Chapaa - Abbas Kubaff

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • Chapaa by Kenyan hip-hop star Abbas Kubaff
    Lyrics
    Mi nalike chapaa vile we u-like chapaa (yeah)
    Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar (round hii niko serious)
    (Tshazi twende kazi, ye-ye-ye-yeah)
    Verse 1
    Doobeez ni mchizi mi ni msanii toka C-vo
    Sisikiki sishikiki stishiki na vitisho
    Naenda job na jeans juu nimevalia t-sho
    Na tangu kitambo mi huwa, hivo-hivo
    MC’s wana ji-do kumbe hawan hata dough
    Dough zimefanya ati watu mapembe hata flow
    Traffic haijambamba mzeya, basi Mbona enda slow?
    Nairobi ukisleki basi jo utakuta doorUtakutwa na mtu tisa ukitoka Carnovore
    Ngoma kwenye kichwa mzeya, eti juu
    Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar!
    Chorus
    Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
    Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
    Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
    Beba bass Tsahzi, lemme get round
    Verse 2
    Nafika coast ku-cruise, ndani ya 4 by 4
    Naenda kupiga show, CDs marker na soo
    Mfuko nimesota maze jo niko na soo
    Lakini haina noma, hope mzeya niko po-a
    Seti hii kwa player juu kapuka imenibo
    Tshazi twende kazi wacha jo niwapeleke slow
    Wacha niwa-show jinsi ya kumake dough
    Stage nikifika nipe mbili za vodo
    Oh-oh-oh cheki ma-fovo
    Cheki hizo macho jo mzeya nipige show
    Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
    Chorus
    Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
    Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
    Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
    Beba bass Tsahzi, lemme get round
    Bridge
    Watu wanasemanga mi nakaa tu msee wa mtaa
    Ni kama sina chapaa (We umesota!)
    Wengine wanasemanga mi nakaa tu ka jamaa
    Hawezi kuwa star (Abbas umesota!)
    Watu wanasemanga mi nakaa tu msee wa mtaa
    Ni kama sina chapaa (We umesota!)
    Wengine wanasemanga mi nakaa tu ka jamaa
    Hawezi kuwa star (Abbas umesota!)
    Chorus
    Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
    Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
    Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
    Beba bass Tshazi, lemme get round

ความคิดเห็น • 109

  • @jmg1001
    @jmg1001 2 หลายเดือนก่อน +4

    RIP Tshazi 🙏 I met him akiwa usiu n the moment I heard his beats nilijua atafanya kazi. He will be missed.

  • @duncanbarasa2185
    @duncanbarasa2185 4 ปีที่แล้ว +20

    Naenda job na jeans juu nimevalia tisho....🔥🔥

  • @hehonjiiri4276
    @hehonjiiri4276 4 หลายเดือนก่อน +7

    2024 bado iko sawa

  • @FLOSSIN.MAUWANO
    @FLOSSIN.MAUWANO หลายเดือนก่อน

    na urudishe nywele wewe unakuanga mbaya sana ukiwa na nywele 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lewiswaocs
    @lewiswaocs ปีที่แล้ว +4

    Abbas you will remain the GOAT of kenyan hiphop.

  • @frankomondi4993
    @frankomondi4993 2 ปีที่แล้ว +2

    Me nalike chapaa Abbas predicted the future

  • @karimikagwe9263
    @karimikagwe9263 2 หลายเดือนก่อน +1

    #Tshazitwendekazi 🕊 ❤

  • @reggiekimwele8995
    @reggiekimwele8995 9 ปีที่แล้ว +27

    i still like this song no matter how old it is.i think its fresh #abbas_onpoint

  • @oketchpedro9408
    @oketchpedro9408 4 ปีที่แล้ว +6

    wapi like ya 2020

  • @020606675
    @020606675 2 หลายเดือนก่อน +1

    0:13 RIP TSHAZI

  • @gillianmaina9623
    @gillianmaina9623 5 ปีที่แล้ว +11

    One of the illest mcee in the 254. 12th April 2019.🔥🔥🔥

  • @everymonies
    @everymonies 2 ปีที่แล้ว +5

    ABBAS after hearing Weezy's MAKE IT RAIN :Yeeeeeeeeeeeeeeeet... Skeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeet...

