WATU WENGI WANAKOSEA HAPA,WEWE JE?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 86

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 ปีที่แล้ว

    Dah,Mungu ni mwema sana. Nabarikiwa sana neno la Mungu kupitia Kwako Mch. David mbaga. Ubarikiwe sana Mch.🙏

  • @florencenekesa8243
    @florencenekesa8243 2 ปีที่แล้ว +4

    Live long mchungaji 🙏Kwa hakika mafundisho Yako yamenifungua macho ya roho 😢😢MUNGU akuzidishie zaidi🙏🙏🙏

  • @rizikimanamaua9216
    @rizikimanamaua9216 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe pastor kwa neno. Hakika unapo pitia jambo lazima kumuuliza Mungu pamoja na subira.

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 ปีที่แล้ว

    Amen to that sermon ,may the name of God be glorified .

  • @c.k.l3825
    @c.k.l3825 2 ปีที่แล้ว +5

    Ukweli mtupu mtumishi. Niko huku kwao. Hakuna vitu vya asili umenitamanisha nyumbani. Waambie tena na tena, wasitamani wazungu. Africa tuko na yote ndani ya yoye. Barikiwa sana

  • @stivinkihenga497
    @stivinkihenga497 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mchungaji,mahubiri yako in mazuri sana

  • @konardariri9266
    @konardariri9266 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji Mungu akubariki rafiki yangu

  • @miamaltu5390
    @miamaltu5390 ปีที่แล้ว +1

    Amen p mungu azidi kukuweka

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 8 หลายเดือนก่อน

    Amina ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu aliye hai 🙏🙏🙏🙏

  • @singuadam2092
    @singuadam2092 ปีที่แล้ว +1

    Amina mtumishii

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @ndayishimiyeriziki8696
    @ndayishimiyeriziki8696 ปีที่แล้ว +1

    Amina 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @victorondimu651
    @victorondimu651 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 ปีที่แล้ว +1

    Amen and Amen

  • @weahfeint3406
    @weahfeint3406 ปีที่แล้ว

    Mungu aliye hai aendelee kukupa hekima, maarifa zaidi, nguvu na moyo wa kuendelea kutumikia mafunzo yako yanabariki hasa somo la kufunga limebadilisha seem kubwa na muimu ya maisha yangu nategemea na maisha ya wengine pia, AMEN 🙏🏿

  • @elpinakatana7469
    @elpinakatana7469 ปีที่แล้ว +1

    AMEEN MUNGU abariki fundisho hili 🙏🙏

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo ปีที่แล้ว +1

    Amen, mungu nipe hekima

  • @getrudenabwayo4754
    @getrudenabwayo4754 ปีที่แล้ว +1

    Kitu ilifanya nikaanza kukufuatilia mafundisho yako ni wakati ulifundisha umuhimu WA KUFUNGA na kuomba,mimi mwenyewe nilikuwa mvivu WA kuomba na KUFUNGA Lakin kupitia kwako imekuwa mtindo kwangu WA KUFUNGA hata siku Tatu ama wiki mfulilizo na ninaona raha nikiwa nashinda kwenye maombi.
    BARIKIWA Mara Saba sabini mtumishi WA Mungu ✊🏼✊🏼✊🏼🙏🏾🙏🏾🙏🏾❣️

  • @annastazia608
    @annastazia608 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji Usije ukajaribiwa kuacha huduma hii unayoifanya. Ni ya muhimu Sana na inatuokoa wengi. Mr. Mwano wa TRVF.

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 2 ปีที่แล้ว +5

    Ninachokupendea Pastor ni hiki, au-hubiri dini yoyote, au chochote kile ila unamuhubiri Kristo.

  • @emilynekesa1475
    @emilynekesa1475 ปีที่แล้ว +1

    Yani neno hili limenibariki sana,Mimi nimepitia haya yote,Hadi nikatamani niwe mu mslam🤔but kupitia neno hili God bless you 🙏. Riyadh town.

  • @roselineombati670
    @roselineombati670 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen,a wonderful sermon

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 2 ปีที่แล้ว +4

    Mafundisho yako ya ajabu Pastor barikiwa sana 🙏

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa ana IQ KUBWA SANA .NA ANAMJUA MUNGU

    • @evalinezacharia7872
      @evalinezacharia7872 ปีที่แล้ว

      Nabarikiwa sana na mahubiri ya mtumishi wamungu mungu akulinde

  • @jacquelinebyaombe9729
    @jacquelinebyaombe9729 ปีที่แล้ว +1

    Amena sana

  • @justinidaudy5438
    @justinidaudy5438 2 ปีที่แล้ว

    Pastor ahsant kwa mahubili mazur na maombi hakika kweli mungu amekutumia kuongea na watu wake amina sana

  • @marygati9861
    @marygati9861 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen.Yesu nipe hekima

  • @alicenyakawa2449
    @alicenyakawa2449 2 ปีที่แล้ว +3

    I thank God for His grace upon me, I’m walking down streets of foreign cities but my heart is full of joy and praising in my lips I know even though I’m a sinner God still loves me thank you pastor

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen God bless you pastor

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 2 ปีที่แล้ว

    Aminaa barikiwa sana pastor David mmbaga

  • @eustina837
    @eustina837 2 ปีที่แล้ว

    Mungu ametenda majabu kwa Beth anste pastor kwa maombi Mungu akubarik

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว +1

    Baba ananitengeneza

  • @kwambokakwamboka8382
    @kwambokakwamboka8382 2 ปีที่แล้ว +4

    Pastor am new here n I like ur sermon so much,we ar together,am watching from saud Arabia 🙏

