yeye Gsm nimufanya biashara sheria inamlinda uwo mvuta bangi aace upuuxi
Achen ujinga kueni na hakili maana hamjui mpira bax muache jua ktofautixha uzamini na umiliki fifa wanazuia kumiliki tim zaidi ya Moja ila sio uzamini ukishajua Hilo utaelewa kwann tff hawaingilii
ushauri kwa wazee wa simba chukueni wachezaji ukawapige dua na dawa muimu za baati ya kufunga mechi ikiwa ngumu ukipoteza chance una shusha morali ya timu
GB 64,watu wa mpira tunakuelewa. Ila hapo Utopolo wanatuogopa Simba kuwako kwenye mashindano haya. GSM anaiogopa SSC. Hivyo GSM yuko kimaslai ya Pesa sio kuendeleza soka. Hivi ikibaki Utopolo pekeyake,ligi ya ndani itapatikana vipi?
Hakuna usajiri mbovu Simba itakuwa imefanya kama wa huyu Ateba. Clip ya dakika 10 hakuna bao hata moja. Ni hatari sana, ina maana hata mabao ya kuokoteza, kuunga unga hakuna.
Ingewezekana ingeachwa yanga peke yake ili timu zingine zianzishe ligi ingine. Maana yanga haitaki ushindani inataka iwe yenyewe tu. GSM si mwanamichezo ila ni mwana maslahi.
ishu sio kusifia matokeo hafifu tuna walinda vp wachezani ili waweze kuona mwamba wa goli sawa sawa sielewi kabisa kwanini mechi za simba zinakua ngumu sana ama tff ndo wamesha jipatia njia ya kuokota faini kupitia ulozi na na unuma
Hivi TFF iko kweli? Au mwenye dharma ya michezo TZ? Maana GSM hataki ushindi na maendeleo ya soka letu hapa TZ. Kudhamini timu nyingi,zilizo katika ligi NBC ni sawa na R.... Kwenye siasa au sehemu za kazi.
Kweli kbs Brother unaongea point sn.
Excellent bro unajua sana waambie
👏👏
viongozi wa simba wawe makini sanaa hali ni mbaya
Kwer bro gsm anaalibu league
Kweli kabisa 64GB unavoongea watu wengine hawawezi kuvisema. Mi naona kwa sababu viongozi wa simba hawasemi haya bora mashabiki wa simba kuandika barua fifa watume mashushushu wao ili watu waone hili. Hata utani wa jadi tena haupo ni uadui. Hamna derby timu zinanunuliana wachezaji. Mbona Liverpool na Manchester hazinunuliani wachezaji?mbona Liverpool na Everton hawauziani wachezaji? Derby ni vita. Naomba mashabiki wa simba wenye kujua sheria waandike barua caf na fifa waisaidie ligi yetu. Sisi simba ndio wa kuisaidia nchi yetu kwenye ligi
Kweli Gb Umeongea Ukweli kabisa...Viongozi Wafatilie hili.
Endelea kumponza tu huyo PIMBI. Kuna kitu cha maana kweli anaongea huyo jamaa au POMBE na BANGI? Tayari kashashikwa na viongozi imebaki kusifia sana na kuponda Yanga sijui wanadhamini sijui wana wazee sijui maudhui yaani KACHANGANIKIWA KABISA.