  • @Maleeq14
    @Maleeq14 9 ปีที่แล้ว +10

    Rhyme Scene Do Not Cross. G.O.A.T!

  • @Nabalayo
    @Nabalayo 4 ปีที่แล้ว +7

    OMG I loved this song as a child!!! and what a valuable lesson on what to do with money lol

  • @RastaPickney
    @RastaPickney 8 ปีที่แล้ว +7

    Cheki hizo macho joo mzeiya utasema oooh....Dope!

  • @cobestke6762
    @cobestke6762 8 หลายเดือนก่อน +2

    In highschool I used to go word for word this one, I felt so cool. Oh and all of his songs

    • @NasNasio999
      @NasNasio999 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hata saa hii bado word for word, and it still feels cool😂😂😂

  • @odongocronk9693
    @odongocronk9693 4 ปีที่แล้ว +2

    Raaa!! Doobeez made my childhood.

  • @Abantuke
    @Abantuke 2 ปีที่แล้ว +6

    This song came out when I was in class 2, I thought they were referring to chapatti 😂😂

    • @evallyhood254
      @evallyhood254 ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅

    • @lewiswaocs
      @lewiswaocs ปีที่แล้ว +1

      We ni njaa ilikuwa inakusumbua😅😅😅😅

    • @wairimuw7813
      @wairimuw7813 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @maxwellmaina4195
    @maxwellmaina4195 ปีที่แล้ว

    Seti hii kwa player juu kapuka imeniboo💥

  • @danielmworia1240
    @danielmworia1240 4 ปีที่แล้ว +1

    Me nazipeleka bank ukizipeleka bar...#only_abbas

  • @ElijahEljay
    @ElijahEljay 5 ปีที่แล้ว +15

    Still banging to the legend Abbass in 2019

  • @kennawiti5233
    @kennawiti5233 5 ปีที่แล้ว +2

    When beats married the lyrics and the rhymes.. Oh my good olden days... Abbas, the industry misses you alot 💃 🎶

  • @johnmagwe2099
    @johnmagwe2099 ปีที่แล้ว

    We were busy growing super fast 😢..someone take me back to old good days.

  • @elphassimiyu6389
    @elphassimiyu6389 7 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @3kgs984
    @3kgs984 3 ปีที่แล้ว

    Imeweza kwa sanaa kaka abas KENYA 4LYF WAPE NYENGINE KALI KAKA

  • @mikekaris4229
    @mikekaris4229 5 หลายเดือนก่อน

    Nazipeleka bank ukizipeleka bar🔥🔥💯

  • @digitalnormad9570
    @digitalnormad9570 10 หลายเดือนก่อน

    Amazing work still vibing 2023.

  • @BrianMbololo
    @BrianMbololo ปีที่แล้ว +1

    Legend kwa game

  • @Gikash
    @Gikash ปีที่แล้ว +1

    Rehé mbesha Karî kî we

  • @alexmasinde2308
    @alexmasinde2308 ปีที่แล้ว

    Watu wanasemanga nakaa kaa msee wa mtaa nikama sina chapaa...

