DW Kiswahili Habari za Ulimwengu| Mei 08, 2024 | Mchana | Swahili Habari leo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Mei 08, | Mchana | Swahili Habari leo | Marekani yazuia usafirishaji wa silaha kwenda Israel kutokana na wasiwasi juu ya oparesheni ya Rafah. #dwkiswahili #HabarizaUlimwengu #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
Mungu tunusuru
Marekani wanadanganya dunia
Wanapereka siraha hao magaidi lakini wanadanganya dunia walisitisha kupereka silaha
Ni kweli, wale ni wanafiki sana. Na ndiyo maana msemaje amekataa kutajwa jina maana amedokezwa tu ajifanye amevujisha lakininkwabhakika mzigo umeshafika Israel na ndiyo unaotumika sasa kuivamia Rafah. Mungu anajia hatima ya wapalestina maana ni mayatima
@@hamisisalum6116 kwa ukweri wa palesistine ni mayatima dunia inakaa kimya warabu wanasaliti wa palesistine wanashirikiyana na wauaji