Nakupendaga masanja unajua kutofautisha kazi na uchungaji.watu wanasagia oo! siyo mtumishi swali langu kwani mwanajeshi aliyeokoka cku akipelekwa vitani hataua maadui kwa vile yeye ni mtumishi please guys growup.
Ubarikiwe blandina wangu. Na mimi namuelewaga masanja mpaka basi. Mungu ndiye anajua roho ya kila moja. Binadamu kazi yao kuhukumu
@@xkingx8041 emen,emen in Jesus name tubarikiwe wote tunaoamini kwamba sisi siyo malaika na sisi siyo watakatifu.
Kama umesikia DJ ameachia ngoma ya chibu!!!
Gonga like
ROMA big up sana umejiongeza kwenye SADAKA hapo nimekbal.
Jamaniii siubarikiwe sana mtumishi wa mungu
🤣🤣🤣🤣 kuchenga naongeza siku za kuishi..masanja thumbs up 👍
Masanja mduanzi sana we jamaa...unaitukuza sana marekani utadahani ni pepo... labda nikujuze tu bro New York ndio jiji lenye panya wengi sana duniani kuliko majiji makubwa mengine.
👏👏👏👏👏🙌🙌ameeeeeeen🙋🙋🙋🙋barikiwa🤔🤔
Hahaha! Seems like going to U.S.A is like going to heaven
Mzee wa vituko!!! Shkamoo kaka Masanja
Hongera kwa talanta uliyonayo Masanja
Asante masanja TZ kumenoga saaaaana soon visa zitageuka from abroad to hereee.trust me you're all welcome.
Home wanatunza sana Masanja. Marekani hawatunzi
Daah masanja nomaaa nakukubal kwa kazi zako
Napenda saaaaaaana kaz ya huyu jamaa,, natamanigi saaaana aniunge
Naona chuga yuko USA KUBWA KUTOKA USA NDOGO
Khaaa masanja eti baridi ya makambako mwee
Broo masanja umekandamiza kwer kwer
Nakupendaga bure...Emma.Barikiwa!
Nyimbo ya taifa hio, wish one day nihudhurie
Mi namiss komedi zako masanja
Noma kaka unawakilisha country yetu
Hahahaha masanja amna ela za chenj chenj
Masanja una kipawa cha kubariki mioyo ya watu Mungu azidi kukuinua toka kenya nipo Qatar ety njoo na noti😂😂😂😂😂
Hebu nipeni lineup ya kufika USA na mimi nitoke uarabunii
😁😁jmn masanja sahani Kama imeoshwa
Mbarali to the world
Chali R katishaa kwakunyosha mkono
Masanja kanda miza sana
I inspere brow
Ha ha ha haaaaa marekani ilivamiwa na wapiga hera wenye njaa
Happy nation...
Heshima yako masanja
Sawaa
Masanjaa bhana
Unakandamiza kweli
Nyevadi vemasanja whihesa ewe vuli bhanaaaaa
Roma hasiende tena yani kakaa kiboya sana sijui nani amempeleka uko
Masanja fighter
Masanja udlighe shewihenya apo uve hatari sana
Kwapa linavuja masanja
Watu wanajua kutafuta pesa hatary
Kusema ukweli nani ametumia ile sahani😂😂😂😂😂😂😂😂 i die ooh! ROMA changamkaaa
Mungu azikukubariki bro
Mbona dalas tu tuliopo Hawai’i na LA tuna ishije
😂😂 Masanja unatisha
Hahaha ila zaidi ya commedy
Masanja unaisifia Sana Marekani hata Kama ni biashara ,,wakati wao wanatuita shit hool
Ibrahim Gwasma! SSUSA tunatangaza Lugha yetu ya Kiswahili! Lazima sisi tutee Lugha yetu na kitaeleweka tu!
Mtumishi eti naishi Mbinguni hahaaaa😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿♥️♥️
massanja nishiiida
Kama uanataka uwe mchungaji wakweli uzo umbwe mbwe zako
Chali ya chuga hio koti la njano
Eti lala na mtu asiyeongea kiswahili
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛💛
Msanja
onp
Good news
Ahsante sana. Waambie Rafiki zako watazame hii Video! Swahili Society tupo juu!
Mungu yopo huko huko kushoto
Nimeipenda sana hiyo sussa Jamani,Huku Dubai wabongo tunakutana wapi na lini?
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪
Nipeni hata mmi jamani nafasi nije
Neo colonialism
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kama umeiona chali ya R IPO kwa pemben na mkot wake wanjano tia like
ayee