FAIDA 4 ZA KUMJUA MUNGU by Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Katika somo hili tumejifunza faida 4 za kumjua Mungu, tunamjuaje Mungu, tabia za Mungu, jinsi Mungu anavyojifunua katika neno lake n.k kwa hiyo fuatilia somo hili mpaka mwisho hutojutia.
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram link: / holyspiritconnect
Facebook link:
/ holyspiritconnect
Ameen mtumishi ubalikiwe sana na MUNGU
Amen amen amen ubarikiwe sana mtumishi nimejifunza mengi sana neno la Mungu kutoka kwako🙏🙏🙏🙏
Amen Amen Mtumishi wa Bwana, somo zuri sana hakika limenifunia mno ufahamu wangu wa kumjua MUNGU, Jamani MUNGU wetu ni mzuri anatupenda mnoo kuliko hata tunavyofikiri, Ee Yesu naomba nisaidie nikae miguuni pako usiniache hata mwisho dahari, nakupenda sana kwasababu wewe MUNGU ulinipenda kwanza
Ubarikiwe sana dada Tumpe
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ameen
AMEN 🙏🙏
Ameen
Barikiwa Kaka Asante kwa ujumbe mzur
Ameen
Amen
🙏🙏🙏
Barikiwa sana Mtumishi
Amen
Amen kaka Inno
Am so blessed today with this word . Thank you 🙏🏽
Amen
kunafaida katk kusoma neno mm nimekuwa nikikata tamaa mapema sana hasa ktk kuomba kuna kipindi nilikuwa nikiingia kwenye maombi kunazaburi nilikuwa na isoma asubuhi jioni lakn ilifika mahali nikaacha basi nimekaa kwa kipindi kirefu sana bila kuisoma hiyo zaburi lakn siku moja usiku wakati nimelala niliota ndoto naambiwa nisome zaburi ya 102 basi asubuh niliamka niangalie hiyo zaburi inasema nini bas wakat na soma nikagundua ni ile zaburi ambayo nilikuwa naisoma kipindi hicho nikaacha nikajua MUNGU anaongea na mm kupitia neno lakn zaidi juzi wakati nimemalizia maombi yangu ya kufunga nilimshangaa sana MUNGU wakat kaka ino umenipa mstari ambao pia siku za nyuma nilikuwa nikiukiri nikaacha baada ya kuona madeni ninayo mengi kwahiyo sikuona yena faida ya kuendeleabkuuiri ule mstari lakn juz nilijua hakika MUNGU anasema na watu kupitia neno inaweza isiwe sasa lakn ipo siku litatimia lile ninalo litamka kila siku Barikiwa Mtumishi
Amen
Amen, man of God.
Ubarikiwe sana
AMEEN🙏🙏🙏
Amen
🙏🙏🙏
Amen