Nakukubar Sana brother Huwa unasema ukwel tatizo la yanga inaviongozi wengi Sana ccm wanaendesha mpla kichama Kwa watu wa chache mama gsm boss ni mzawa na ananafasi kubwa Sana kwenye nchi
Kweri kabisa kaka umeongea point
Kuna vitu unazungumza uko sahihi lakini unatanguliza siasa ya Mpira kabla ya kuelezea Mpira wenyewe Simba Kwa sasa wameangalia kutengeneza Timu sio kushindani Moja ya sehemu tuliofeli ni pale tulipokuwa na wachezaji wazuri na wakaanza kuuza na kuwaleta wachezaji wenye viwango duni zaidi hapo ndipo tulipoiua Simba🦁💪
Upo sawa kamanda
Kwel kabisa kaka unachokisema,Yan hali n mbaya 🎉🎉🎉
Wewe mwendawazimu😮😮😮necessarily come
keweri sana kaka wambie ukweri
Simba bingwa ❤❤❤
Jamaa kaongea kwel viongozi fuatilieni ili suala mana inapoelekea tukaa miaka kumi bila ubingwa gsm anaharibu ligi yetu
Utabaki na lawama lkn October 19 unapigwa Tena 5G
Uko sawa kaka.kwa Nini mtu mmoja amiliki timu tano?unategemea Simba itafanya vzr lini?wanauziana mechi ili Simba afer,kwani tff hawaoni Hilo?
Hv ukiacha hizo lawama kwa GSM huoni pia kma yanga sa hv wana timu nzuri
@@petronillajoseph169 kwani Simba inazaminiwa na GSM? Mbona alikula 5G wanasimba acheni kutafuta mchawi Mchawi ni nyewenyewe sajilini vifaa
@@fettiemaganza1484 Hilo Hawaoni Kwasababu washabiki wengi wa Simba ni mandondocha kiukweli Simba wanavichaa
True
we mpumbavu zakaria usijifanye kiziwi hii itakuaribia pamoja na kazi nzuri uliyoifanya
Hilo suala la Udhamin wa timu ZAIDI ya Moja ni suala la KUPELEKA FIFA na Sio TFF , kinyume cha hapo ni ni kuisindikiza Yanga kuchukua Ushindi mpaka GSM atakapofilisika.
Namkubali sana gb
Wambie ukweli
Aongea ukweli
Ukosawa Gb nakubari maneno yako
Upo sahih kamanda
Udhamini wa GSM ni batili kimsingi kwani unazuia fair Competition
Ni kweli viongozi hawaoni kitu kama hiyo viongozi hawafai kama hawawezi kufuatilia hii GCM
Huyu jamaa ana akili nyingi sana viongozi wa simba amkeni
Kweli kaka sokaletu limeisha utam uzamn ganihuo timsaba hujumatupu
Naitua Dade nipo nsumbiji kaka pwent kabisa ukueri kabisa tunawachanga uko kueno Tanzania 🇹🇿 tofauti na huku kuetu Mozambique🇲🇿 kaka ntu umoja anazamini kampuni 5 asanteni wana Simba.
Acheni siasa kwenye mpira.
Huo ni woga huamini kikosi chako
Mshauri More adhamini hizo team 9 zilizobakia!
Nikweli kabisa,ndio maana Ali kamwe aliinuka kushangilia tulipokuwa tunacheza na cost
Hao GSM wachi wivu na simba yetu brother nakukubari umeongea ukweri ujumbe umewakuta hao utopolo 😂😂😂wakome
Kiukweli viongozi wa simba walifatilie hili
VIONGOZI WALIANGALIE HILI SWALA KWA JICHO LA TATU GSM ANATUHALIBIA SOKA LETU LINAKOSA RADHA, THAMANI NA CHACHU YA USHINDANI KABISA HII SIO SAWA KABISA TIMU TAKRIBAN 7 ZOTE ZIPO MIKONON MWAKO
GB64 ANA AKILI SANA
Kweli Gb64 hiyo sio fair ndio maana wenzetu uraya wanasema pray fair viongozi wa Tff Kuna dalili zote za rushwa Hilo swala linatuumiza sana mashabiki hiyo Sio sawa kabisa
GSM UMEHARIBU LIGI YA TANZANIA 🇹🇿 UMEINUNUA TFF NA ZAKARIA
Gb yawezekana asilimia 100% TFF
nao wamewezeshwe viongozi, aiwezekani malalamiko kibao wanaziba masikio, ndo mana yanga wana hakika ya maneno yao, GSM tumia akili na sio sifa kasaidie maskini
Ligi kuu Tz haipo kwa hali hii hata TFF wanakula mlungura
Unaongea point mwanaume tusaidie kaka
GB 64 haujielewi.Kila siku unasifia wachezaji baadae wakija unawakataa.
