Dr.Elie V.D Waminian - (Sababu Za Migogoro) Sehemu Ya Saba

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 29

  • @raphaelmaloya4969
    @raphaelmaloya4969 ปีที่แล้ว +2

    I'm inspired ,,,baraka za Bwana ziwafuate

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore 5 ปีที่แล้ว +3

    Maneno yako yote ya kweli na yenye busara. Ningekuwa napata maelekezo haya kabla ya ndoa yangu leo ningekuwa tofauti na mwenye afya nzuri lakini nilimuabudu mume na kumjali sana bila yeye kujali na mwiahowe nikaishia na maradhi ya cancer na kuzeeka haraka. Namshukuru mungu kwa kunipa imani kubwa na subira mpaka nikapona na sasa ndio nimeamka kutoka kwenye usingizi mzito wa ujinga na najihisi mwenye furaha na nguvu baada ya kufatilia kipindi chako. Mungu akubariki daima na akujaalie afya nzuri na umri mrefu

  • @richardmercio3855
    @richardmercio3855 7 ปีที่แล้ว +7

    Dr Elie Mungu akupe maisha marefu kwan busara zako na mafundisho yako yamefanya maisha yangu nafamilia yangu kua rahisi na furaha muda wote U ARE THE GREAT PSYCHOLOGIST AND PROMINANT PHILOSOPHER

  • @mjedengwapoizon8726
    @mjedengwapoizon8726 7 ปีที่แล้ว +1

    Naendelea kunufaika na kipindi cha chomoza , asante studio pamoja na Dr

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 5 ปีที่แล้ว

    Dr Ellie your soo hamble

  • @godwingwalugano2271
    @godwingwalugano2271 7 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana Anko Jimmy kwa kutuwekea na huku kwa youtube
    maana wakati mwingine tunashindwa kubalance mda wa kwenda kanisani

    • @chomozatv_
      @chomozatv_  7 ปีที่แล้ว +1

      Godwin gwalugano asante kwa comment yako na karibu sana Jet Tv Tz

    • @godwingwalugano2271
      @godwingwalugano2271 7 ปีที่แล้ว

      Jet Tv Tz
      Asante.

  • @rehemakilibwa5699
    @rehemakilibwa5699 7 ปีที่แล้ว

    Elim imetulia Sana mbarikiwe sana

  • @isackaagatoni8706
    @isackaagatoni8706 6 ปีที่แล้ว

    duuu! huyu nabii kweli maan anayonena kam yesu

  • @oman3527
    @oman3527 6 ปีที่แล้ว

    Nimeielewa vizur sana hii yadreva hashuki ila anakazi yakushusha watu vituoni kwao waendako

  • @barick
    @barick 7 ปีที่แล้ว

    Ameni

  • @greenermichael737
    @greenermichael737 7 ปีที่แล้ว

    Tunanufaika na Mume wangu

  • @kivinaareforever
    @kivinaareforever 5 ปีที่แล้ว

    Jimmy mrudishe doctor Elly

  • @albinoentreprises2176
    @albinoentreprises2176 5 ปีที่แล้ว +1

    DR. NI MUHIMU TUTENGENEZE MAZINGIRA YA KUSAMBAZA HEKIMA ZAKO HIZO HASA KATIKA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI ZILIZO NA MIGOGORO MBALIMBALI.

  • @williamkavindi8520
    @williamkavindi8520 7 ปีที่แล้ว +2

    NIMETAZAMA VIPINDI VYOTE VYA HUYU DR. HAKIKA YUPO SAFI. NITAENDELEA KUFUATILIA.

    • @chomozatv_
      @chomozatv_  7 ปีที่แล้ว

      Tuendele kubarikiwa wote Kaka William Kavindi. Asante sana kwa comment yako

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 7 ปีที่แล้ว

    Napenda sana kuwafuatilia

    • @norbetdaudi5533
      @norbetdaudi5533 5 ปีที่แล้ว +1

      Huyu Dr ni kiboko akili isiyo fikika uelewa wa hali ya juu sana HIGH Q

  • @justinwashington823
    @justinwashington823 7 ปีที่แล้ว +2

    Anko Jim mbona sehemu ya nane ya 27/8/2017 hamjaiweka hd Leo na mnachelewesha sana kurushia humu vipande ivyo jamani tatizo ni nini hasa?

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 7 ปีที่แล้ว

    Asanite kwa maelezo mazuri na mafundisho mazuri

  • @tommboya7636
    @tommboya7636 7 ปีที่แล้ว +1

    Dr unastahili heshima na sio kupewa heshima

  • @jedlacklumato4746
    @jedlacklumato4746 7 ปีที่แล้ว

    pamoja xana

  • @janetsaidi8272
    @janetsaidi8272 7 ปีที่แล้ว

    Mafuzo mazuri sana

  • @mary.matullu8279
    @mary.matullu8279 5 ปีที่แล้ว

    Mafundisho mazuri sana.
    Swali langu ni utafanya mini iwapo mume/mke ana ku-abuse physically?

  • @tommboya7636
    @tommboya7636 7 ปีที่แล้ว

    Dr ntafanya nini kama nimeamua kuingia ktk mahusiano nikiwa na kusudi la kufunika upungufu wa mwenzangu, lkn yeye haonyeshi hali ya kufunika udhaifu wangu(kuwa na umoja japo nimeamua nimetumia mbeleko nyingi kufunika udhaifu wake lkn anachana hizo mbeleko

  • @georgechiboni5189
    @georgechiboni5189 7 ปีที่แล้ว

    mbona kipindi cha leo cha Dr elly sikioni

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda3952 6 ปีที่แล้ว

    huyo kaka mfupi apunguze makeke sisi tumusikilize doctor

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda3952 6 ปีที่แล้ว

    jamani nataka niwe members wako Hata kwa K uchangia chochote maana mambo mwaaaa!!!