  • @erickpapai3466
    @erickpapai3466 3 ปีที่แล้ว +1

    Turning 28, bado nalike chapaa

  • @owenrivald
    @owenrivald 13 วันที่ผ่านมา

  • @deniskarina6540
    @deniskarina6540 ปีที่แล้ว

    Eish manzeee🔥🔥🔥hii song ikitokea nlikuwa katoto aki😂but still a banger!!!🔥

  • @hoseakibet8396
    @hoseakibet8396 4 ปีที่แล้ว

    Still fevorite...Abbas dobeezzism...Kang kang

  • @G_dawgtv
    @G_dawgtv ปีที่แล้ว

    Uyu mzalenda saa ii 2023 anahitaji kuchangiwa chapaa juu life ilimkoroga

  • @reubenbichage125
    @reubenbichage125 6 ปีที่แล้ว +3

    These were the days. Wachana na story za Willy Poze

  • @deusmortuorum1173
    @deusmortuorum1173 2 ปีที่แล้ว

    Abbas we need this remastered bana

  • @asvprico6717
    @asvprico6717 2 ปีที่แล้ว +1

    this video should be mastered in HD still a banger

  • @lucywaks4266
    @lucywaks4266 7 หลายเดือนก่อน

    This is real rap... where did abass go Leo nimeskiza mix hii ngoma ikakam up and am like why do I know this song and where did the artist go

  • @murulimuhande
    @murulimuhande 3 ปีที่แล้ว

    Rudi studio bana. We need more music

  • @edwinojiambo3899
    @edwinojiambo3899 2 ปีที่แล้ว

    This was the second trap song in Africa

  • @moshe606
    @moshe606 5 ปีที่แล้ว +1

    2019 Bado tunalike chapaa ata wakigeuza noti

  • @moesadrudin599
    @moesadrudin599 ปีที่แล้ว +1

    AGOGO Uko wapi

  • @davisnyongesa6171
    @davisnyongesa6171 2 ปีที่แล้ว

    All hail the 👑 king

  • @poppermerline2756
    @poppermerline2756 3 ปีที่แล้ว

    Hehe this was our hiphop/crunk masters

  • @ianmaina7401
    @ianmaina7401 4 ปีที่แล้ว +3

    Timeless music

  • @adammchomvu9485
    @adammchomvu9485 8 หลายเดือนก่อน

    2024 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kubaffff... Still banging

  • @MonicahMburu-g9i
    @MonicahMburu-g9i 11 หลายเดือนก่อน

    Hii ngoma ni newww mahn❤

  • @victormulwa7923
    @victormulwa7923 5 ปีที่แล้ว +3

    Still listening to this and it's still dope

  • @lilianmutua2910
    @lilianmutua2910 3 ปีที่แล้ว +1

    Doobiz...still loving the vibe

  • @susanmagana2134
    @susanmagana2134 3 ปีที่แล้ว +2

    Never gets old

  • @jenrayentreprises5359
    @jenrayentreprises5359 5 ปีที่แล้ว +3

    still a banger in 2019

  • @susanmagana2134
    @susanmagana2134 3 ปีที่แล้ว

    Baby❤

  • @Engineer-z6v
    @Engineer-z6v 2 ปีที่แล้ว

    Greatness ✌️💯

  • @snazzyfranz1874
    @snazzyfranz1874 3 ปีที่แล้ว

    Buda umepotea sana

  • @RapperThanMost
    @RapperThanMost 3 ปีที่แล้ว

    27th January 2021 bado nko hapa

  • @tekashifinest
    @tekashifinest ปีที่แล้ว +3

    who is here 2023 mahn the memories

  • @janenyamu1690
    @janenyamu1690 ปีที่แล้ว

    this song takes me back!! still a banger💣💣

  • @hopecitychronicles937
    @hopecitychronicles937 หลายเดือนก่อน +1

    Who else is doing this today...

  • @tonymwawasi4914
    @tonymwawasi4914 8 หลายเดือนก่อน

    Legend 🌟

  • @4tf-forthefamily
    @4tf-forthefamily 3 ปีที่แล้ว +1

    2021😂😂❤️

  • @FLOSSIN.MAUWANO
    @FLOSSIN.MAUWANO 7 หลายเดือนก่อน

    umenisaidia sana kubamba mahali umenitoa ni most high tu anajua nakuombea mema ndugu yangu

  • @Christian39c
    @Christian39c ปีที่แล้ว

    The song was beyond its time manze

    • @lewiswaocs
      @lewiswaocs ปีที่แล้ว

      For sure,he should comeback

  • @rellgee2546
    @rellgee2546 3 ปีที่แล้ว

    Tin tin

  • @doncorleon9
    @doncorleon9 10 หลายเดือนก่อน

    Abbass ni Mrude, Kwani utadoo?