Gb64 sasa kaamua kuwa upande wa timu yake SSC naye ashaanzaa kuwa kundi la walaji
Hongera sanah mzeee kikubwa upate kula
Mbona ww upo utopolo watu hawasemi😂😂😂
Hahahahaha nkane eti kazee kajitukazima
Hii ina maana kuwa wanaaanza ligi na points 15 mkononi kutoka kwenye hizo timu zinazodhaminiwa na GSM wanauza mechi sio poa
zakaria hiyo rushwa uliyoewa na gsm itakutokea puani
😮😮😮😮
Nimekufatilia kwa muda sana kaka nikweli hii hii bodi ya ligi hawana ufaham kwani hivi hii ligi ni ya GSM au
Hayo maneno viongozi wanayasikia lakini ,huyu jamaa anasema ukweli kabisa
yapyap
Yanga miyakayote anaweza mechifitinaa ilauhalisiya hamna mpila pale
brother nimekusoma sana huu unaouzungumza ndio ukweli
We unapoint 6 zetu ,unataka uekewe penant kila mechi ,natunao wafunga kimataifa tunawadhamini
Azam yenyewe imepandikizwa watu wayanga halafu unajisifu unatimu
viongozi wa simba liangalieni hili msipofuatiliya tytandamana tuwafukuze
ukweli GSM anaharibu Mpira wetu sana ili kuwapa furaha washabiki wao
Wasiojua mpira hawawezi jua hlo hyo GSM ndo anaidogosha league yetu
Kwa kudhamini vilabu saba@@gisdenga7740
64GB Waambie tunaumia Wana simba viongozi wasijifanye hawaoni
Natamani Simba ihame tanzania
Hiii ni kazi ya CEO MNAKUMBUKA BABRA ALIVYOWANYOOSHA SAHIZI WANAFANYA KAMA HAWASIKIII
Huyu jamaaa pongo kweli
GB 64 upo sahihi endelea kulisemea hili suala la GSM kudhamini vilabu 7
Nikweli Gb Hawa viongozi wetu hawalikui Hilo? kama wameshindwa waondoke hapo.
Rushwa imetamaki mdogo wangu.
Tajiri halipizwi kodi stahiki ili pesa aipeleke yanga.
Nchi inanuka
Kuna kila haja Simba Sc kama Timu ya Tanzania kuhamia league ya Zanzibar.
Tuwaachie wenye mapesa hadi kuvimbilwa waendelee na yao.
Aceni kumfuatilia uyo mpuuzi Gb ambapo elekea atafungwa tena tuulizane Gsm anaongoza team gani? Zinazo shiriki legue yeye Gsm nimufanya biashara sheria inamlinda uwo mvuta bangi aace upuuxi
How mwenye team anadhamini team Zaid ya moja hata huhitaji D mbili kuelewa wapi tunapoenda 😢😢😢😢😢😢
Upo sahihi kaka hatimae tutakosa ata timu ya taifa wao wapinge tu
Jib mmi uwa nakufatilia sana wwe ni kiboko na mmi nakupa ahdi akitoka Ahmed Ali wwe ndio utakuwa msemaj wetu
Ww nibonge lakuma hujui mpira kbs acha mahaba msenge ww
Daa basi hamna ligi hapa
Umeongea vema Mtu mmoja amedhamin Tim sita
GSM ameribu ligi ya Tanzania ata Tff wanausika pia kwani awalioni hili inafaa takukuru wanatakiwa waingilie kati ili
Uyu jamaa yuko sawa kabisa
Uko sahihi GB yaani tff mbona hawaeleweki
Aziz K aliwafunga refa kakataa October sio mbali
Achen ujinga kueni na hakili maana hamjui mpira bax muache jua ktofautixha uzamini na umiliki fifa wanazuia kumiliki tim zaidi ya Moja ila sio uzamini ukishajua Hilo utaelewa kwann tff hawaingilii
Na Mo naye awafadhili waliobaki
ushauri kwa wazee wa simba chukueni wachezaji ukawapige dua na dawa muimu za baati ya kufunga mechi ikiwa ngumu ukipoteza chance una shusha morali ya timu
Watanzania ni maambumbu sana hasa kwenye michezo 😂😂😂😂
Simba kutoboa ngumu GSM kakwamisha mno
GB 64,watu wa mpira tunakuelewa. Ila hapo Utopolo wanatuogopa Simba kuwako kwenye mashindano haya. GSM anaiogopa SSC. Hivyo GSM yuko kimaslai ya Pesa sio kuendeleza soka. Hivi ikibaki Utopolo pekeyake,ligi ya ndani itapatikana vipi?
