@@MATUTUMEDIA niljuwa kuwa dem wako atajuwa ukweli n mrudiane n ukweli ujulikane kumbe sufuri Unjuwa mm movies nazionyeesha kwa video 📹 254 movies ikiisha km hujaelewa mwisho wake jaba linashuka
@@MATUTUMEDIA sio kukariri sa hatima ako ilkuwa n nin baada ya ww kujuwa dem wako anaolewa na x wake na chnye kilsabibisba hakikuwa cha ukweli mzee sometimes try 2 make story 2 be delicious 😋 sio kuzubaa na ndio mwisho kumaanisha nin tena itaendelea ama
@@antonychiro6230 KUNA MSEMO UNASEMA BAADA YA DHIKI FARAJA , ILA KUNA WATU TUNAWASHUHUDIA BAADA YA DHIKI WANAZIDI KUPATA MATESO NA KUFA, KUNA WATU LEO WANAFUNGWA BILA HATIA NA USHAHIDI UPO WAZI.. Hivyo Ilo ndo lilikuwa WAZO la muandishii .. tusubiri Sasa tuone kama itaendelea au laa boss wangu 😄😁😁🙌🙏❤️
Nawapenda sana ndugu zangu Barakalauh Fikum ❤❤
🙏❤️❤️
TU ENJOY SASA🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙏❤️
Ndugu yangu umejitaidi sana ktk kazi zako. Ila conclusion inakushinda sana.
TITLE;- NITAPONA🙏❤️
💓💓💓
🙏❤️
Bro mambo
KWEMA
@@MATUTUMEDIA ukoje
Kazi hii haikutakiwa kuisha wakati Latifa haja faamu ushenzi alicho mufanyia mwanaume anaye kwenda kumuoa, tatizo lako kubwa hilo duuuh 🥴😭
KWENYE MAISHA SIO LAZIMA UTESEKE AFU UJE KUFANIKIWA, KUNA WATU WANATESEKA MPAKA WANAKUFA NA HAWAJAWAI KUIPATA HIYO FARAJA BAADA YA DHIKI😃🙏❤️🤙
Eti masudi kavaa shati kama shuka la kimasai😂😂😂😂😂😂😂
😃🙏❤️
Finishing mbona ziro ivo napnda movies zenu
ULITAKA IISHAJE BOSII😃
@@MATUTUMEDIA niljuwa kuwa dem wako atajuwa ukweli n mrudiane n ukweli ujulikane kumbe sufuri
Unjuwa mm movies nazionyeesha kwa video 📹 254 movies ikiisha km hujaelewa mwisho wake jaba linashuka
@@antonychiro6230 TATIZO MNAKALILI
@@MATUTUMEDIA sio kukariri sa hatima ako ilkuwa n nin baada ya ww kujuwa dem wako anaolewa na x wake na chnye kilsabibisba hakikuwa cha ukweli mzee sometimes try 2 make story 2 be delicious 😋 sio kuzubaa na ndio mwisho kumaanisha nin tena itaendelea ama
@@antonychiro6230 KUNA MSEMO UNASEMA BAADA YA DHIKI FARAJA , ILA KUNA WATU TUNAWASHUHUDIA BAADA YA DHIKI WANAZIDI KUPATA MATESO NA KUFA, KUNA WATU LEO WANAFUNGWA BILA HATIA NA USHAHIDI UPO WAZI.. Hivyo Ilo ndo lilikuwa WAZO la muandishii .. tusubiri Sasa tuone kama itaendelea au laa boss wangu 😄😁😁🙌🙏❤️