KARANGA ZA BIASHARA RAHISI SANA KILO NANE /PEANUT BURGER

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Karanga /Peanuts 8k
    Flour/Unga 3kg
    Sugar/Sukari 2kg
    Cocoa Powder 1tbsp
    Hiliki/cardamon 1tsp
    vanilla 1tsp
    Baking Powder 1tsp
    Water 2 and 1/2 cups
    ‪@mziwandabakers8297‬

ความคิดเห็น • 33

  • @angelgideon1622
    @angelgideon1622 หลายเดือนก่อน +1

    Asante, nimejifunza kitu kipya.

  • @fatmakhalifa5029
    @fatmakhalifa5029 6 วันที่ผ่านมา

    Shukran tumejifunza

  • @dorcaslundumen4370
    @dorcaslundumen4370 3 หลายเดือนก่อน

    Asante umenifundihs kitu❤

  • @raidakalukwela5502
    @raidakalukwela5502 ปีที่แล้ว

    Waoh! Asante nilizoea mayai nimejifunza 🙏

  • @JustinaKishiwa-pt8vr
    @JustinaKishiwa-pt8vr ปีที่แล้ว

    Hongera kipenz nimejifunza kitu kipya

  • @RoidaPeter-eh1wo
    @RoidaPeter-eh1wo 9 หลายเดือนก่อน

    Nizur sana mimi ndio nimeona

  • @MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
    @MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv ปีที่แล้ว

    Mashaallah Mashaallah

  • @sialimo5688
    @sialimo5688 9 หลายเดือนก่อน

    nzuri

  • @GladMasaki-io5xy
    @GladMasaki-io5xy 9 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa kutusaidia swali langu mbona mimi nikiandaa zinabaki wazi upande mwingine na zinakua hazina sura ya kuvutia lakini ni tamu,nakosea wapi?😢

  • @JenifaThomas-j3y
    @JenifaThomas-j3y 11 หลายเดือนก่อน

    Yani barikiwa mmy

  • @JoyceNnko-x4b
    @JoyceNnko-x4b 4 หลายเดือนก่อน

    Asante samahani hii ndo inaitwa karanga za diamond

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 ปีที่แล้ว

    Mashallah pishi jipya kupata chchote coz vtu vyimekuwa ghali c mchenzo asnte muziwada

  • @graceriwa2592
    @graceriwa2592 ปีที่แล้ว

    Hapo kweny kufunga unapata sh ngap

  • @henryiddy6548
    @henryiddy6548 ปีที่แล้ว

    Biashara nzuri sana

  • @blandinamhando775
    @blandinamhando775 ปีที่แล้ว

    Nahitaji mwenye mashine,nisage, za kwangu! Dada nisaidie

  • @giftshedrack9756
    @giftshedrack9756 ปีที่แล้ว

    naweza kuchoma kwa gas au ni nzuri zaidi na kuni?

  • @kitty-259
    @kitty-259 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sama. Tafadjali mashini ya kufunga vikokoto nitapata wapi?

  • @frankmlwale5527
    @frankmlwale5527 ปีที่แล้ว

    Mnapatikana wapi Mziwanda !

  • @nasmakampa2649
    @nasmakampa2649 ปีที่แล้ว

    Hizo karanga zilitoa packets ngapi??

  • @LovenessKilinga
    @LovenessKilinga 11 หลายเดือนก่อน

    Umetumia sukari kiasi gani kipenzi

  • @KulwaDalali-re1ol
    @KulwaDalali-re1ol 8 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kufahamu kilo 5 nina gharama kiasi gani mtaji

  • @RehemaIddmzilai
    @RehemaIddmzilai ปีที่แล้ว

    Naweza kuweka Maziwa ya UNGA?

  • @ChantalBashile
    @ChantalBashile 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba unifundishe Bila sukari

  • @gretakikoti6620
    @gretakikoti6620 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba yako jamani au fungua darasa whatsup tuwe tunalipia dear

  • @jumaazizi6109
    @jumaazizi6109 11 หลายเดือนก่อน

    Me nikajua unakaanga kwaza karanga

  • @EpikaAnastasius
    @EpikaAnastasius ปีที่แล้ว

    Nahitaji kuanza kufanya biashara ila sijui vipimo

  • @frankmlwale5527
    @frankmlwale5527 ปีที่แล้ว

    Jamani Nashukuru kwa Elimu mnayotupa, nisaidieni no yenu ya simu ya mkononi Niko interested na mambo ya mikate, plz plz nsaidieni no ya simu

  • @macrinadallu5462
    @macrinadallu5462 ปีที่แล้ว

    Sikuwahi kujua hii recipe nitajaribu mm hupika hupika karanga za mayai ,nitajaribu hii nashukuru sana mziwanda barikiwa

  • @ashajuma3228
    @ashajuma3228 ปีที่แล้ว +1

    Nina karanga mpya pia nauza kilo elf 3500 Kama utahtajiii