Sasa kama anadhamini vilabu saba Ligi kuu, kumbe ni haki yake akipewa maiki aseme YANGA BINGWA
Kwel kwa hili kwenye ligi yetu litaleta shida
Hakuna usajiri mbovu Simba itakuwa imefanya kama wa huyu Ateba. Clip ya dakika 10 hakuna bao hata moja. Ni hatari sana, ina maana hata mabao ya kuokoteza, kuunga unga hakuna.
Ingewezekana ingeachwa yanga peke yake ili timu zingine zianzishe ligi ingine. Maana yanga haitaki ushindani inataka iwe yenyewe tu. GSM si mwanamichezo ila ni mwana maslahi.
porojo fc kijana wewe unatumia guvusana inaonekana unatumia mfumo dume hata nyumbani.
Ninashaka huyu anatumia madawa kama tff mtamfwatilia nitawaona bule
Si muache kwenda uanjani kwani simba ndio mtoto watumboni wengine wa mgongoni?
Kwahiyo mwaka uliopita kimataifa tulifanya vibaya? Mashabiki wa simba wakapimwe akili
Gb 64 viongozi wa Simba fuatilien hivi vitu jamaa anavyoongea anaongea vitu vya msingi
ishu sio kusifia matokeo hafifu tuna walinda vp wachezani ili waweze kuona mwamba wa goli sawa sawa sielewi kabisa kwanini mechi za simba zinakua ngumu sana ama tff ndo wamesha jipatia njia ya kuokota faini kupitia ulozi na na unuma
Kaka tumekuelewa kumbe ligi hii ni ya gsm
Hivi TFF iko kweli? Au mwenye dharma ya michezo TZ? Maana GSM hataki ushindi na maendeleo ya soka letu hapa TZ. Kudhamini timu nyingi,zilizo katika ligi NBC ni sawa na R.... Kwenye siasa au sehemu za kazi.
Pia wapimwe mkojo wachezaji wote timu zote
kwanini mwana sheria wa simba asiwekewe faili mezani aende nalo cas kuomba ufafanuzi namna gani ligi ya Tanzania inaendeshwa
Hata mie ninamuuga mkono kwamalalamiko yake
Gsm anaharibu mpira Tanzania
GSM hajakurupuka ongeeni na tff
Tff wamekula hela ya hyo muhindi ndo maana wamekaa kimya
@@desolz3809 kwa hyo mnataka zile timu zingine zikose udhamini ili washindwe kujiendesha mpate kamsererko
Hata matokeo magumu yanaamuliwa officen yanga akicheza na black ster lazima ashinde maana Baba n mmoja GSM
Mangungu aondoke
Ni kwerii Simba na Yanga.imegeuka Ccm na Chadema sasa mpila wa Tz unataka kushuka Gb64 anaongea kweri Siasa nyingi mmmmh wabongo hao
Kwanini viongoz hawaongei au wanalidhika nahaya mambo
Huwezijua wanafaidika vipi na Dili hilo, unafikiri angekuwepo Barba Gonzales ujinga kama huo ungekuwepo? Ndio maana zikafanyika figisu ili aondoke!
Tatizo timu zetu njaa