  • @jumaraha
    @jumaraha 2 ปีที่แล้ว

    Me like. Chapa hadi leo 2022
    wapi like za 2022 hapa?

  • @vincentndirangu8496
    @vincentndirangu8496 ปีที่แล้ว

    Abbas bana! 2023

  • @lafemmerowena
    @lafemmerowena 8 ปีที่แล้ว +3

    stishiki na vitishooooo!!!! hivo hivoooo....!!! lol

  • @tallakiss
    @tallakiss 5 ปีที่แล้ว

    This song! What!!!!!

  • @jongitau2612
    @jongitau2612 3 ปีที่แล้ว

    The baddest 😎😎😎
    Crunk at its finest💥

  • @cypriankarani7217
    @cypriankarani7217 8 หลายเดือนก่อน

    Jean na tisho juu tangu kitambo nakuwanga hivo.
    Tuma paybill mchizi

  • @jacksonmwosya9490
    @jacksonmwosya9490 5 ปีที่แล้ว

    Still bump this to my stereo. His the KING. Love fro 254

  • @richardcastro2386
    @richardcastro2386 6 ปีที่แล้ว

    Man nilienda sana hii ase

  • @obirikaevans6084
    @obirikaevans6084 4 ปีที่แล้ว

    GOAT

  • @beezywillis3375
    @beezywillis3375 5 ปีที่แล้ว +2

    2019

  • @johnmwangi7088
    @johnmwangi7088 5 ปีที่แล้ว

    2018 and still listening, abbas kubaff hii scene ni yako

  • @SirB1
    @SirB1 4 ปีที่แล้ว

    Me nazipeleka bank mkizipeleka bar

  • @scottvanpelt1729
    @scottvanpelt1729 9 ปีที่แล้ว +1

    0:39 , i see kash D

  • @joeymutisya380
    @joeymutisya380 6 ปีที่แล้ว +16

    2022 anyone?

  • @jamaatuu
    @jamaatuu ปีที่แล้ว

    My problem ni Chapa unilike,pia Bar 😁

  • @shabz254
    @shabz254 5 ปีที่แล้ว

    2019 still listening aki

  • @stevensonmcdonald2860
    @stevensonmcdonald2860 7 ปีที่แล้ว +1

    mi nalike chapaa

  • @Mavushing.
    @Mavushing. 5 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @steffimacharia4776
    @steffimacharia4776 6 ปีที่แล้ว

    Freshi

  • @allanochoro6453
    @allanochoro6453 6 ปีที่แล้ว +1

    abbas you're a fckn legend G!

  • @Amazing.millie
    @Amazing.millie 8 ปีที่แล้ว +1

    💕💕💕

  • @richardcastro2386
    @richardcastro2386 6 ปีที่แล้ว

    Still listen from tz

  • @kelvinngugi9395
    @kelvinngugi9395 4 ปีที่แล้ว

    Tangu kitambo Yeye huwa hivo hivo

  • @Yowbie47
    @Yowbie47 ปีที่แล้ว

    2022 anyone?

  • @FLOSSIN.MAUWANO
    @FLOSSIN.MAUWANO หลายเดือนก่อน

    Graffiti za kubamba

  • @evansmwirigi7648
    @evansmwirigi7648 ปีที่แล้ว

    2023 Lets Get It

  • @ayotadhiambo
    @ayotadhiambo 5 ปีที่แล้ว +4

    You can't make this stuff up.

  • @lainzkush2619
    @lainzkush2619 7 ปีที่แล้ว

    2017 dubez ukua juu

  • @NasNasio999
    @NasNasio999 9 หลายเดือนก่อน

    Me nazipeleka bank ukizipeleka bar😤😤

  • @ayotadhiambo
    @ayotadhiambo 5 ปีที่แล้ว +1

    You can't make this stuff up.