ความคิดเห็น •

  • @francemwanawesa5966
    @francemwanawesa5966 4 ปีที่แล้ว +17

    Kama umeiona chali ya R IPO kwa pemben na mkot wake wanjano tia like

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 ปีที่แล้ว +5

    Nakupendaga masanja unajua kutofautisha kazi na uchungaji.watu wanasagia oo! siyo mtumishi swali langu kwani mwanajeshi aliyeokoka cku akipelekwa vitani hataua maadui kwa vile yeye ni mtumishi please guys growup.

    • @xkingx8041
      @xkingx8041 4 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe blandina wangu. Na mimi namuelewaga masanja mpaka basi. Mungu ndiye anajua roho ya kila moja. Binadamu kazi yao kuhukumu

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 ปีที่แล้ว

      @@xkingx8041 emen,emen in Jesus name tubarikiwe wote tunaoamini kwamba sisi siyo malaika na sisi siyo watakatifu.

    • @xkingx8041
      @xkingx8041 4 ปีที่แล้ว

      @@blandinamnyinga8318 kabisa

  • @jamesmpako8408
    @jamesmpako8408 4 ปีที่แล้ว +2

    Kama umesikia DJ ameachia ngoma ya chibu!!!
    Gonga like

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 4 ปีที่แล้ว +4

    ROMA big up sana umejiongeza kwenye SADAKA hapo nimekbal.

  • @user-pq9fd5bt5x
    @user-pq9fd5bt5x 5 หลายเดือนก่อน

    Jamaniii siubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @gauedwin1960
    @gauedwin1960 4 ปีที่แล้ว +3

    🤣🤣🤣🤣 kuchenga naongeza siku za kuishi..masanja thumbs up 👍

  • @rasheedmoody4408
    @rasheedmoody4408 4 ปีที่แล้ว +3

    Masanja mduanzi sana we jamaa...unaitukuza sana marekani utadahani ni pepo... labda nikujuze tu bro New York ndio jiji lenye panya wengi sana duniani kuliko majiji makubwa mengine.

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 4 ปีที่แล้ว

      Dogo utapasuka kwa roho mbaya

    • @lydiaaruba6670
      @lydiaaruba6670 4 ปีที่แล้ว

      @@davidkawesa3594 yani namshangaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @millicentakinyi5504
    @millicentakinyi5504 ปีที่แล้ว

    👏👏👏👏👏🙌🙌ameeeeeeen🙋🙋🙋🙋barikiwa🤔🤔

  • @patrickmbughi1833
    @patrickmbughi1833 4 ปีที่แล้ว +4

    Hahaha! Seems like going to U.S.A is like going to heaven

  • @DARAJANI_TV
    @DARAJANI_TV 4 ปีที่แล้ว +11

    Kama umemuona beneficial gonga like

  • @augusttemu8968
    @augusttemu8968 4 ปีที่แล้ว +3

    Mzee wa vituko!!! Shkamoo kaka Masanja

  • @karimhakizimana5471
    @karimhakizimana5471 4 ปีที่แล้ว +2

    Napenda ilo tukio swahil society 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @meshackmulokozi3099
    @meshackmulokozi3099 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera kwa talanta uliyonayo Masanja

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante masanja TZ kumenoga saaaaana soon visa zitageuka from abroad to hereee.trust me you're all welcome.

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂 itatokea ila sio kwa sasa. Ila tunafanya vzr.

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 ปีที่แล้ว +1

    Home wanatunza sana Masanja. Marekani hawatunzi

  • @ashuramtangi8317
    @ashuramtangi8317 3 ปีที่แล้ว

    Daah masanja nomaaa nakukubal kwa kazi zako

  • @ngosha1tv321
    @ngosha1tv321 4 ปีที่แล้ว

    Napenda saaaaaaana kaz ya huyu jamaa,, natamanigi saaaana aniunge

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 4 ปีที่แล้ว +3

    Naona chuga yuko USA KUBWA KUTOKA USA NDOGO

  • @kipipakipipa5050
    @kipipakipipa5050 4 ปีที่แล้ว +1

    Khaaa masanja eti baridi ya makambako mwee

  • @barakmazigo8945
    @barakmazigo8945 4 ปีที่แล้ว +3

    Broo masanja umekandamiza kwer kwer

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 4 ปีที่แล้ว

    Nakupendaga bure...Emma.Barikiwa!

  • @denimk7660
    @denimk7660 4 ปีที่แล้ว

    Nyimbo ya taifa hio, wish one day nihudhurie

  • @lucasmwinuka3838
    @lucasmwinuka3838 4 ปีที่แล้ว +10

    Nimesikia MAKAMBAKO hapoo nani kasikia kama Mimi

  • @peacerumanyika2073
    @peacerumanyika2073 4 ปีที่แล้ว +2

    Mi namiss komedi zako masanja

  • @thomascountry2353
    @thomascountry2353 4 ปีที่แล้ว

    Noma kaka unawakilisha country yetu

  • @sanifhesro2169
    @sanifhesro2169 4 ปีที่แล้ว +3

    Hahahaha masanja amna ela za chenj chenj

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 ปีที่แล้ว +1

    MASANJA NAPENDA SARAKASI ZAKO SAAANA 🇰🇪🇨🇿

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 4 ปีที่แล้ว

    Masanja una kipawa cha kubariki mioyo ya watu Mungu azidi kukuinua toka kenya nipo Qatar ety njoo na noti😂😂😂😂😂
    Hebu nipeni lineup ya kufika USA na mimi nitoke uarabunii

  • @bimaisarankamia4153
    @bimaisarankamia4153 4 ปีที่แล้ว

    😁😁jmn masanja sahani Kama imeoshwa

  • @DonSompo
    @DonSompo 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbarali to the world

  • @tawfiqhhgunhbcthabdu8034
    @tawfiqhhgunhbcthabdu8034 4 ปีที่แล้ว +2

    Chali R katishaa kwakunyosha mkono

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 ปีที่แล้ว +5

    Be mwagito kazi ipo.