  • @silvandoita3179
    @silvandoita3179 ปีที่แล้ว

    Ameeeen
    Be blessed

  • @philimonpandula8697
    @philimonpandula8697 ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏👏

  • @stevenwambura1290
    @stevenwambura1290 2 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukubariki pastor asante kwa somo zuri

  • @marysteven3543
    @marysteven3543 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana pasita,unatutia moyo sna

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 2 ปีที่แล้ว

    Amen be blessed Pastor Mmbaga and your family

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 ปีที่แล้ว

    Nimeyapata vizuri kabisa asantee Mungu🤲Amina 🙏🙏

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kuwa nawe pastor 🙌 asante kwa ujumbe mazuri.

  • @annasandomaseke
    @annasandomaseke 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana

  • @eustina837
    @eustina837 2 ปีที่แล้ว

    Anster pastor kwa maombi Mungu nimwema kwangu lakin Mungu amguse boss kunakitu bado lakin namatumain Mungu atatenda kwa wakati wake

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 ปีที่แล้ว +2

    Hv pasta nikufananishe na nn kat ya mapasta wa hapa Tanzania 🇹🇿 nnaowajua? Hapana kiukweli MUNGU wetu akupe zaid

  • @lidiaawino4740
    @lidiaawino4740 ปีที่แล้ว

    Mungu nipenguvu nisikate tamaa

  • @amjudith
    @amjudith ปีที่แล้ว +1

    Jamani mungu atusaidie 🙏🙏🙏🙏

  • @silvestarlema72
    @silvestarlema72 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @duluxbahrain6429
    @duluxbahrain6429 2 ปีที่แล้ว

    Amen Amen

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 ปีที่แล้ว +1

    Kizazi Cha Sasa wanatafuta ushoga wanataka vitu vizuri kwa mkato ukiwambia wanakwambia ni wakizamani wanachoka kabla umri somo litawangia na pamoja na sisi

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว +1

    Binamu!!!

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe pr

  • @cristinekenya1050
    @cristinekenya1050 2 ปีที่แล้ว +1

    Ni ukweli pastor Africa tumebarkiwa sana, huku Kila kitu ni artificial nko Lebanon

  • @florencenekesa8243
    @florencenekesa8243 2 ปีที่แล้ว

    Amen amen 🙏🙏

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂 sasa kuna tafauti gani kumkumbuka "Yesu" ukiwa umelewa naku mkumbuka "malaya" ukiwa Kanisani???
    Wanadamu Tuna shida sana😂😂😂😂😂😂😂

  • @ruthkosgey9176
    @ruthkosgey9176 2 ปีที่แล้ว

    AMINA

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @raysibo5316
    @raysibo5316 ปีที่แล้ว

    Asante sana Pastor.
    Sasaningependakuomba yeyote ambaye ana number ya pastor,tafadhari anipe

  • @kelvinkimath4987
    @kelvinkimath4987 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji mungu akulinde

  • @MagokoNikolaus
    @MagokoNikolaus 3 หลายเดือนก่อน

    Niko Katoro geita naitaji vitabu vyako tavipaje

  • @munyetijesjeri3134
    @munyetijesjeri3134 2 ปีที่แล้ว

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼nabarikiwa nikiwa kenya🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @marygoretysenga1119
    @marygoretysenga1119 2 ปีที่แล้ว

    AWESOME SMS MTUMISHI

  • @luhuluyusufu2934
    @luhuluyusufu2934 ปีที่แล้ว

    Mafunfisho yako mchungaji inasaidia watu wengi. Sasa,ujikaze kuto kutaja tu miji ya huko Tanzanie,bali ufundishe ukijuwa kwamba hata Kongo DRC,tunakufata sana.

  • @mborawakiche7564
    @mborawakiche7564 2 ปีที่แล้ว

    Aminaaa

  • @silvestarlema72
    @silvestarlema72 2 ปีที่แล้ว +1

    Usemavyo nikweli pastor niliamua kwenda kuanzisha kilimo cha miwa wa natambua mie ni dr wakasema nimetumbuliwa na rais mapato walipoyaona wakasema unatumia uchawi

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 ปีที่แล้ว

    Yani mbaga umeongea neno hapa nakula matakataka Lasanya yani acha kabisa

  • @keziaranga6329
    @keziaranga6329 2 ปีที่แล้ว

    Japo ni usiku, lakini nafatilia kutoka Australia

  • @rizikilaunda961
    @rizikilaunda961 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🏾 Mungu nope hekima took!

  • @joliea2956
    @joliea2956 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe saana

    • @phanemochache352
      @phanemochache352 2 ปีที่แล้ว

      Beautiful sermon Pastor!

    • @pasiandaqaro5926
      @pasiandaqaro5926 2 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki sana na aenndelee kutumia kwa Kaz yake na akuepushe na mabaya

    • @zakayokikoti2455
      @zakayokikoti2455 ปีที่แล้ว

      Somo limefka kwe2 vjana

  • @miamaltu5390
    @miamaltu5390 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji Mungu akubariki rafiki yangu

  • @juliusyenga1109
    @juliusyenga1109 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @amnamax8676
    @amnamax8676 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen