ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Safi Sana Mama Samia Dkt
Hichi kipindi ni kizuri sana. Azam TV pls invest more in this. BIG UP
Jee inaonesha hadi matatizo ya moyo
daaa kwa mfano huwa ghalam zao zinzkuwaje ndugu
Daaa hiki kipimo shikamo nilikaa nusu saa
Iyo MRI inaweza kupima ugonjwa wa ngozi yaani kama ngozi ina fangasi sugu wasio pona
MUNGU tusaidie nilingia nikajihisi nipo kwenye jeneza
Hahahaha wewe haliumizi jmn nipe uzoefu
Nasikia huwa inapunguz umri wa kuishi🤣🤣🤣
haliumizi ila ukiwa humo ndani unafuata maelekezo ya dactar mimi nilikuwa nasikia sauti inaniambia vuta pumziiii,achiaa heee nikawa najiuliza ndio nazima au
@@witnessmmari9902 grama yake sh ngapi na hospital gan ipo hii
VP lkn unaendeleaje
Tatizo amsemi kwamba kipimo nishingap
Laki 3
Garama zake ni shilingi ngapi?
Ni how much MRI ya ngogo
Daa mbona awajibu awa watu
Je CT scan hata tatz lipo shingon au mdomon kwenye tonsils linawez onekana
Mbon amjasena garama zake
Nina swali ukiingia humo unapigwa nusu kaputi au unaingia mzima maana mimi nina woga
Kama unaweza kukaa na kutulia hupewi dawa ya usingizi
Garama zake zikoje
Safi Sana Mama Samia Dkt
Hichi kipindi ni kizuri sana. Azam TV pls invest more in this. BIG UP
Jee inaonesha hadi matatizo ya moyo
daaa kwa mfano huwa ghalam zao zinzkuwaje ndugu
Daaa hiki kipimo shikamo nilikaa nusu saa
Iyo MRI inaweza kupima ugonjwa wa ngozi yaani kama ngozi ina fangasi sugu wasio pona
MUNGU tusaidie nilingia nikajihisi nipo kwenye jeneza
Hahahaha wewe haliumizi jmn nipe uzoefu
Nasikia huwa inapunguz umri wa kuishi🤣🤣🤣
haliumizi ila ukiwa humo ndani unafuata maelekezo ya dactar mimi nilikuwa nasikia sauti inaniambia vuta pumziiii,achiaa heee nikawa najiuliza ndio nazima au
@@witnessmmari9902 grama yake sh ngapi na hospital gan ipo hii
VP lkn unaendeleaje
Tatizo amsemi kwamba kipimo nishingap
Laki 3
Garama zake ni shilingi ngapi?
Laki 3
Ni how much MRI ya ngogo
Daa mbona awajibu awa watu
Laki 3
Je CT scan hata tatz lipo shingon au mdomon kwenye tonsils linawez onekana
Mbon amjasena garama zake
Nina swali ukiingia humo unapigwa nusu kaputi au unaingia mzima maana mimi nina woga
Kama unaweza kukaa na kutulia hupewi dawa ya usingizi
Safi Sana Mama Samia Dkt
Garama zake zikoje