  • @jumasaidi5760
    @jumasaidi5760 4 ปีที่แล้ว +1

    Masanja kanda miza sana

  • @projestusnickson2567
    @projestusnickson2567 4 ปีที่แล้ว +4

    I inspere brow

  • @mjoradaudi8415
    @mjoradaudi8415 4 ปีที่แล้ว

    Ha ha ha haaaaa marekani ilivamiwa na wapiga hera wenye njaa

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 4 ปีที่แล้ว +1

    Happy nation...

  • @mishaelmisana1973
    @mishaelmisana1973 4 ปีที่แล้ว +1

    Heshima yako masanja

  • @Ngorida
    @Ngorida 5 หลายเดือนก่อน

    Sawaa

  • @fadhilishayo1739
    @fadhilishayo1739 4 ปีที่แล้ว +1

    Masanjaa bhana

  • @noreenmillicient8101
    @noreenmillicient8101 4 ปีที่แล้ว +1

    Unakandamiza kweli

  • @chimbomtewele1725
    @chimbomtewele1725 3 ปีที่แล้ว

    Nyevadi vemasanja whihesa ewe vuli bhanaaaaa

  • @aristideskablaya9546
    @aristideskablaya9546 4 ปีที่แล้ว +1

    Roma hasiende tena yani kakaa kiboya sana sijui nani amempeleka uko

  • @sele2507
    @sele2507 4 ปีที่แล้ว +1

    Masanja fighter

  • @naftarymgina7489
    @naftarymgina7489 4 ปีที่แล้ว +3

    Masanja udlighe shewihenya apo uve hatari sana

  • @japhetkilangi6682
    @japhetkilangi6682 4 ปีที่แล้ว

    Kwapa linavuja masanja

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba 4 ปีที่แล้ว +2

    Watu wanajua kutafuta pesa hatary

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 4 ปีที่แล้ว

    Kusema ukweli nani ametumia ile sahani😂😂😂😂😂😂😂😂 i die ooh! ROMA changamkaaa

  • @henryjira9279
    @henryjira9279 3 ปีที่แล้ว

    Mungu azikukubariki bro

  • @255LK
    @255LK 4 ปีที่แล้ว +1

    Mbona dalas tu tuliopo Hawai’i na LA tuna ishije

  • @salmahassan3521
    @salmahassan3521 4 ปีที่แล้ว +1

    😂😂 Masanja unatisha

  • @alexsadala4059
    @alexsadala4059 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha ila zaidi ya commedy

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 4 ปีที่แล้ว

    Masanja unaisifia Sana Marekani hata Kama ni biashara ,,wakati wao wanatuita shit hool

    • @swahilisocietyamerica8054
      @swahilisocietyamerica8054 4 ปีที่แล้ว

      Ibrahim Gwasma! SSUSA tunatangaza Lugha yetu ya Kiswahili! Lazima sisi tutee Lugha yetu na kitaeleweka tu!

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 ปีที่แล้ว

    Mtumishi eti naishi Mbinguni hahaaaa😂😂

  • @masabasamwel9994
    @masabasamwel9994 4 ปีที่แล้ว +9

    Hakuna mchungaji hapa 😂😂😂😂

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 ปีที่แล้ว +5

    IMANI&MATENDO..

  • @mwanneamani2306
    @mwanneamani2306 4 ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿♥️♥️

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 ปีที่แล้ว +1

    massanja nishiiida

  • @mwanukemedard1973
    @mwanukemedard1973 4 ปีที่แล้ว +1

    Kama uanataka uwe mchungaji wakweli uzo umbwe mbwe zako

  • @MaryamMaryam-gi9zw
    @MaryamMaryam-gi9zw 4 ปีที่แล้ว

    Chali ya chuga hio koti la njano

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 ปีที่แล้ว

    Eti lala na mtu asiyeongea kiswahili

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba 4 ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛💛

  • @belathomgayamavyale5022
    @belathomgayamavyale5022 4 ปีที่แล้ว +1

    Msanja

  • @charleskatashira4748
    @charleskatashira4748 2 ปีที่แล้ว

    onp

  • @costantinejosephmpanya6062
    @costantinejosephmpanya6062 4 ปีที่แล้ว +1

    Good news

    • @swahilisocietyamerica8054
      @swahilisocietyamerica8054 4 ปีที่แล้ว +1

      Ahsante sana. Waambie Rafiki zako watazame hii Video! Swahili Society tupo juu!

  • @gabrielmugabo9223
    @gabrielmugabo9223 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu yopo huko huko kushoto

  • @godfreyjoseph6557
    @godfreyjoseph6557 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimeipenda sana hiyo sussa Jamani,Huku Dubai wabongo tunakutana wapi na lini?

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 3 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪

  • @amanimtasha9168
    @amanimtasha9168 4 ปีที่แล้ว +3

    Masanja sio mzima wewe 😂😂😂😂

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 4 ปีที่แล้ว +2

    Nipeni hata mmi jamani nafasi nije

  • @umojaafrika2447
    @umojaafrika2447 4 ปีที่แล้ว +3

    American speaks a better swahili than Kenyan from Nairobi lol

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 3 ปีที่แล้ว

    Neo colonialism

  • @josephelias6757
    @josephelias6757 4 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